Dharau za Rais wa Ukraine ni za level nyingine, anawakoromea Marekani nyumbani kwao. Angalia video

Dharau za Rais wa Ukraine ni za level nyingine, anawakoromea Marekani nyumbani kwao. Angalia video

"Nje
Kama Zele kafanyiwa hivyo
Sasa nataka na viongozi wa nchi masikini wawekwe mbele ya makamera wanapoenda na bakuli kuombaomba
Hiyo itapunguza safari zao za nje kwenda kuomba
Trump ashikilie hapo hapo
UK naona Waziri mmoja kaachia ngazi kisa PM alisema anapunguza sana misaada ili aongeze bajeti ya Ulinzi
Kila mmoja apambane na hali yake
"...nje hatuna wajomba"-Hayati JPM (resty easy amen).
 
Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.

Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.

Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.

Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.

View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09

Inaelekea lugha haipandi.
Mtu anasimangwa kama mjane??
Huoni hadi ameishiwa nguvu
 
Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.

Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.

Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.

Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.

View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09

Kwa nini mtu kusimamia anachokiamini unaita dharau na kiburi?
 
Unasimamia unachokiamini huku ukiwa dhaifu na muhitaji kwa hao unaokwenda kuisimamisha hiyo misimamo ?!!
Naam.

Kwani ukiamini kitu wakati wewe ni dhaifu, udhaifu wako unakufanya usisimamie kile unachokiamini na unachotaka kusimamia?

Let me use a crude example to drive my point home vividly.

Wewe ukiwa mwanamme, hutaki kubakwa, halafu ni dhaifu, anakuja mwanamme mwenzako mbabe anataka kukubaka, utaacha kusimamia kuwa wewe ni mwanamme hutaki kubakwa kwa sababu tu huyo anayetaka kukubaka ana nguvu zaidi yako?
 
Naam.

Kwani ukiamini kitu wakati wewe ni dhaifu, udhaifu wako unakufanya usisimamie kile unachokiamini na unachotaka kusimamia?

Let me use a crude example to drive my point home vividly.

Wewe ukiwa mwanamme, hutaki kubakwa, halafu ni dhaifu, anakuja mwanamme mwenzako mbabe anataka kukubaka, utaacha kusimamia kuwa wewe ni mwanamme hutaki kubakwa kwa sababu tu huyo anayetaka kukubaka ana nguvu zaidi yako?
....hoja yangu ni kuwa hutaki kubakwa na mwanaume mwenzako halafu katika kujitetea huko unataka huyo anayetaka kukubaka akuonee huruma na kukupa msaada wa kutobakwa.....
 
Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.

Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.

Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.

Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.

View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09

Tatizo lako ujui tabia za MACHOKO WEWE HASA KIBURI NDIYO MAANA UNAMUONA ZELENSKY KUWA SHUJAA
 
Zele ana tamaa sana
Aliitwa Dictator bado hakielewa tu
Kwa ujinga wake na tamaa za kusaini mkataba ndio udenda ukamtoka
Sasa katimuliwa hata Dinner hakula masikini 😄 🤣
Utegemezi ni mmbaya kwa kweli

Kama Rais aliye kwenye vita, ndio wahanga walisema; amekufa kiume kule🤣🤣🤣🤣😅
 
Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.

Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.

Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.

Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.

View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09


Huyo president wa Ukraine hajielewi
 
Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.

Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.

Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.

Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.

View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09

Jamaa n wapuuzi sana wao ndo walitaka kumdharau na kumdhalilisha kikao kama hichi n cha siri ila wamejaza media ili wamtukane live ata mm ningevimba nisingekubali
 
Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.

Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.

Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.

Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.

View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09

Jamaa n wapuuzi sana wao ndo walitaka kumdharau na kumdhalilisha kikao kama hichi n cha siri ila wamejaza media ili wamtukane live ata mm ningevimba
 
Hata hivyo Trump ana dharau za wazi na ni boss ambaye anataka akiongea useme ndiyo,mbona hata maseneta anagombana nao!!?Kiujumla alikuwa amejiandaa kumponda zaidi dogo,naye akaona unyonye isiwe shida hata mbele ya vyombo vya habari.
 
Kwa mara ya kwanza nimemuonea huruma Zelesky kwa upumbavu wake. My thoughts are to Ukrainians to see their leader is humiliated and like this on live media. It's truly saddening.
When you are poor, you should have a very well diplomacy and hypocrisy to deal with today's politics.
Again, sad.
Mkuu kwahiyo upumbavu wake ni kukataa kuwa mnafki sio?
 
Back
Top Bottom