Dhuluma za Wakenya kwa bandari yetu

Dhuluma za Wakenya kwa bandari yetu

Wakuu,

Wakenya wanaiua bandari yetu kimya kimya.

Hivi karibuni makampuni kadhaa hapa Tanzania yameanza kupeleka bidhaa zao Bandari ya Mombasa baada ya nafasi za shipping line maarufu ya Maersk kukosekana kabisa hapa nchini.

Msafirishaji akiangalia nafasi za kuexport mzigo kwa hapa nchini hapati ila akifanya hivyo kwa Mombasa anakuta nafasi za kutosha.

Ipo haja ya mamlaka za Serikali kuamka na kukemea hujuma hii kwani ikiachwa iendelee bandari ya Dar inakufa ikijiona.
Mama Alisha enda kuweka dole. Hakuna shida tuendelee tu
 
Hizi ni porojo za kijinga,kwamba haya yote wewe unayajua ila serikali haiyajui sio?

Makao makuu ya mashirika ya kibiashara na umoja wa Mataifa hayajaanza Jana kuifanya Nairobi base yao.Hapa Tzn hakuna hata shirika moja.
Najua ujuha wako, lakini ngoja nikujibu tu.
Wewe unaangalia makao makuu ya Umoja wa Mataifa, ambayo hayana maana kwa ninayoyaandikia hapa. Ufinyu wako wa akili haukuwezeshi kujua ni nini hasa kinacholengwa na uwepo wa mikakati ya kutufanya tuwe tegemezi kwa hao Kenya kupitia njia hii.
Hakuna anayekataza wasiweke hayo makao yao huko, lakini wanapokuja kufanya shughuli zao hapa kwetu wakipitia kwenye kikoloni chao hapo ni lazima walipe stahiki na watimize masharti. Huwezi tu "kufungua/kutanua" bila ya kuelewa ni nini kinachoendelea.

Wakifungua kiofisi chao huko ili wakitumie kuja hapa kuzoa, ni lazima wakute ukuta madhubuti unaowanyima fursa hiyo.
 
Mkiambiwa hatuna bandari kubwa ya uhakika mnakataa!
Nendeni Mombasa mkajifunze pengine mkajionea wenyewe kwa nini wafanyabiashara wanaelekeza bidhaa zao pale!
 
Wakuu,

Wakenya wanaiua bandari yetu kimya kimya.

Hivi karibuni makampuni kadhaa hapa Tanzania yameanza kupeleka bidhaa zao Bandari ya Mombasa baada ya nafasi za shipping line maarufu ya Maersk kukosekana kabisa hapa nchini.

Msafirishaji akiangalia nafasi za kuexport mzigo kwa hapa nchini hapati ila akifanya hivyo kwa Mombasa anakuta nafasi za kutosha.

Ipo haja ya mamlaka za Serikali kuamka na kukemea hujuma hii kwani ikiachwa iendelee bandari ya Dar inakufa ikijiona.
Toa maelezo ambayo yatawawezesha wahusika kuona tatizo lilipo na kuona njia sahihi ya marekebisho.
 
Najua ujuha wako, lakini ngoja nikujibu tu.
Wewe unaangalia makao makuu ya Umoja wa Mataifa, ambayo hayana maana kwa ninayoyaandikia hapa. Ufinyu wako wa akili haukuwezeshi kujua ni nini hasa kinacholengwa na uwepo wa mikakati ya kutufanya tuwe tegemezi kwa hao Kenya kupitia njia hii.
Hakuna anayekataza wasiweke hayo makao yao huko, lakini wanapokuja kufanya shughuli zao hapa kwetu wakipitia kwenye kikoloni chao hapo ni lazima walipe stahiki na watimize masharti. Huwezi tu "kufungua/kutanua" bila ya kuelewa ni nini kinachoendelea.

Wakifungua kiofisi chao huko ili wakitumie kuja hapa kuzoa, ni lazima wakute ukuta madhubuti unaowanyima fursa hiyo.
Wewe ni mpumbavu,nimekuuliza ni lini mashirika ya kimataifa yakiwemo ya kibiashara yakaweka makao makuu hapa Tzn? Kama unayajua yaweke hapa..miaka yote toka uhuru huwa wanaweka base Kenya kwa hiyo jipya ni lipi hasa? We kima una matatizo sio bure.
 
Mama Alisha enda kuweka dole. Hakuna shida tuendelee tu
Ndiyo maana mizigo toka Zanzibar ndiyo ilikuwa ya kwanza kupitishiwa bandari mpya ya Lamu ikipelekwa kuuzwa Arabuni.
Wewe ni mpumbavu,nimekuuliza ni lini mashirika ya kimataifa yakiwemo ya kibiashara yakaweka makao makuu hapa Tzn? Kama unayajua yaweke hapa..miaka yote toka uhuru huwa wanaweka base Kenya kwa hiyo jipya ni lipi hasa? We kima una matatizo sio bure.
Sishangai kwa mtu kama wewe, lakini ngoja niendelee kukuvumilia kidogo, labda ninachokueleza hatmaye utakiona bayana.

Unaniuliza hilo swali ukiwa na maana gani, kwamba Kenya ndiko kulikoamriwa kuwepo na makao makuu ya hayo mashirika na nani na sababu zipi? Usipende tu kukurupukia mambo kwa vile unajibiwa hapa JF na mtu asiyekuona kuwa na aili za kutosha. Tulia ujiulize kuhusu swali lako hilo mwenyewe.
Kuna sababu yoyote ya maana sana kufanya mashirika hayo yote kuwa na uamzi huo mmoja wa kuweka makao yao huko, ili wakafanye shughuli zao Tanzania?

Jambo ninalokusisitizia wewe, na wenzako wengine wenye mawazo kama yako ni hili: Sawa, waweke makao yao huko, lakini wanapokuja kufanya kazi hapa tusikubali kuwapa mwanya wa urahisi wa kutuibia au kutuvuruga. Wakijakufanya kazi hapa, waje kwa masharti yale yale kama wangekuja hapa kutokea huko kwao.
Wasiweke kiofisi Nairobi, halafu waje hapa kutujazia waajiriwa toka Kenya, huo ukiwa ni mfano mmoja tu wa masharti.

Sasa basi, kama unataka mjadala na mimi juu ya jambo la muhimu kama hili kuhusu nchi yetu, nakuomba uache ujuha uliozoea kuubandika humu JF. Njoo tujadili kwa heshima.
 
Nitakutafutia tu siku, nakuhimiza tu uendelee kutembelea jukwaa hili mara kwa mara. Kenya haina kitu chochote cha kujigamba dhidi ya Tanzania, ndiyo maana manajikomba sana ili muendelee kuinuka kwa kuitegemea Tanzania. Wewe tazama sehemu zote za uchumi, ni nini hasa kilichopo huko mnachoweza kudhani kitawainua? Mpo hapo mlipofikia kwa kudandia kwa wazungu, Wamarekani na waingereza. Kama siyo hawa kuendelea kuwafanya kama koloni hali yenu ingekuwa ni mbaya zaidi Halafu unakuja hapa kujigamba kumbe huna lolote.
Gibberish 😂😂😂😂., clueless day dreamer., hakuna jipya utaniambia, not unless u understand economics proper., Propaganda baki nazo.
 
Umeongea points nzuri Sana.

Hilo la makampuni makubwa kuwa na HQs huko Nairobi, hilo Ni kweli kabisa na wakenya wamefanikiwa Sana.

* Ukiangalia Banks kubwa zote za hapa TZ, HQs zake zipo Nairobi (ukiondoa hizi CRDB na NMB).

* Ukiangalia Insurance Company kubwa zote za hapa Tanzania, HQs zake zipo Nairobi

* Ukiangalia hizo shipping company kubwa, HQs zake zipo Nairobi

* Ukiangalia consumer goods company HQs zake zipo Nairobi

Kwa kifupi wakenya wamefanikiwa Sana kwenye vita ya kiuchumi dhidi ya Tanzania. Na ndio maana Balance of payments between Kenya na Tanzania haiwezi kuwa sawa. Sisi tunawapeleke mahindi (ndio export yetu kubwa, wao wanatuletea industrial and consumer goods), Sasa hapa balance of payments itakuwaje sawa.

Wakenya wame acquire viwanda vingi tu hapa Tanzania na mwisho wamevigeuza kama distribution centers (wakatengeneza bidhaa huko kwao na kuleta hapa na kuuza kupitia hizi kampuni za Tanzania ambazo wamezigeuza kuwa just warehousing).

Ukiangalia kwa undani Sana, kitendo cha kuwaruhusu kumiliki banks nyingi Sana hapa Tanzania, maana yake wameushikilia huu uchumi wetu kwa mikono miwili. Kwa hiyo utakuja kuta katika Hali ya kawaida Kenyan companies zinakuwa na competitive advantage dhidi ya Tanzanian companies linapokuja swala zima la priorities kwenye financing za biashara (wakenya watakuwa wanasaidia Sana)

Ukweli Ni kwamba Usalama wa Taifa umefeli pakubwa Sana kwenye ili Jambo. Wao walitakiwa kuwa mstari wa mbele kuhakikisha Tanzanian wanakuwa vinara kwenye kumiliki uchumi (sio wa Kenya Wala Indians).

Mimi Nina mifano mingi na ninajua namna gani hawa wa Kenya wanatudidimiza, Ila shida inabakia kwa Usalama wa Taifa letu, wameweka siasa Mbele Sana.
Kosa liko wapi watu wakifanya biashara wakati wengi wenu kazi ni hadithi za vijiweni kama hizi fikra zako., na wewe si uchangamke, dunia ya sasa ni global village., Tafuta uelewa, umeeleza vizuri kile Kenya inafanya kibiashara, sasa angalia policies za CCM kama zinavutia wawekezaji ama la?., wacha kibweka bweka tu without taking due diligence to understand contemporary business dynamics in EAC and globally.
 
Disclose the source of your argument and authentic statistics to support your claims. otherwise you better remain silent as no research no rights to speak.
Rumours sometimes can be nutritiuos.
 
Gibberish 😂😂😂😂., clueless day dreamer., hakuna jipya utaniambia, not unless u understand economics proper., Propaganda baki nazo.
Umejuwa msamiati wa "Gibberish" hivi karibuni, maana sioni maana ya kutumia hilo neno hapa.
"...understand economics proper" , ipi ya wizi, uporaji?

Kenya ni 'Satellite' state ya wakubwa wa dunia hii wanaotafuta maslahi yao wenyewe. Unaona Uhunye anavyohangaika kujikombakomba kila mahali, utadhani ni mtumishi wa hao wanaoiendesha nchi hiyo!
 
Wakuu,

Wakenya wanaiua bandari yetu kimya kimya.

Hivi karibuni makampuni kadhaa hapa Tanzania yameanza kupeleka bidhaa zao Bandari ya Mombasa baada ya nafasi za shipping line maarufu ya Maersk kukosekana kabisa hapa nchini.

Msafirishaji akiangalia nafasi za kuexport mzigo kwa hapa nchini hapati ila akifanya hivyo kwa Mombasa anakuta nafasi za kutosha.

Ipo haja ya mamlaka za Serikali kuamka na kukemea hujuma hii kwani ikiachwa iendelee bandari ya Dar inakufa ikijiona.
Kila siku mnawaza kuhujumiwa tu bila kutafuta njia mbadala.Shija ya bandari yetu ni nafasi ndogo .Gari zinaleta Shaba Kutoka Zambia na Congo lkn zinakaa week nzima hazijashusha.serikali iruhusu bandari ya Tanga itumike kwa export .itasaidia kupunguza Foleni
 
Umejuwa msamiati wa "Gibberish" hivi karibuni, maana sioni maana ya kutumia hilo neno hapa.
"...understand economics proper" , ipi ya wizi, uporaji?

Kenya ni 'Satellite' state ya wakubwa wa dunia hii wanaotafuta maslahi yao wenyewe. Unaona Uhunye anavyohangaika kujikombakomba kila mahali, utadhani ni mtumishi wa hao wanaoiendesha nchi hiyo!
Unachekesha na kutia huruma kwa pamoja., Kaka kojoa tu ukalale.😂😂
 
Unachekesha na kutia huruma kwa pamoja., Kaka kojoa tu ukalale.😂😂
Hucheki chochote,unaumia sana moyoni kupata ukweli.

Kama unahuruma, lihurumie sana taifa lako linalofanywa kuwa kama chooni kwa wakubwa.
Wale 'Bandits' wanaosumbua kule Laikipia, unadhani wao wanafanya wasichokijuwa? Wanajaribu kuliokoa taifa lao kwa kila njia iwezekanayo hata kama wanaitwa majina mabaya.
 
Wakuu,

Wakenya wanaiua bandari yetu kimya kimya.

Hivi karibuni makampuni kadhaa hapa Tanzania yameanza kupeleka bidhaa zao Bandari ya Mombasa baada ya nafasi za shipping line maarufu ya Maersk kukosekana kabisa hapa nchini.

Msafirishaji akiangalia nafasi za kuexport mzigo kwa hapa nchini hapati ila akifanya hivyo kwa Mombasa anakuta nafasi za kutosha.

Ipo haja ya mamlaka za Serikali kuamka na kukemea hujuma hii kwani ikiachwa iendelee bandari ya Dar inakufa ikijiona.
Wewe ndio unazinduka leo sio? Kila siku unashadadia siasa chafu nchini na kila tukihimiza mageuzi huwa unatuona kama sio wazalendo wa nchi hii kisa tunaikosoa ccm yako....


Tulia sasa si tumekubaliana kuwa tuko busy tunapambana kumfunga Mbowe maana ndiye kikwazo cha uchumi wetu?
 
Umeongea points nzuri Sana.

Hilo la makampuni makubwa kuwa na HQs huko Nairobi, hilo Ni kweli kabisa na wakenya wamefanikiwa Sana.

* Ukiangalia Banks kubwa zote za hapa TZ, HQs zake zipo Nairobi (ukiondoa hizi CRDB na NMB).

* Ukiangalia Insurance Company kubwa zote za hapa Tanzania, HQs zake zipo Nairobi

* Ukiangalia hizo shipping company kubwa, HQs zake zipo Nairobi

* Ukiangalia consumer goods company HQs zake zipo Nairobi

Kwa kifupi wakenya wamefanikiwa Sana kwenye vita ya kiuchumi dhidi ya Tanzania. Na ndio maana Balance of payments between Kenya na Tanzania haiwezi kuwa sawa. Sisi tunawapeleke mahindi (ndio export yetu kubwa, wao wanatuletea industrial and consumer goods), Sasa hapa balance of payments itakuwaje sawa.

Wakenya wame acquire viwanda vingi tu hapa Tanzania na mwisho wamevigeuza kama distribution centers (wakatengeneza bidhaa huko kwao na kuleta hapa na kuuza kupitia hizi kampuni za Tanzania ambazo wamezigeuza kuwa just warehousing).

Ukiangalia kwa undani Sana, kitendo cha kuwaruhusu kumiliki banks nyingi Sana hapa Tanzania, maana yake wameushikilia huu uchumi wetu kwa mikono miwili. Kwa hiyo utakuja kuta katika Hali ya kawaida Kenyan companies zinakuwa na competitive advantage dhidi ya Tanzanian companies linapokuja swala zima la priorities kwenye financing za biashara (wakenya watakuwa wanasaidia Sana)

Ukweli Ni kwamba Usalama wa Taifa umefeli pakubwa Sana kwenye ili Jambo. Wao walitakiwa kuwa mstari wa mbele kuhakikisha Tanzanian wanakuwa vinara kwenye kumiliki uchumi (sio wa Kenya Wala Indians).

Mimi Nina mifano mingi na ninajua namna gani hawa wa Kenya wanatudidimiza, Ila shida inabakia kwa Usalama wa Taifa letu, wameweka siasa Mbele Sana.
Inabidi sasa T waingie mzigoni sasa

Wapigane vita vya kiuchumi

Ova
 
Watanganyika kwa roho mbaya zenu ndio munaioiuwa Bandari yenu, TPA kwa kushirikiana na TRA. Watanganyika munapokua maeneo ya kazi munakua malimbukeni kweli na kila siku zinakuja sheria kandamizi kumminya mfanyabiashara. Lijitu linataka liendelee kuonekana Don kijijini kwake kila december akienda likizo jitu kama hili litaachaje kuweka vikwazo ili tu watu wasiinuke kimaisha?
 
Mkuu 'Nkuba25', nimekuelewa vizuri sana, na nadhani tutaendelea kukutana kwenye majadiliano ya aina hii kila yatakapokuwa yanajitokeza.
Mimi sielewi kabisa Samia Suluhu katokea wapi hata asiwe na msingi wa kujuwa baadhi ya haya mambo. Huyu ni kiongozi ambaye amekuwemo kwenye serikali kwa muda mrefu ya kutosha, itakuwaje hata asiwe amesikia sikia habari zozote kuhusu haya mambo?

Anakwenda huko na anarudi hapa kwa furaha anajitangaza kwenda "Kufungua Nchi" - anamfungulia nani, na kwa misingi ipi?
Una uhakika gani kwambw hajui? Mawazir mkatibu wa wizara husika wanafanya nn?
 
Back
Top Bottom