Yaani mwizi anakimbia wakati hakuna mtu anaye mfukuza, that is what Tanzanians kama wewe think. Kenya haina shughuli yeyote na Tanzania wala mpango kama huo ambayo wewe unajiaminisha, hii tabia ya kusingizia Kenya kila mapungufu yenu ilianzishwa na priopaganda, sasa raiya wengi hawana uwezo wa critical thinking, akili zimeganda!, sasa ona ulivyo onyesha mapungufu yako, blind patriotism on display, u cant think! 😂 😂 😂 😂 ., port activities in Kenya are just running normal with specific policies and objectives for effeiciency, Tanzania haipo kwa agenda, kwa utalii Kenya is never competing na Tanzania ni vile mmeamka hivi majuzi mmeanza kupiga hela ndefu mnadhani ni sisi tulikua tumewakandamiza ila mlikua mmezubaa tu, now u are doing marketing mnaona matokeo., na bado tofauti ya faida na Kenya ni kidogo sana! 😂 😂 .,
Tukirudi kwa port business, sasa Maersk na mashirika mengine wenyewe wakiamua kuweka headquarters zao Kenya kutokana na utafiti wao na mapendeleo yao wewe unaona eti ni Kenya imewalazimisha eti? wao ni multinational sio wanyonge wakubebwa ujinga na kanchi kadogo kama Kenya, kwani wao ni wapumbavu aje walazimishwe ama kushurutishwa kuwekeza Kenya?😂 😂 😂 😂 😂, In maana kwa hizi fikra zako uchwara, vile Kenya iko na headquarters kibao ya several international media houses, organizations kama UNEP na kampuni mingi tu ni Kenya imewashauri na kuwabana wasiende nchi nyingine Africa waje tu hapa Kenya? wacha kuaibisha watanzania, hope hizi ni fikra zako za kibinafsi na sio mtazamo wa wenzako maana huu ni ujinga wa kupindukia 😂 😂 😂 😂 😂 ., kila mnapofeli usiwe mwepesi wa kulaumu nchi jirani, tengeneza mikakati na miundo mbinu ili na nyinyi muweze ku attract investors, ushamba peleka mbali wewe kilaza., investors wanafanya uamuzi wao kutokana na several factors zinazo wapendeza na ni advantage kwa biashara yao., jaribu kufanya utafiti uwache kukurupuka tu ovyo ovyo.,