auferet dominus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,804
- 1,292
Upi, wa kusema kuwa sekta ya bandari inaendeshwa kizembe na serikali au CDM ndio inaendesha bandari kizembe au kivipi?Chadema ndiyo wanapenda huu ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upi, wa kusema kuwa sekta ya bandari inaendeshwa kizembe na serikali au CDM ndio inaendesha bandari kizembe au kivipi?Chadema ndiyo wanapenda huu ujinga
Kivipi, kwa kusema kuwa sekta ya bandari inaendeshwa kizembe na serikali au CDM ndio inaendesha bandari kizembe au kivipi?Sijaonaga watu wapuuzi kama CHADEMA ndio furaha yao iliyojificha,"MAMLAKA HUSIKA KUPITIA INTELEGENSI YAKE ITATUE HUJUMA HII KAMA IPO"
Dat is true.tunaisifia dar inaongoza kwa mapato kumbe ni bandari tu sasa wanaogopa kuhamisha shughuri za bandari ili tu dar pabakie dar.Mkuu hapo wa kulaumiwa na kuwajibishwa ni hao watendaji wa Serikali na Serikali yenyewe.
Sasa kama hayo makampuni yameona Kenya kuna space ndio wakae wasubirie Serikali yetu iliyosinzia iwatafutie space ambazo hazipo wakati wao ni wafanyabiashara na wana order kibao za wateja wao. Ndi maana wameamua kukimbilia Kenya
Tuna uzembe mwingi sana Mkuu halafu lawama tunataka kuwapa wengine.
Just imagine kama space Dar imekuwa ni ndogo kwani bandari ni Dar tu,kwa nini wasingeipa shavu na bandari ya Tanga mizigo ikachukuliwe huko,ni akili ndogo tu wala ahihitaji kwenda shule. Hapo sia ajabu mtu mroho wa serikalini mmoja ameona akipeleka Tanga hatapata mtonyo wowote kaamua kiuumiza nchi mazima,na huenda huko Kenya sia ajabu port charges zikawa ni ndogo wakahamia mazima huko huko.
Hebu twende taratibu... hatua kwa hatua!!Hivi karibuni makampuni kadhaa hapa Tanzania yameanza kupeleka bidhaa zao Bandari ya Mombasa baada ya nafasi za shipping line maarufu ya Maersk kukosekana kabisa hapa nchini.
Hapa Tanzania hatuna ufanisi mkuu, wahusika wanaacha kunyenyekea wateja wao wako bize kutafuta namna ya kuibia serikali. Maboss wa bandari yetu wako very incompetent, ukienda mtu unayejitambua na kutaka kuleta maendeleo pale Wapare wanakuroga.Wakuu,
Wakenya wanaiua bandari yetu kimya kimya.
Hivi karibuni makampuni kadhaa hapa Tanzania yameanza kupeleka bidhaa zao Bandari ya Mombasa baada ya nafasi za shipping line maarufu ya Maersk kukosekana kabisa hapa nchini.
Msafirishaji akiangalia nafasi za kuexport mzigo kwa hapa nchini hapati ila akifanya hivyo kwa Mombasa anakuta nafasi za kutosha.
Ipo haja ya mamlaka za Serikali kuamka na kukemea hujuma hii kwani ikiachwa iendelee bandari ya Dar inakufa ikijiona.
Mkuu 'Detective J',Una uhakika gani kwambw hajui? Mawazir mkatibu wa wizara husika wanafanya nn?
"Mimi sielewi kabisa Samia Suluhu katokea wapi hata asiwe na msingi wa kujuwa baadhi ya haya mambo. Huyu ni kiongozi ambaye amekuwemo kwenye serikali kwa muda mrefu ya kutosha, itakuwaje hata asiwe amesikia sikia habari zozote kuhusu haya mambo?"Mkuu 'Detective J',
Muundo wa utawala wa nchi yetu ulivyo ni kwamba Rais ndiye kila kitu. Hao wengine unaowataja hapo wapo tu kutimiza asemacho Rais. Hata wakiwa wanajuwa chochote, wakishaona dalili za mwelekeo alionao Rais, hawana ubavu tena wa kusema wanayoyajuwa.
Unaniuliza nina uhakika gani? Mbona sikuliweka hivyo kama ulivyoliweka wewe. Ni wapi nilipoandika kuwa "nina uhakika"?
Kama kuna 'possibilities' nying, basi hakuna "uhakika", inakuwaje hulioni hilo?"Mimi sielewi kabisa Samia Suluhu katokea wapi hata asiwe na msingi wa kujuwa baadhi ya haya mambo. Huyu ni kiongozi ambaye amekuwemo kwenye serikali kwa muda mrefu ya kutosha, itakuwaje hata asiwe amesikia sikia habari zozote kuhusu haya mambo?"
Refer to ulichoandika. Unashangaa rais kutojua? Is nikakuuliza unauhakika gani kwa hajasikia au hafaham hilo jambo??
I mean kuna possibility nyingi.
Probably amesikia.. au ana faham.. but si kwamba hajui kabisa. Possibility ni nying + rais ana sources nyingi za kupata habari
TUnajenga mpya BagamoyoWakuu,
Wakenya wanaiua bandari yetu kimya kimya.
Hivi karibuni makampuni kadhaa hapa Tanzania yameanza kupeleka bidhaa zao Bandari ya Mombasa baada ya nafasi za shipping line maarufu ya Maersk kukosekana kabisa hapa nchini.
Msafirishaji akiangalia nafasi za kuexport mzigo kwa hapa nchini hapati ila akifanya hivyo kwa Mombasa anakuta nafasi za kutosha.
Ipo haja ya mamlaka za Serikali kuamka na kukemea hujuma hii kwani ikiachwa iendelee bandari ya Dar inakufa ikijiona.
Wakuu wa bandari na wasemaji husika waseme neno juu ya mada hii ingawa binafsi nanusa HARUFU YA UONGO NA KAMA KAUCHOCHEZI kutoka kwa mleta uzi. Hayo ni maoni yangu sasa msinirukie kama mamba!Wakuu,
Wakenya wanaiua bandari yetu kimya kimya.
Hivi karibuni makampuni kadhaa hapa Tanzania yameanza kupeleka bidhaa zao Bandari ya Mombasa baada ya nafasi za shipping line maarufu ya Maersk kukosekana kabisa hapa nchini.
Msafirishaji akiangalia nafasi za kuexport mzigo kwa hapa nchini hapati ila akifanya hivyo kwa Mombasa anakuta nafasi za kutosha.
Ipo haja ya mamlaka za Serikali kuamka na kukemea hujuma hii kwani ikiachwa iendelee bandari ya Dar inakufa ikijiona.
Kwani hawawezi kuizuia hiyo?TUnajenga mpya Bagamoyo
Mada yako ina kurasa tano na inaendelea...Wakuu,
Wakenya wanaiua bandari yetu kimya kimya.
Hivi karibuni makampuni kadhaa hapa Tanzania yameanza kupeleka bidhaa zao Bandari ya Mombasa baada ya nafasi za shipping line maarufu ya Maersk kukosekana kabisa hapa nchini.
Msafirishaji akiangalia nafasi za kuexport mzigo kwa hapa nchini hapati ila akifanya hivyo kwa Mombasa anakuta nafasi za kutosha.
Ipo haja ya mamlaka za Serikali kuamka na kukemea hujuma hii kwani ikiachwa iendelee bandari ya Dar inakufa ikijiona.
MAESK Ni international co,labda tujikague sisi je TOZO zetu ni friendly for shipping co?,Hizi kampuni hufanyakazi popote palipo na KODI, rafiki.Kwani Maersk ni ya Kenya? si wako independent na Kenya haina mamlaka ya kuwa control.,, hizi fikra za bongo 😂 😂 😂 😂
Hee! Hii mbumbumbu ya wapi tena! Yaan kukosekana kwa shipping line dar ndo wakenya wanaua bandar! Liserikali lenyewe limelala usingiz wa pono! Linahangaika na wamachinga kutwa kuchaa..mara kuwabambikizia kesi kina mbowe..unazani watawaza sa ngap mambo makubwa na ya kutumia akil kama hayo ya bandar! Jitu la miraba minne JPM ndo lilikuwa na hizo akil! Wengine ni hewaa tuuWakuu,
Wakenya wanaiua bandari yetu kimya kimya.
Hivi karibuni makampuni kadhaa hapa Tanzania yameanza kupeleka bidhaa zao Bandari ya Mombasa baada ya nafasi za shipping line maarufu ya Maersk kukosekana kabisa hapa nchini.
Msafirishaji akiangalia nafasi za kuexport mzigo kwa hapa nchini hapati ila akifanya hivyo kwa Mombasa anakuta nafasi za kutosha.
Ipo haja ya mamlaka za Serikali kuamka na kukemea hujuma hii kwani ikiachwa iendelee bandari ya Dar inakufa ikijiona.
Na ubalozi wanafungaInabidi sasa T waingie mzigoni sasa
Wapigane vita vya kiuchumi
Ova