Dharau za Rais wa Ukraine ni za level nyingine, anawakoromea Marekani nyumbani kwao. Angalia video

Dharau za Rais wa Ukraine ni za level nyingine, anawakoromea Marekani nyumbani kwao. Angalia video

Matokeo yake Trump ndo kadhalilika, alitegemea mteremko kama viongozi wa shithole countries
Hakutumia busara yaani mpaka kamuita Stupid president aisee
Zele kwa lile jicho nilisema anamzaba Kofi Trump
Asingeenda baada ya kuitwa Dictator
 
Huyu alitakiwa awe kichekesho tu na sio Rais
Na Trump kafanya makusudi ili amdhalilishe
Huyo ndo Rais sasa, ulitaka awe kama hawa marais wetu wa shithole countries? Mwamba kavamiwa na Putin hajakimbia anapambana, Trump naye anataka rasilimali za nchi yake kiutapeli mwamba kadinda.
Ila kwa akili zako hizi hata hawa viongozi wetu wa afrika tunawalaumu bure tu, make wanatoka miongoni mwetu na akili ndo hii kama yako.
 
Alichof
Magufuli aliwajua mapema hawa wazungu hakuna kitu cha bure
Alichofanikiwa huyo Magufuli wako ni kutoishi muda mrefu ktk Uraisi, vinginevyo angepakwa mafuta na angelegea kama Bafro kwenye chai.

Wathungu sio watu wathuri wewe.
 
Sawa.

Lakini wakiona wananyanyaswa na USA ni haki yao kuamua kuachana na msaada wa USA na kupigwa katika hizo wiki 3.

Nchi yao, maisha yao, vita yao.

Shida iko wapi?
Shida ni kwamba wasingefika kote huku kama wangemsikikza Russia wao wakakubali kudanganywa. Sasa hivi wamekimbiwa.
 
Shida ni kwamba wasingefika kote huku kama wangemsikikza Russia wao wakakubali kudanganywa. Sasa hivi wamekimbiwa.
Kwa nini unafikiri kuwa wameingia katika vita kwa kukubali kudanganywa na wasingedanganywa wasingeingia katika vita?

Unawezaje kusema hivyo kwa watu wanaotetea ardhi ya nchi yao?
 
Kwa nini unafikiri kuwa wameingia katika vita kwa kukubali kudanganywa na wasingedanganywa wasingeingia katika vita?

Unawezaje kusema hivyo kwa watu wanaotetea ardhi ya nchi yao?
Walishaambiwa wasijiunge na NATO kwa makubaliano kabisa wao wakakaidi.
 
Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.

Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.

Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.

Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.

View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09

👍
 
From your foggy orchard, you misconstrued the each bit of situation as it was unfolding. Of course well aware of threats lying ahead, Zelensky stood his ground, while amplifying his position by highlighting the historical perspective of the conflict.
You simply couldn't comprehend the tone and body language if US leaders; that was not a diplomatic one. They provoked Zelesky on purpose for him to make some statements they had waited for. Be keen.
 
Last time I checked Russian troops ndio wapo Ukraine, Ukrainians are just defending themselves
Cross check your facts on agreements on West expansion to the East. Continue checking.
 
Back
Top Bottom