Anyway oeni wanawake wasiosoma ili muepukane na haya yote na hakikisheni mnahudumia hadi wazazi wao, siyo unachukua mtoto wa watu wazazi wake wamehangaika kumsomesha ili aje kuwasaidia halafu wewe unataka akawe mama wa nyumbani akihitaji pesa mpaka asubiri wewe mambo yakae sawa, bila shaka hata wewe hutasomesha mabinti zako na pia utawaasa kwamba wakiolewa wakawe wamama wa nyumbani tu si ndio
Nadhani wewe ndiye mwenye Dhana potofu....Peace be upon you all,
Siku za hivi karibuni kumeibuka dhana ya wanaume kutaka kuoa wao wanasema "kuoana" na wanawake wenye kipato na ajira ili "kusaidiana maisha"
Aina hii ya wanaume ni wanaume dhaifu both mentally and physically oooh wait hata spiritually ni dhaifu na magoi goi. Tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume ?! Hivi unawafahamu wanawake wewe ?!
Hivi kweli umekaa hapo na makende yako ati To yeye atakusaidia maisha kwakua yeye ni mwalimu na wewe ni muhasibu wa ka NGO gani gani huko ?!! Hivi unawasikia au unawafahamu hawa viumbe, kwanza viajira vinawapa ujuaji, kiburi na jeuri ya hali ya juu
View attachment 2961006
Kawaulize mabini mashuleni na vyuoni kwanini wanakazana kusona (nawanakazana haswa sio mchezo) watakwambia wanasma ili wasije "kunyanyaswa" na mwanaume alafu wewe fala ati unataka waje "wakusaidie" maisha my friend una akili sawa kweli ?! ikumbukwe kwao kua chini ya uongozi wa mwanaume ni kunyanyaswa.
Mwanamke mwenye ajira, kwake ajira ina umuhimu kuliko familia na wewe mume. Akiambima achague kazi au wewe atachagua kazi kabla hata muuliza swali hajamaliza kuuliza.
mwanamke yuko radhi mlale njaa ila kwenye mkoba wake ana million na ushee argument yake ni kua sio jukumu lake kuhudumia familia, sasa ukimuuliza anafanya kazi ili iweje subiri vita ya Urusi na Ukrane. Wanataka haki sawa ila wanataka pia na special treatment qmamae hao ndio wanawake.
Hawa viumbe kwa ubinafsi hapajakuwako na hapatakuwako mfano wao chini ya jua, chini ya bahari na hata juu ya vilima na mawingu na hata mpaka miisho ya dunia. Hawa mafeminist ati wakusaidie maisha kuna wanaume wajinga sana dunia hii ila wanakipata cha mtema kuni
Wanawake hawafanyi kazi huko maofisini ati ili wakusaidie, NEVER wanafanya kazi ili "wasibabaishwe" wawe huru "wasitawaliwe" wajiamulie watakalo ikumbukwe wanawake wameumbwa na negative energy na uasi ndani yao bila kua chini ya mwanaume hutumiwa sana na shetani kuwaangamiza wanaume.
Vitabu vya imani vinamtaja mwanaume kwa hulkatna tabia ya Mungu huku mwanamke kwa hulka na tabia za shetani.
Kwanza kati ya familia zilizoganda kimaendeleo ni hizi za "kuoana" wote waajiriwa ili "kusaidiana maisha" mume daktari mwanamke askari polisi qmmae hawa hawapigi hatua yoyote wataishia kua daraja la kati au chini siku zote.
Sababu ni nyingi ila kubwa ni migogoro isiyoisha. Fuatilia wanandoa wenye viajira mume na mke kutwa ni minyukano na kutunishiana misuli sasa hapo maendeleo yanapatikanaje mwanawane ?!
Angalia hata masingo maza wengi ni wanawake wenye viajira wanaviburi, jeuri mixa ujuaji mwingi na kwa mwanaume kamili hawezi kuvumilia huo upuuzi hata kwa dawa kuna siku uanaume ndani yake utamzindua kwenye huo upuuzi. Lazima atapiga chini hilo feminist
View attachment 2961017
Sijasema familia za baba mtafutaji mama anatunza familia hazina mogogoro ila hua ni michache sana na suluhu hupatikana mapema bila kuleta madhara makubwa na hivyo mume hua na utulivu wa akili. Na hapo ndio mipango ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi.
Hebu niambid Mo Dewji je mke wake kaajiriwa wapi mpaka "wakasaidiana" maisha ??! Mke wa Bakhresa je ameajiriwatwapi mpaka wakasaidiana wakawa matajiri ?! Penye migogoro na malumbano (ambayo imetawala wanandoa waajiriwa) hakuna baraka hapo wala hakuna utulivu wa kupanga mikakati ya maendeleo.
Ili pawe na maendeleo lazima pawe na kiongozi sasa hawa familia za haki sawa ukoo wa kambale wote wana ndevu mume na mke wote kila mtu mjuaji ndio mnaona matokeo wanaume wengi siku hizi wanakufa mapema kwa mapresha, kisukari, shinikizo mara heart attack na magongwa mengine lukuki.
View attachment 2961020
Wanaume waliooa wanawake wenye ajira wanaishi kwa maumivu na dhoruba kuu ni vile wanaugulia kimya kimya na NDIO WAKOME kutokusikia tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume.
Asante Mungu kwa kunipatia mke bora anaeitambua nafasi yake kama mke. Asante mama A mke wangu kipenzi, Asante kwa kuniombea kwa Mungu, asante kwa kuwalea watoto wangu kwa upendo wanaostahili. Nitaendelea kuzisaka noti kwa mzuka na morali ya hali ya juu ili wewe na watoto wangu muendelee kuishi kwa mustarehe maana unastahili mema ya nchi.
View attachment 2960989
picha hainihusu ila napenda falsafa ya mume kama kiongozi, mtafutaji, mfariji na sio falsafa ya haki sawa, feminism rabish.
Una ndoa? I mean umeolewa?Anyway oeni wanawake wasiosoma ili muepukane na haya yote na hakikisheni mnahudumia hadi wazazi wao, siyo unachukua mtoto wa watu wazazi wake wamehangaika kumsomesha ili aje kuwasaidia halafu wewe unataka akawe mama wa nyumbani akihitaji pesa mpaka asubiri wewe mambo yakae sawa, bila shaka hata wewe hutasomesha mabinti zako na pia utawaasa kwamba wakiolewa wakawe wamama wa nyumbani tu si ndio
QURAN INARUHUSU HATA MWANAMKE KAMA ANAJIWEZA KUMPA MAHARI MCHUMBAWE AKAMTOLEE KWAKE.Peace be upon you all,
Siku za hivi karibuni kumeibuka dhana ya wanaume kutaka kuoa wao wanasema "kuoana" na wanawake wenye kipato na ajira ili "kusaidiana maisha"
Aina hii ya wanaume ni wanaume dhaifu both mentally and physically oooh wait hata spiritually ni dhaifu na magoi goi. Tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume ?! Hivi unawafahamu wanawake wewe ?!
Hivi kweli umekaa hapo na makende yako ati To yeye atakusaidia maisha kwakua yeye ni mwalimu na wewe ni muhasibu wa ka NGO gani gani huko ?!! Hivi unawasikia au unawafahamu hawa viumbe, kwanza viajira vinawapa ujuaji, kiburi na jeuri ya hali ya juu
View attachment 2961006
Kawaulize mabini mashuleni na vyuoni kwanini wanakazana kusona (nawanakazana haswa sio mchezo) watakwambia wanasma ili wasije "kunyanyaswa" na mwanaume alafu wewe fala ati unataka waje "wakusaidie" maisha my friend una akili sawa kweli ?! ikumbukwe kwao kua chini ya uongozi wa mwanaume ni kunyanyaswa.
Mwanamke mwenye ajira, kwake ajira ina umuhimu kuliko familia na wewe mume. Akiambima achague kazi au wewe atachagua kazi kabla hata muuliza swali hajamaliza kuuliza.
mwanamke yuko radhi mlale njaa ila kwenye mkoba wake ana million na ushee argument yake ni kua sio jukumu lake kuhudumia familia, sasa ukimuuliza anafanya kazi ili iweje subiri vita ya Urusi na Ukrane. Wanataka haki sawa ila wanataka pia na special treatment qmamae hao ndio wanawake.
Hawa viumbe kwa ubinafsi hapajakuwako na hapatakuwako mfano wao chini ya jua, chini ya bahari na hata juu ya vilima na mawingu na hata mpaka miisho ya dunia. Hawa mafeminist ati wakusaidie maisha kuna wanaume wajinga sana dunia hii ila wanakipata cha mtema kuni
Wanawake hawafanyi kazi huko maofisini ati ili wakusaidie, NEVER wanafanya kazi ili "wasibabaishwe" wawe huru "wasitawaliwe" wajiamulie watakalo ikumbukwe wanawake wameumbwa na negative energy na uasi ndani yao bila kua chini ya mwanaume hutumiwa sana na shetani kuwaangamiza wanaume.
Vitabu vya imani vinamtaja mwanaume kwa hulkatna tabia ya Mungu huku mwanamke kwa hulka na tabia za shetani.
Kwanza kati ya familia zilizoganda kimaendeleo ni hizi za "kuoana" wote waajiriwa ili "kusaidiana maisha" mume daktari mwanamke askari polisi qmmae hawa hawapigi hatua yoyote wataishia kua daraja la kati au chini siku zote.
Sababu ni nyingi ila kubwa ni migogoro isiyoisha. Fuatilia wanandoa wenye viajira mume na mke kutwa ni minyukano na kutunishiana misuli sasa hapo maendeleo yanapatikanaje mwanawane ?!
Angalia hata masingo maza wengi ni wanawake wenye viajira wanaviburi, jeuri mixa ujuaji mwingi na kwa mwanaume kamili hawezi kuvumilia huo upuuzi hata kwa dawa kuna siku uanaume ndani yake utamzindua kwenye huo upuuzi. Lazima atapiga chini hilo feminist
View attachment 2961017
Sijasema familia za baba mtafutaji mama anatunza familia hazina mogogoro ila hua ni michache sana na suluhu hupatikana mapema bila kuleta madhara makubwa na hivyo mume hua na utulivu wa akili. Na hapo ndio mipango ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi.
Hebu niambid Mo Dewji je mke wake kaajiriwa wapi mpaka "wakasaidiana" maisha ??! Mke wa Bakhresa je ameajiriwatwapi mpaka wakasaidiana wakawa matajiri ?! Penye migogoro na malumbano (ambayo imetawala wanandoa waajiriwa) hakuna baraka hapo wala hakuna utulivu wa kupanga mikakati ya maendeleo.
Ili pawe na maendeleo lazima pawe na kiongozi sasa hawa familia za haki sawa ukoo wa kambale wote wana ndevu mume na mke wote kila mtu mjuaji ndio mnaona matokeo wanaume wengi siku hizi wanakufa mapema kwa mapresha, kisukari, shinikizo mara heart attack na magongwa mengine lukuki.
View attachment 2961020
Wanaume waliooa wanawake wenye ajira wanaishi kwa maumivu na dhoruba kuu ni vile wanaugulia kimya kimya na NDIO WAKOME kutokusikia tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume.
Asante Mungu kwa kunipatia mke bora anaeitambua nafasi yake kama mke. Asante mama A mke wangu kipenzi, Asante kwa kuniombea kwa Mungu, asante kwa kuwalea watoto wangu kwa upendo wanaostahili. Nitaendelea kuzisaka noti kwa mzuka na morali ya hali ya juu ili wewe na watoto wangu muendelee kuishi kwa mustarehe maana unastahili mema ya nchi.
View attachment 2960989
picha hainihusu ila napenda falsafa ya mume kama kiongozi, mtafutaji, mfariji na sio falsafa ya haki sawa, feminism rabish.
Eva mke wa Adam alikua mkulma ?! Aise !! Naona kuna toleo la biblia mpya huko mitaani. Huyu huyu Eva aliepewa jukumu la kuza kwa uchungu ndio alikua mkulima ?! Kumbe Mungu alimwambia Eva atakula kwa jasho na sio Adam aliyeambiwa maagizo haya.
Wrong, nyumbani haukai tu you have graspd the point na ndio mafeminist walivyo. NYUMBANI "HAUKAI TU" kuna majukumu ya kufanya mengi sana kulea, kutunza familia, kupika, nk
sasa nikurekebishe usiseme uanze mazoezi ya "kukaa tu nyumbani" sema uanze mazoezi ya kutekeleza MAJUKUMU HALISI YA MKE ili udumu kwenye ndoa
leo nimekuelewaMimi naona hamtakiwi kuwalaumu wanawake sababu wewe mwanaume unapohudumia familia, huwa kuna vitu unategemea uvipate in return toka kwa mwanamke ambavyo ni kutimiziwa baadhi ya majukumu ya nyumbani, kulelewa watoto wako, kupewa heshima na utii na mkeo sasa unapotaka mkeo naye afanye hilo jukumu la kuhudumia familia anapata nini in return, je uko tayari kufanya pia majukumu anayofanya au kumpa kile ambacho yeye huwa anakupa ili muende sawa
Hapa sijiongelei mimi mjomba, naongelea mazoea ya familia na koo nyingi za kiafrika kutokana na umaskini na ujamaa, vipi wewe wazazi, walezi, ndugu au jamaa zako wanajiweza hivyo huwasaidii siyounasomesha watoto ili waje wakusaidie?, you are a fool
They don't need to be men to be incharge
Hilo halihusiani na hii madaUna ndoa? I mean umeolewa?
Jadda unifurahishaga sana wewe🤣They don't need to be men to be incharge
Ndio ni mimi mkuu na mwingine USIMSAIDIE MWANAMKE YEYOTE ASIYE NDUGU MKE AU MAMA YAKO.Kaka The unpaid Seller nmeangalia account yako iko limited
Hivi ni wewe ndio uliandik ule uzi wa usimuonee hurum mwanamke?
Kwamba amtoto akizaliwa aliwa mwaka anaandikishwa shule au sio ?Kulea watoto wanaoenda shule?
Kupika inachukua dakika ngapi Mkuu?
Au unazungumzia kupika kwenye Kuni?
Mwanamke akae nyumbani kwa makubaliano lakini lazima awe mzalishaji wa mali za hapo nyumbani kama kufuga kuku, kuuza kiduka cha nyumbani, kuuza maji, kufuga ng'ombe n.k.
Na sio akae nyumbani kama kaburi
N
Kwamba amtoto akizaliwa aliwa mwaka anaandikishwa shule au sio ?
na yes nakubaliana mwanamke kusimamia miradi ya familia na sio kua muajiriwa huko na mabos wake huko. Akisimamia miradi ya familia boss wake ni mume wake hakuna shida hapo.
Mimi napinga nyie mario kabla ya kuoa mnaanza kuuliza "kwanza huyu mwanamke anafanya kazi wapi ili anisaidie maisha" sijui unanielewa dogo ?!