Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaHii yote inaonesha ukiwa na uchumi unakuwa na kiburi na kujiamini, muone JD na Trump wanavyoongea kwa kujiamini bila kigugumizi kama Zele. Wakuu tutafute hela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaHii yote inaonesha ukiwa na uchumi unakuwa na kiburi na kujiamini, muone JD na Trump wanavyoongea kwa kujiamini bila kigugumizi kama Zele. Wakuu tutafute hela.
Aende kufanya nn huko?nchi za afrika trump aliziiti shit hole yaani shimo la mavi, viongozi wake si ndio atawaita uharo? Museveni tu alitishia kumkamata na kumfunga jela, haijulikana Trump anamheshimu kiongozi gani wa nchi gani ya Kiafrika na atatembelea nchi gani ya afrika kama ataendelea na dharau zake kwa mabara mengine. Ulaya yenyewe anaiona kama nyanya masalo tu
Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.
Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.
Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.
Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.
View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09
Ila alikuwa anakopa kinoma na kadanja madeni kawaachia wengine.Magufuli aliwajua mapema hawa wazungu hakuna kitu cha bure
Upon sahihi mkuu, Yani zelesnky alikuwa anaongea uhalisia wa mambo ulivyo alafu trump na vice wake walikuwa wanaongea siasa. Mitazamo miwili tofauti ndio maana hawakuelewana. Alafu peace deal za kisiasa hua zinatuliza upepo kwa muda tu adui anajipanga badae anarudi Tena.Nimeshangaa kuona watu wanasema Zele ana dharau. Yeye ndio kadhalilishwa. Namsupport kwa kusimamia nchi yake. Huyo VP wa USA ana kiburi sana.
Zele kauliza tuingie peace deal na Russia mna uhakika atatekeleza? Na kaeleza jinsi Russia alivyokiuka makubaliano.
Achana na hizo spinning, wewe mwenyewe baada ya kuangalia hayo mazungumzo umeona nini. Vitu viko wazi bado unasubiri uandikiwe uelezwe kilichotokea na wewe ukibebe kilivyo kama likondoo. Wewe umeona nini na tafsiri yako ni ipi, ukiachana na walichokiandika hao ama nilichokiandika mimi?Unaelewa tafsiri ya:
-JD Vance and Trump just put Zelensky in his place.
View attachment 3255398View attachment 3255401
kufanya mikataba ya kuvuna rasilimali za mataifa ya AfrikaAende kufanya nn huko?