Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Unganisha huu uzi na ule mwingine wa lwakatare..ni kitu kimoja tu!na contents ni zile zile!
 
Watu wenye hoja za kuchochea udini na ukabila kama wewe wanatakiwa wachapwe viboko
 
Wewe lazima utakuwa ni kichaa sasa umeandika nini wewe polisi uliyefukuzwa kwa rushwa? jitambue uwezo wako kiakili ni mdogo mno kama wa lemutuz
 
Hivi mkuu ccm bado hawajaanza kukulipa tu?Maana naona kama umepanic kiaina.Halafu tena ukizingatia umaarufu wako hapa JF unapungua,basi ujuwe wataku flush kama toilet paper.Trust me,kama bado hujapata mchongo,ujuwe hakuna jipya litakaloweza kukutoa tena.Maana single ni zile zile tuu!

Tanzania imebadilika,ukipambana na chadema unapambana na wananchi.
 
Zilipendwa hizo zako zisha expire. Leta nyingine, magaidi? Hehehe!! Hahahaha! Iko siku utatafuta pa kujificha na uchochezi wako huo!
 
Chris Lukosi,

..kwa mtindo huu unakiumiza zaidi chama chako cha CCM.

..unazidi kuwatia hamasa na kuwa-galvanize wana CDM.

..what ur doing here has already been tried by Mwigulu Nchemba in Arusha, and u know how the ppl responded.

cc: Mchambuzi, NasDaz, chama, Kubwajinga, Kobello
 
Last edited by a moderator:
Mbwa wewe,usitake kututafutia watu ban humu ndani,tunalizika na hizo hela wakizitumia kwenda holiday,wewe nini kinachokuwasha??hatuumii na wacha watumie wapendavyo na hatutaacha kuchangia,usituletEe stupid thread then uone reaction zetu zitakuwaje tahira wewe.....mpaka ufukuzwe ndio uanze kuongea ushen.zi wako shwain....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
  • Thanks
Reactions: BAK
That man is zero brain, he is always like that. Keep it up C.L and show us more of your ignorance if not jealous.
 
Ingawa sio mzima lakini kwa faida ya wengine, Nasari alitibiwa na Bunge wakati Lwakatare anatibiwa na chama.
 
739014474.jpg


Chris Lukosi, na huu mtaji wa Mwigulu Nchemba umewapatia kura ngapi CCM huko Arusha?
Masikini kijana Tesha!
Muweni na huruma jamani!
 
Chris Mikosi eti mbunge mtarajiwa Iringa mjini. Wanyalu sio wa wakati ule unvyofikiri. Jitambue..!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hata lukosi huoni Mb kapelekwa kutibiwa na bunge, sasa unalinganisha kitu gani. Mbona wewe mchonganishi hivi? Si utulie huko uliko mkuu kila mtu anafahamu CDM na CCM na ndio maana wakafanya maamuzi. Unategemea watahama? Hawana tamaa ya hizo hela za rushwa. Waswahili wanasema tulia watu wajiulize kila kukicha unaandika uboho.
 
Hivi ndugu yangu Chris lukosi, utakuwa lini ndugu yangu?unajua ukubwa sio umri, ukubwa ni thinking capacity ya akili yako..sasa wewe mara nyingi huwa uunaleta thread zisizo na mashiko wala tija..nimejaribu kuflash back thread zilizopita nimekuta thread zako nyingi ni dizaini kama hizi....kumbuka vijana tunapaswa kushirikiana kulijenga taifa letu...nimebiwa eti unaishi UK nikasema mbona huyo lukosi hana exposure kabisa.unaleta thread kama mtu asiyeenda shule (japo huna elimu ni form IV ya 0, ila kama unaishi UK japo huna elimu basi utapata maarifa thru... exposure. Sasa wewe elimu hina, exposure huna umebakia kuleta uchochezi wa kutugawa watanzania..."JITAMBUE NA UBADILIKE" jitahidi kuimarisha ccm sio kila siku unaongea ujinga kuhusu chadema na kukashifu wapenzi na wanachama wa chadema. Sio vizuri...inaelekea bado unaipenda chadema sema ndio hivyo ulishafukuzwa.ila kila lenye.mwanzo lina mwisho..kwa hiyo hata haya maneno yako yana mwisho.
 
CCM wakikupa hata ujumbe wa jumuia yeyote ngazi ya kata, nahama CCM.
I swear!!!
 
Back
Top Bottom