Dhana ya "kusaidiana" maisha na mwanamke katika utafutaji ni ya wanaume dhaifu na wajinga sana

Dhana ya "kusaidiana" maisha na mwanamke katika utafutaji ni ya wanaume dhaifu na wajinga sana

Anyway oeni wanawake wasiosoma ili muepukane na haya yote na hakikisheni mnahudumia hadi wazazi wao, siyo unachukua mtoto wa watu wazazi wake wamehangaika kumsomesha ili aje kuwasaidia halafu wewe unataka akawe mama wa nyumbani akihitaji pesa mpaka asubiri wewe mambo yakae sawa, bila shaka hata wewe hutasomesha mabinti zako na pia utawaasa kwamba wakiolewa wakawe wamama wa nyumbani tu si ndio
FB_IMG_17116179492244703.jpg
 
Peace be upon you all,

Siku za hivi karibuni kumeibuka dhana ya wanaume kutaka kuoa wao wanasema "kuoana" na wanawake wenye kipato na ajira ili "kusaidiana maisha"

Aina hii ya wanaume ni wanaume dhaifu both mentally and physically oooh wait hata spiritually ni dhaifu na magoi goi. Tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume ?! Hivi unawafahamu wanawake wewe ?!

Hivi kweli umekaa hapo na makende yako ati To yeye atakusaidia maisha kwakua yeye ni mwalimu na wewe ni muhasibu wa ka NGO gani gani huko ?!! Hivi unawasikia au unawafahamu hawa viumbe, kwanza viajira vinawapa ujuaji, kiburi na jeuri ya hali ya juu

View attachment 2961006

Kawaulize mabini mashuleni na vyuoni kwanini wanakazana kusona (nawanakazana haswa sio mchezo) watakwambia wanasma ili wasije "kunyanyaswa" na mwanaume alafu wewe fala ati unataka waje "wakusaidie" maisha my friend una akili sawa kweli ?! ikumbukwe kwao kua chini ya uongozi wa mwanaume ni kunyanyaswa.

Mwanamke mwenye ajira, kwake ajira ina umuhimu kuliko familia na wewe mume. Akiambima achague kazi au wewe atachagua kazi kabla hata muuliza swali hajamaliza kuuliza.

mwanamke yuko radhi mlale njaa ila kwenye mkoba wake ana million na ushee argument yake ni kua sio jukumu lake kuhudumia familia, sasa ukimuuliza anafanya kazi ili iweje subiri vita ya Urusi na Ukrane. Wanataka haki sawa ila wanataka pia na special treatment qmamae hao ndio wanawake.

Hawa viumbe kwa ubinafsi hapajakuwako na hapatakuwako mfano wao chini ya jua, chini ya bahari na hata juu ya vilima na mawingu na hata mpaka miisho ya dunia. Hawa mafeminist ati wakusaidie maisha kuna wanaume wajinga sana dunia hii ila wanakipata cha mtema kuni

Wanawake hawafanyi kazi huko maofisini ati ili wakusaidie, NEVER wanafanya kazi ili "wasibabaishwe" wawe huru "wasitawaliwe" wajiamulie watakalo ikumbukwe wanawake wameumbwa na negative energy na uasi ndani yao bila kua chini ya mwanaume hutumiwa sana na shetani kuwaangamiza wanaume.

Vitabu vya imani vinamtaja mwanaume kwa hulkatna tabia ya Mungu huku mwanamke kwa hulka na tabia za shetani.

Kwanza kati ya familia zilizoganda kimaendeleo ni hizi za "kuoana" wote waajiriwa ili "kusaidiana maisha" mume daktari mwanamke askari polisi qmmae hawa hawapigi hatua yoyote wataishia kua daraja la kati au chini siku zote.

Sababu ni nyingi ila kubwa ni migogoro isiyoisha. Fuatilia wanandoa wenye viajira mume na mke kutwa ni minyukano na kutunishiana misuli sasa hapo maendeleo yanapatikanaje mwanawane ?!

Angalia hata masingo maza wengi ni wanawake wenye viajira wanaviburi, jeuri mixa ujuaji mwingi na kwa mwanaume kamili hawezi kuvumilia huo upuuzi hata kwa dawa kuna siku uanaume ndani yake utamzindua kwenye huo upuuzi. Lazima atapiga chini hilo feminist
View attachment 2961017

Sijasema familia za baba mtafutaji mama anatunza familia hazina mogogoro ila hua ni michache sana na suluhu hupatikana mapema bila kuleta madhara makubwa na hivyo mume hua na utulivu wa akili. Na hapo ndio mipango ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi.

Hebu niambid Mo Dewji je mke wake kaajiriwa wapi mpaka "wakasaidiana" maisha ??! Mke wa Bakhresa je ameajiriwatwapi mpaka wakasaidiana wakawa matajiri ?! Penye migogoro na malumbano (ambayo imetawala wanandoa waajiriwa) hakuna baraka hapo wala hakuna utulivu wa kupanga mikakati ya maendeleo.

Ili pawe na maendeleo lazima pawe na kiongozi sasa hawa familia za haki sawa ukoo wa kambale wote wana ndevu mume na mke wote kila mtu mjuaji ndio mnaona matokeo wanaume wengi siku hizi wanakufa mapema kwa mapresha, kisukari, shinikizo mara heart attack na magongwa mengine lukuki.
View attachment 2961020

Wanaume waliooa wanawake wenye ajira wanaishi kwa maumivu na dhoruba kuu ni vile wanaugulia kimya kimya na NDIO WAKOME kutokusikia tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume.

Asante Mungu kwa kunipatia mke bora anaeitambua nafasi yake kama mke. Asante mama A mke wangu kipenzi, Asante kwa kuniombea kwa Mungu, asante kwa kuwalea watoto wangu kwa upendo wanaostahili. Nitaendelea kuzisaka noti kwa mzuka na morali ya hali ya juu ili wewe na watoto wangu muendelee kuishi kwa mustarehe maana unastahili mema ya nchi.

View attachment 2960989

picha hainihusu ila napenda falsafa ya mume kama kiongozi, mtafutaji, mfariji na sio falsafa ya haki sawa, feminism rabish.
Nadhani wewe ndiye mwenye Dhana potofu....

Sasa nitoke niende kazini kila siku nimwache mtu ndani 366 days ??? Yeye anafanya nini?

Ndani nina washing machine, dishwasher, kupika ninapika, kufanya usafi ninafanya pia.....

Haiingii akilini mwangu....

mwanamke kwa mwanaume wote waende kazini kama kazi wanazo...Siku hizi kuna mahatiji mengi saana ambayo ni asilimia 1 tu ya watu wanaweza kuyapata.

-school fees
-nyumba
-gari
-shule nzuri za watoto
-nguo nzuri kwa ajili ya familia
-vacation
-chakula bora
-Good phones,TV, internet,

Mambo kibao ....sasa nijitutumue kukamilisha yote haya kama mke anaweza kufanya kazi?

Na utakuwa na mwanamke boya kama let say ni daktari analipwa mshahara mzuri halafu anakuwa selfish eti kisa ni mwanamke na watoto washindwe kuishi maisha mazuri.

Maisha siku zote yalitengenezwa kusaidiana kazi...hata bibi na babu...babu analima mama anapanda viazi.

Tatizo hutokea pale unapokutana na mwanamke mvivu tu.
 
Hakika umeongea ukweli mchungu Sana mkuu.
Siku hizi wavulana na marioo Ni wengi mtaani kuliko wanaume halisi.
 
Anyway oeni wanawake wasiosoma ili muepukane na haya yote na hakikisheni mnahudumia hadi wazazi wao, siyo unachukua mtoto wa watu wazazi wake wamehangaika kumsomesha ili aje kuwasaidia halafu wewe unataka akawe mama wa nyumbani akihitaji pesa mpaka asubiri wewe mambo yakae sawa, bila shaka hata wewe hutasomesha mabinti zako na pia utawaasa kwamba wakiolewa wakawe wamama wa nyumbani tu si ndio
Una ndoa? I mean umeolewa?
 
Peace be upon you all,

Siku za hivi karibuni kumeibuka dhana ya wanaume kutaka kuoa wao wanasema "kuoana" na wanawake wenye kipato na ajira ili "kusaidiana maisha"

Aina hii ya wanaume ni wanaume dhaifu both mentally and physically oooh wait hata spiritually ni dhaifu na magoi goi. Tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume ?! Hivi unawafahamu wanawake wewe ?!

Hivi kweli umekaa hapo na makende yako ati To yeye atakusaidia maisha kwakua yeye ni mwalimu na wewe ni muhasibu wa ka NGO gani gani huko ?!! Hivi unawasikia au unawafahamu hawa viumbe, kwanza viajira vinawapa ujuaji, kiburi na jeuri ya hali ya juu

View attachment 2961006

Kawaulize mabini mashuleni na vyuoni kwanini wanakazana kusona (nawanakazana haswa sio mchezo) watakwambia wanasma ili wasije "kunyanyaswa" na mwanaume alafu wewe fala ati unataka waje "wakusaidie" maisha my friend una akili sawa kweli ?! ikumbukwe kwao kua chini ya uongozi wa mwanaume ni kunyanyaswa.

Mwanamke mwenye ajira, kwake ajira ina umuhimu kuliko familia na wewe mume. Akiambima achague kazi au wewe atachagua kazi kabla hata muuliza swali hajamaliza kuuliza.

mwanamke yuko radhi mlale njaa ila kwenye mkoba wake ana million na ushee argument yake ni kua sio jukumu lake kuhudumia familia, sasa ukimuuliza anafanya kazi ili iweje subiri vita ya Urusi na Ukrane. Wanataka haki sawa ila wanataka pia na special treatment qmamae hao ndio wanawake.

Hawa viumbe kwa ubinafsi hapajakuwako na hapatakuwako mfano wao chini ya jua, chini ya bahari na hata juu ya vilima na mawingu na hata mpaka miisho ya dunia. Hawa mafeminist ati wakusaidie maisha kuna wanaume wajinga sana dunia hii ila wanakipata cha mtema kuni

Wanawake hawafanyi kazi huko maofisini ati ili wakusaidie, NEVER wanafanya kazi ili "wasibabaishwe" wawe huru "wasitawaliwe" wajiamulie watakalo ikumbukwe wanawake wameumbwa na negative energy na uasi ndani yao bila kua chini ya mwanaume hutumiwa sana na shetani kuwaangamiza wanaume.

Vitabu vya imani vinamtaja mwanaume kwa hulkatna tabia ya Mungu huku mwanamke kwa hulka na tabia za shetani.

Kwanza kati ya familia zilizoganda kimaendeleo ni hizi za "kuoana" wote waajiriwa ili "kusaidiana maisha" mume daktari mwanamke askari polisi qmmae hawa hawapigi hatua yoyote wataishia kua daraja la kati au chini siku zote.

Sababu ni nyingi ila kubwa ni migogoro isiyoisha. Fuatilia wanandoa wenye viajira mume na mke kutwa ni minyukano na kutunishiana misuli sasa hapo maendeleo yanapatikanaje mwanawane ?!

Angalia hata masingo maza wengi ni wanawake wenye viajira wanaviburi, jeuri mixa ujuaji mwingi na kwa mwanaume kamili hawezi kuvumilia huo upuuzi hata kwa dawa kuna siku uanaume ndani yake utamzindua kwenye huo upuuzi. Lazima atapiga chini hilo feminist
View attachment 2961017

Sijasema familia za baba mtafutaji mama anatunza familia hazina mogogoro ila hua ni michache sana na suluhu hupatikana mapema bila kuleta madhara makubwa na hivyo mume hua na utulivu wa akili. Na hapo ndio mipango ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi.

Hebu niambid Mo Dewji je mke wake kaajiriwa wapi mpaka "wakasaidiana" maisha ??! Mke wa Bakhresa je ameajiriwatwapi mpaka wakasaidiana wakawa matajiri ?! Penye migogoro na malumbano (ambayo imetawala wanandoa waajiriwa) hakuna baraka hapo wala hakuna utulivu wa kupanga mikakati ya maendeleo.

Ili pawe na maendeleo lazima pawe na kiongozi sasa hawa familia za haki sawa ukoo wa kambale wote wana ndevu mume na mke wote kila mtu mjuaji ndio mnaona matokeo wanaume wengi siku hizi wanakufa mapema kwa mapresha, kisukari, shinikizo mara heart attack na magongwa mengine lukuki.
View attachment 2961020

Wanaume waliooa wanawake wenye ajira wanaishi kwa maumivu na dhoruba kuu ni vile wanaugulia kimya kimya na NDIO WAKOME kutokusikia tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume.

Asante Mungu kwa kunipatia mke bora anaeitambua nafasi yake kama mke. Asante mama A mke wangu kipenzi, Asante kwa kuniombea kwa Mungu, asante kwa kuwalea watoto wangu kwa upendo wanaostahili. Nitaendelea kuzisaka noti kwa mzuka na morali ya hali ya juu ili wewe na watoto wangu muendelee kuishi kwa mustarehe maana unastahili mema ya nchi.

View attachment 2960989

picha hainihusu ila napenda falsafa ya mume kama kiongozi, mtafutaji, mfariji na sio falsafa ya haki sawa, feminism rabish.
QURAN INARUHUSU HATA MWANAMKE KAMA ANAJIWEZA KUMPA MAHARI MCHUMBAWE AKAMTOLEE KWAKE.
 
Mnaomponda mleta mada endeleeni kuponda ila jamaa ameongea ukweli kwa zaidi ya 95%.
 
Eva mke wa Adam alikua mkulma ?! Aise !! Naona kuna toleo la biblia mpya huko mitaani. Huyu huyu Eva aliepewa jukumu la kuza kwa uchungu ndio alikua mkulima ?! Kumbe Mungu alimwambia Eva atakula kwa jasho na sio Adam aliyeambiwa maagizo haya.

Unazungumza baada ya wao kupewa adhabu.
Wote walikuwa Wakulima.
Stori inaeleza jinsi Eva alivyotaka kwenda kutafuta chakula yaweza kuwa cha jioni au alfajiri. Ndipo huko akakutana na vishawishi.

Stori inaonyesha kabisa kuwa ilikuwa Kawaida kwa Eva kwenda kuchukua matunda na ndio maana Wakati anamletea Adamu matunda Adamu hakushangazwa ila kitendo cha kuona tunda la ujuzi wa mema na mabaya ndio kilimshangaza
 
Wrong, nyumbani haukai tu you have graspd the point na ndio mafeminist walivyo. NYUMBANI "HAUKAI TU" kuna majukumu ya kufanya mengi sana kulea, kutunza familia, kupika, nk

sasa nikurekebishe usiseme uanze mazoezi ya "kukaa tu nyumbani" sema uanze mazoezi ya kutekeleza MAJUKUMU HALISI YA MKE ili udumu kwenye ndoa

Kulea watoto wanaoenda shule?
Kupika inachukua dakika ngapi Mkuu?
Au unazungumzia kupika kwenye Kuni?

Mwanamke akae nyumbani kwa makubaliano lakini lazima awe mzalishaji wa mali za hapo nyumbani kama kufuga kuku, kuuza kiduka cha nyumbani, kuuza maji, kufuga ng'ombe n.k.
Na sio akae nyumbani kama kaburi
N
 
Mimi naona hamtakiwi kuwalaumu wanawake sababu wewe mwanaume unapohudumia familia, huwa kuna vitu unategemea uvipate in return toka kwa mwanamke ambavyo ni kutimiziwa baadhi ya majukumu ya nyumbani, kulelewa watoto wako, kupewa heshima na utii na mkeo sasa unapotaka mkeo naye afanye hilo jukumu la kuhudumia familia anapata nini in return, je uko tayari kufanya pia majukumu anayofanya au kumpa kile ambacho yeye huwa anakupa ili muende sawa
leo nimekuelewa
 
unasomesha watoto ili waje wakusaidie?, you are a fool
Hapa sijiongelei mimi mjomba, naongelea mazoea ya familia na koo nyingi za kiafrika kutokana na umaskini na ujamaa, vipi wewe wazazi, walezi, ndugu au jamaa zako wanajiweza hivyo huwasaidii siyo
 
Kulea watoto wanaoenda shule?
Kupika inachukua dakika ngapi Mkuu?
Au unazungumzia kupika kwenye Kuni?

Mwanamke akae nyumbani kwa makubaliano lakini lazima awe mzalishaji wa mali za hapo nyumbani kama kufuga kuku, kuuza kiduka cha nyumbani, kuuza maji, kufuga ng'ombe n.k.
Na sio akae nyumbani kama kaburi
N
Kwamba amtoto akizaliwa aliwa mwaka anaandikishwa shule au sio ?

na yes nakubaliana mwanamke kusimamia miradi ya familia na sio kua muajiriwa huko na mabos wake huko. Akisimamia miradi ya familia boss wake ni mume wake hakuna shida hapo.

Mimi napinga nyie mario kabla ya kuoa mnaanza kuuliza "kwanza huyu mwanamke anafanya kazi wapi ili anisaidie maisha" sijui unanielewa dogo ?!
 
Kwamba amtoto akizaliwa aliwa mwaka anaandikishwa shule au sio ?

na yes nakubaliana mwanamke kusimamia miradi ya familia na sio kua muajiriwa huko na mabos wake huko. Akisimamia miradi ya familia boss wake ni mume wake hakuna shida hapo.

Mimi napinga nyie mario kabla ya kuoa mnaanza kuuliza "kwanza huyu mwanamke anafanya kazi wapi ili anisaidie maisha" sijui unanielewa dogo ?!

Mke kijakazi
Alafu kuna mke msaidizi wa mume.

Mbona wewe mume wake umeajiriwa?
 
Baambie baambie baelewe.....

Tukitaka tunafanya ila sio lazima...so ukioa jipange kuendesha familia..is how kichwa cha Family is....

Ndo maana mnasema wanawake wana viburi kwa sbb mmeacha majukumu yenu mmewapa vichwa wao ndo waendeshe familia..yani ubaba umegeuka kwa watu wawili...

Ni ila ni baadhi ya wanaume....but wanaume wengine wanajielewa wanatufanya tujisikie tuko peponi...na ndo hiko tunataka...
 
Back
Top Bottom