Dharau za Rais wa Ukraine ni za level nyingine, anawakoromea Marekani nyumbani kwao. Angalia video

Dharau za Rais wa Ukraine ni za level nyingine, anawakoromea Marekani nyumbani kwao. Angalia video

Kwani zelensky ndio alianzisha vita?
Kimsingi yy ndo chanzo cha vita kuanza kwa kukiuka makibaliano ya mkutaba waliyowekeana nyuma. Kifup kaiangamiza nchi yake lakini ni bora kurudi kiwa meza moja na warusi kuliko kuwa karibu na wamarekani hiyo ni hatari zaidi kwake.
 
𝚆𝚊𝚝𝚞 𝚋𝚑𝚗𝚊, 𝚜𝚒𝚓𝚞𝚒 𝚑𝚞𝚠𝚊 𝚖𝚗𝚊𝚝𝚊𝚣𝚊𝚖𝚊 𝚖𝚖𝚋𝚘 𝚔𝚠𝚊 𝚓𝚒𝚌𝚑𝚘 𝚐𝚊𝚗?

𝙷𝚞𝚘 𝚖𝚔𝚞𝚝𝚊𝚗𝚘 𝚊𝚞 𝚔𝚒𝚔𝚊𝚘 𝚌𝚑𝚊 𝚓𝚞𝚞 𝚢𝚊 𝚖𝚊𝚛𝚎𝚔𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚞𝚏𝚊𝚒𝚍𝚒𝚔𝚊 𝚗𝚊 𝚖𝚊𝚍𝚒𝚗 𝚊𝚍𝚒𝚖𝚞 𝚗𝚊 𝚊𝚍𝚑𝚒𝚖𝚞 𝚗𝚊 𝚢𝚘𝚝𝚎 𝚑𝚊𝚢𝚘 𝚗𝚒 𝚔𝚠𝚊 𝚞𝚔𝚒𝚗𝚐𝚊 𝚠𝚊 𝚑𝚞𝚢𝚘 𝚛𝚊𝚒𝚜 𝚊𝚕𝚒𝚎𝚝𝚊𝚔𝚊 𝚟𝚒𝚝𝚊 𝚔𝚠𝚊 𝚔𝚞𝚝𝚎𝚐𝚎𝚖𝚎𝚊 𝚖𝚒𝚜𝚊𝚊𝚍𝚊.

𝙺𝚊𝚊𝚖𝚋𝚒𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚖𝚋𝚘 𝚔𝚊𝚍𝚑𝚊𝚊, 𝚒𝚔𝚒𝚠𝚎𝚖𝚘 𝚖𝚊𝚍𝚒𝚗𝚒 𝚕𝚊𝚔𝚒𝚗 𝚗𝚊 𝚞𝚌𝚑𝚊𝚐𝚞𝚣𝚒 𝚑𝚞𝚛𝚞 𝚔𝚠𝚊 𝚞𝚔𝚛𝚊𝚒𝚗𝚎. 𝙸𝚕𝚊 𝚋𝚒𝚕𝚊 𝚔𝚞𝚜𝚊𝚑𝚊𝚞 𝚊𝚖𝚎𝚙𝚎𝚠𝚊 𝚜𝚑𝚊𝚛𝚝 𝚕𝚊 𝚔𝚞𝚊𝚌𝚑𝚒𝚊 𝚖𝚊𝚎𝚗𝚎𝚘 𝚢𝚘𝚝𝚎 𝚊𝚖𝚋𝚊𝚢𝚘 𝚞𝚛𝚞𝚜𝚒 𝚊𝚖𝚎𝚢𝚊𝚝𝚊𝚔𝚊.

𝚂𝚊𝚜𝚊 𝚑𝚊𝚙𝚘 𝚔𝚒𝚗𝚊𝚌𝚑𝚘𝚎𝚗𝚍𝚎𝚕𝚎𝚊 𝚗𝚒 𝚔𝚞𝚕𝚎𝚝𝚊 𝚖𝚋𝚠𝚎𝚖𝚋𝚠𝚎 𝚗𝚊 𝚊𝚘𝚗𝚎𝚔𝚊𝚗𝚎 𝚊𝚗𝚊𝚊𝚔𝚒𝚕𝚒 𝚗𝚊 𝚞𝚌𝚑𝚞𝚗𝚐𝚞. 𝙸𝚕𝚊 𝚔𝚒𝚞𝚔𝚠𝚎𝚕𝚒 𝚑𝚊𝚗𝚊 𝚕𝚘𝚕𝚘𝚝𝚎 𝚊𝚝𝚊𝚕𝚘𝚕𝚒𝚏𝚊𝚗𝚢𝚊 𝚗𝚊 𝚞𝚗𝚒𝚗𝚐𝚊 𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚞𝚖𝚎𝚖𝚏𝚒𝚔𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚑𝚊𝚙𝚘.
Unaelewa chochote kuhusu Martial Law na Katiba ya Ukraine inasemaje kuhusu Uchaguzi wakati wa vita?
 
Kimsingi yy ndo chanzo cha vita kuanza kwa kukiuka makibaliano ya mkutaba waliyowekeana nyuma. Kifup kaiangamiza nchi yake lakini ni bora kurudi kiwa meza moja na warusi kuliko kuwa karibu na wamarekani hiyo ni hatari zaidi kwake.
Makubaliano yapi hayo ameyavunja?

Jana kasema walisaini makubaliano mara kadhaa na Putin, lakini Putin hakuzingatia makubaliano hayo, je alidanganya dunia waziwazi?
 
Kimsingi yy ndo chanzo cha vita kuanza kwa kukiuka makibaliano ya mkutaba waliyowekeana nyuma. Kifup kaiangamiza nchi yake lakini ni bora kurudi kiwa meza moja na warusi kuliko kuwa karibu na wamarekani hiyo ni hatari zaidi kwake.
Makubaliano yapi hayo ameyavunja?

Jana kasema walisaini makubaliano mara kadhaa na Putin, lakini Putin hakuzingatia makubaliano hayo, je alidanganya dunia waziwazi?
 
Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.

Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.

Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.

Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.

View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09

Mkao wake umeniacha hoi
 
Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.

Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.

Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.

Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.

View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09

Mwishoni ikawaje!
 
Huyu Rais wa Ukraine ni mfano wa kuigwa, kakomaa na msimamo wake hadi mwisho. Hivi ilikuwa na maana gani kuweka live haya mazungumzo?. Katoa somo kubwa hata kwa marais wa Afrika, hata kama tuna shida, basi zisitufanye watumwa.
Yaani alikuwa na hasira anataka kupasuka

Na ombaomba wote wawe wanawekwa live tuone wanavyo tukanwa huku wanapewa hela
Ila ukizoea kuomba unakuwa huna Soni hata (wakikusonkola) 😄
Unakomaa tu mpaka upewe
Na kujichekesha kwingi

Hapo Zele hata meno huyaoni alivyokasirika
Ila Trump kiboko
 
Utegemezi ni mmbaya kwa kweli

Kama Rais aliye kwenye vita, ndio wahanga walisema; amekufa kiume kule🤣🤣🤣🤣😅
Haswa
Ila waafrika wangekuwa wanasema ukweli wakirudi

Kama aliebakwa ukimwambia "nasikia umebakwa?
Aah ila kwa mbinde,

Ndio nao wanadhalilishwa sana na kuambiwa hivi mtajitegemea lini?
Kila leo kuomba omba tu

Wakirudi naona wanawaambia wa karibu ila nimepambana mpaka kuzipata
Kwa hiyo nusu zangu zingine mgawane nyinyi wote 😄 🤣 😂
 
A-withdraw kwenda wapi? Wayukrein wondoke Ukraine?
Russia hakutaka kuvamia kama sio UK kukaza fuvu na lengo lake sio kuwafukuza wa Ukraine. Hii vita inge8sha kipindi kile wame kaa kupata suruhu ila Uk aka jitoa kwenye mazungumzo
 
....zoba sana.....unatunisha vipi misuli kwa mtu kama Trump ?!!
Ama alikuwa ndotoni akidhani pembeni yake yuko Rais Joe Biden ?!!ha ha ha
Alienda akidhani kweli kaitwa kusaini madili
Ni tamaa zake tu maana kaficha hela nyingi sana za misaada alizopewa
Sasa watamuondoa na kauka nikuvae zake hizo halafu wamuweke wa kwao
 
Jamaa alipigia kampeni Republic siyo..

Ile jamaa anapenda ligi hivi vita havikuwa na umuhimu swala kujiunga NATO halikuwa wazo bora
🤣🤣🤣 Alimsaidia kamara hariss ndio maana wanataka kumnyoosha kumbe dah !!! Kazi anayo
 
Huyu alitakiwa awe kichekesho tu na sio Rais
Na Trump kafanya makusudi ili amdhalilishe
Yeah ile ni makusudi kabisa tena makusudi kubwa . Yule watamtoa madarakani wata muweka mtu wao puppet wa trump na putin na hayo madini watakua wana yachukua kama kawa . Ndio maana akampa sharti gumu ili ashindwe kulifanya ili wapate sababu ya kumbonda
 
Back
Top Bottom