Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Huo mzunguko wote hauwezi kuufahamu iwapo 'skendo' hiyo alifanyiwa mtu mwingine.Dogo mmoja alikwenda Amani, Miheza. TANGA kutafuta vibarua, mwenyeji wake alikua anakaa servant quarter ya mama mmoja. Basi dogo alipofika alimkuta mwenyeji Wake,wakala chakula vizuri baadaye mwenyeji wake akamwambia waende bar wapate mbili tatu kwa ajili ya baridi Kali kule Amani. Sita usiku wanarudi wako tila Lila wanamkuta mama mwenye nyumba Yuko nje. Mama mwenye nyumba akawaambia hataki kuona mgeni analala kwenye servant kwota, kwanini hawakumpa taarifa mchana? Kumbuka hiyo Ni saa sita usiku na baridi ya Amani inakaribia zero degrees. Mwenyeji kwa vile alikua amelewa akafungua mlango akaingia kulala. Mgeni Ni mgeni kweli kule Amani hajui pa kwenda.
Kipindi hicho Kuna baridi Makambako ikasome, dogo pombe zilikatika katu. Akaenda kwenye klabu ya mataptap kulala kwenye mabenchi. Ile swala swala ilimkuta njiani anarudi alikitokea. Huku akiapa akirudi Amani aitwe mbwa.
Kwaio mimi ni mwamnyeto sio,,eti wewe chamaBakari nondo mambo
Kwangu mimi ndugu zangu ndio kipaumbele na sio mkewanguWanawake wa kipare shikamooni popote mlipo na roho zenu mbaya. Alikwenda binti kwa ndugu yake aliyeoa mpare. Asubuhi wakati wa chai mgeni kaambiwa hebu kaa hapo getini mpaka gari la shule liwachukue watoto. Alivyorudi ndani chai imekwisha kila mtu na hamsini zake, mchana mama wa kipare kapiga desh anajua mwenyewe alikokula. Chakula kilipikwa usiku wakati mume amerudi,na siochakula Cha kushiba MTU, unawajua wapare Tena kwenye kubana matumizi. Ile jioni ndio Mara ya kwanza binti mgeni anatia kitu tumboni. Kumuambia Kaka yake kwamba tangu asubuhi amepishana na chakula hawezi.
Siku tatu nyingi, binti alirudi kwao.
Wapi Bulwa au kwamkoro!!?Dogo mmoja alikwenda Amani, Miheza. TANGA kutafuta vibarua, mwenyeji wake alikua anakaa servant quarter ya mama mmoja. Basi dogo alipofika alimkuta mwenyeji Wake,wakala chakula vizuri baadaye mwenyeji wake akamwambia waende bar wapate mbili tatu kwa ajili ya baridi Kali kule Amani. Sita usiku wanarudi wako tila Lila wanamkuta mama mwenye nyumba Yuko nje. Mama mwenye nyumba akawaambia hataki kuona mgeni analala kwenye servant kwota, kwanini hawakumpa taarifa mchana? Kumbuka hiyo Ni saa sita usiku na baridi ya Amani inakaribia zero degrees. Mwenyeji kwa vile alikua amelewa akafungua mlango akaingia kulala. Mgeni Ni mgeni kweli kule Amani hajui pa kwenda.
Kipindi hicho Kuna baridi Makambako ikasome, dogo pombe zilikatika katu. Akaenda kwenye klabu ya mataptap kulala kwenye mabenchi. Ile swala swala ilimkuta njiani anarudi alikitokea. Huku akiapa akirudi Amani aitwe mbwa.
Siku ukioa mpare halafu akakupiga na limbwata la kutoka Tae, Makanya ndio utajua hujuiKwangu mimi ndugu zangu ndio kipaumbele na sio mkewangu
Mtoto alikuona bakari nondoKwaio mimi ni mwamnyeto sio,,eti wewe chama
Aisee😓Nilienda nyumba moja uko kusaidia kazi coz walkua na mtoto mdogo,,, uuuuweeeeh dada mkubwa alporud toka shule kunkuta anaulza eti huyu ni house girl wetu😰
🤣🤣🤣Nilishafukuzwa na ndugu kosa sikusuuza sahani.
Kibongobongo hapo umeshaanza kazi Mkuu Kwa familia nyingi kabla hujaajiriwa ukienda mkoani mfano kwaajili ya usahili, nyumbani ni mbali na una likizo fupi, uko shuleni na Kuna Ndugu mkoa huo basi utaenda kwani tunapenda basi Mkuu ni shida tu...lkn Kuna Wengine wanakuwa wakarimu tusisahau ......bi Mkubwa anakupigia nimeshaongea na shangazi Yako nenda haahaaaaa namba ni hizi haaaaaaa au Mzee wako....ndiyo ladha ya maisha.honestly sipendi kukaa kwa watu huwa nafikia lodge naenda kusalimia then narudi lodge . Isipokua ndugu nnae kaa kwake niwa tumbo moja tu wengine wote ni hotelin
Wapare ni wachoyo mno.Wanawake wa kipare shikamooni popote mlipo na roho zenu mbaya. Alikwenda binti kwa ndugu yake aliyeoa mpare. Asubuhi wakati wa chai mgeni kaambiwa hebu kaa hapo getini mpaka gari la shule liwachukue watoto. Alivyorudi ndani chai imekwisha kila mtu na hamsini zake, mchana mama wa kipare kapiga desh anajua mwenyewe alikokula. Chakula kilipikwa usiku wakati mume amerudi,na siochakula Cha kushiba MTU, unawajua wapare Tena kwenye kubana matumizi. Ile jioni ndio Mara ya kwanza binti mgeni anatia kitu tumboni. Kumuambia Kaka yake kwamba tangu asubuhi amepishana na chakula hawezi.
Siku tatu nyingi, binti alirudi kwao.
Wooooiiii wajameni,,ila baadae tulipendanaMtoto alikuona bakari nondo
nilimezea hadi naondoka pale, sikuwahi sema niliumia na ile kauli,,alivoona tu mgeni ni shwaaaa dada wa kaziAisee😓
Itakuwa yeye ni diaraWooooiiii wajameni,,ila baadae tulipendana
hehehehehe weye wasemaItakuwa yeye ni diara
Ndio ndio ndiooohehehehehe weye wasema
Mimi nadhani kuwa mara nyingi situation kama hii zinasababishwa na mambo mengine mengi na siyo ule ugeni tu. Familia inaweza kuwa na ugomvi mwingine au kukosa maelewano na mgeni anakuwa tu kama kichocheo cha kuvuga mambo.Ugenini Jamani kuna mambo Mengi sana. Na si ajabu unapoenda ugenini ukakutana na majanga tofauti tofauti.
Ugenini kuna watoto waliokosa adabu, ugenini kuna watu wasiopenda wageni anaweza kuwa mume au mke.
Unaweza kufika ugenini kumbe mmoja hana taarifa ile tu unaingia unaona watu Hawana furaha.
Kuna ndugu yangu aliwahi kunisimulia kuwa alikwenda mahali kumsalimia Shangazi yake.Mawasiliano yote alikuwa akifanya na Shangazi yake.
Mara baada ya kuwasili tu nyumbani na hata hajaingia ndani mume wa Shangazi yake anauliza huyu kijana amekuja kufanya nini hapa?
Chagua moja niondoke mimi au aondoke shangazi yako?
Mwenye Shangazi yake akakaa Kimya na kuendelea kumwandalia mgeni Chakula.
Anaeleza kuwa hakujisilia vizuri.
Wewe ulikumbana na nini ugenini?