Dharau za Rais wa Ukraine ni za level nyingine, anawakoromea Marekani nyumbani kwao. Angalia video

Aende kufanya nn huko?
 
Unaelewa tafsiri ya:
-JD Vance and Trump just put Zelensky in his place.
View attachment 3255398
 
Upon sahihi mkuu, Yani zelesnky alikuwa anaongea uhalisia wa mambo ulivyo alafu trump na vice wake walikuwa wanaongea siasa. Mitazamo miwili tofauti ndio maana hawakuelewana. Alafu peace deal za kisiasa hua zinatuliza upepo kwa muda tu adui anajipanga badae anarudi Tena.

Zeldnsky anataka amani ya kudumu yaani nchi yake iwe na jeshi imara pamoja na physical security guarantee toka US, vitu vitakavyomzuia Russia kumvamia tena na sio peace deal ya maneno Wala makaratasi ambayo Russia amekuwa akivunja mara Kwa mara.
 
Unaelewa tafsiri ya:
-JD Vance and Trump just put Zelensky in his place.
View attachment 3255398View attachment 3255401
Achana na hizo spinning, wewe mwenyewe baada ya kuangalia hayo mazungumzo umeona nini. Vitu viko wazi bado unasubiri uandikiwe uelezwe kilichotokea na wewe ukibebe kilivyo kama likondoo. Wewe umeona nini na tafsiri yako ni ipi, ukiachana na walichokiandika hao ama nilichokiandika mimi?

Ni nani ana guts za kwenda kuvimbia Marekani nyumbani kwao na kujibizana vile? Usisahau Zelensky alienda ili wasaini deal la madini, akafika akagoma na wakaanza kujibizana hivyo, hiyo sio kiburi ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…