Dhuluma za Wakenya kwa bandari yetu


Kama unayosema ndio umeyajua kwa siku nyingi, nasikitika kukwambia umekuwa ukijua upupu kwa siku nyingi!!

Ungekuwa ukijua kuwa uchumi wa Kenya ni mkubwa kuliko wetu, ungejua Mombasa ni gati la nchi za South Sudan, Uganda and beyond, sehemu ya Rwanda. Ungekuwa unajua tayari SGR yao inafanya kazi na kufupisha safari za kutoka Mombasa mpk Nairobi. Ungekuwa unajua Dry Port ya Uganda iko Naivasaha Kenya - ungejua kuwa kuna mzigo mkubwa unakuja au kutoka Kenya na sio Dar es Salaam ambayo si reli ya kati wala TAZARA zinazofanya kazi!

Tusibaki kulaumu tunahujumiwa. Maersk hawezi kuleta 5th generation vessel kuja kupakua container 20 Dar kama anapata tu faidia akiteremsha container 300!! Mliozoea kufanya mambo bila kujali ufanisi wala faida hamwezi kuelewa haya. Kalia “tunahujumiwa” bila kushindana uone kitakachotokea.
 
Makao makuu Ya Maersk kwa East Africa yapo Kenya, hivyo wanatumia hiyo nafasi kutuadhibu.

Maersk ina routes nyingi na meli nyingi hivyo ni shipping line muhimu sana.

Kutupiga pini maersk ni kuleta kilio hapa Nchini.
 
Sasa hapo ndio Wakenya wanaua bandari? Acha ujinga wako,boresha bandari yako iwe na hao shipping lines
 
Makao makuu Ya Maersk kwa East Africa yapo Kenya, hivyo wanatumia hiyo nafasi kutuadhibu.

Maersk ina routes nyingi na meli nyingi hivyo ni shipping line muhimu sana.

Kutupiga pini maersk ni kuleta kilio hapa Nchini.
Kwa hiyo unapendekeza nini sasa maana unalaumu as if ni haki yako,kwani miaka yote ilikuwaje?
 
Makao makuu Ya Maersk kwa East Africa yapo Kenya, hivyo wanatumia hiyo nafasi kutuadhibu.

Maersk ina routes nyingi na meli nyingi hivyo ni shipping line muhimu sana.

Kutupiga pini maersk ni kuleta kilio hapa Nchini.
sasa imekujaje wakati mama ndo ana mahusiano mema na Kenya kuliko mtangulizi wake
 
Hizi ni porojo za kijinga,kwamba haya yote wewe unayajua ila serikali haiyajui sio?

Makao makuu ya mashirika ya kibiashara na umoja wa Mataifa hayajaanza Jana kuifanya Nairobi base yao.Hapa Tzn hakuna hata shirika moja.
 
Makao makuu Ya Maersk kwa East Africa yapo Kenya, hivyo wanatumia hiyo nafasi kutuadhibu.

Maersk ina routes nyingi na meli nyingi hivyo ni shipping line muhimu sana.

Kutupiga pini maersk ni kuleta kilio hapa Nchini.
Mkuu kama nakupata hivi,

Ila walioharibu hapo Maersk ni wabongo wenyewe. Wizi wizi tu hadi wakahamishia accounting department India. Hivyo unafanya malipo bongo, ila uhakiki wa malipo unafanyikia India.

Sekta husika wawabane hawa Maersk shughuli zote za uendeshaji zifanyikie hapa hapa Tz. La sivyo watu watakimbilia nje sababu ya huu urasimu na huduma mbovu.
 
Source https://www.the-star.co.ke › kenya
Lamu port receives third cargo ship destined for Saudi Arabia - The Star

16 Jul 2021 — The new Lamu Port, Kenya on Thursday received its third cargo ship carrying ... The two ships were on transit from Mombasa and Dar-es-...


New Lamu port set to host first transshipment cargo​

Thursday July 15 2021​



The Lamu port , Kenya will handle its first transshipment cargo today as a ship from Zanzibar will be calling at the facility to deliver freight meant for the Far East...source : New Lamu port set to host first transshipment cargo

Meli ya kwanza imeng'oa nanga katika bandari mpya ya Lamu kuelekea Saudi Arabia
Source : Ktn news Kenya
 
watendaji wetu wamelala usingizi wa pono

Kenya inatumaliza huku ikituchekea.
Kenya ina mkono mrefu na niwabobezi katika hujuma. Corruption ni ingredient ya kupata unachotaka kilaini.
 
Kwa mara ya kwanza umeandika jambo la maana
 
Nitakutafutia tu siku, nakuhimiza tu uendelee kutembelea jukwaa hili mara kwa mara. Kenya haina kitu chochote cha kujigamba dhidi ya Tanzania, ndiyo maana manajikomba sana ili muendelee kuinuka kwa kuitegemea Tanzania. Wewe tazama sehemu zote za uchumi, ni nini hasa kilichopo huko mnachoweza kudhani kitawainua? Mpo hapo mlipofikia kwa kudandia kwa wazungu, Wamarekani na waingereza. Kama siyo hawa kuendelea kuwafanya kama koloni hali yenu ingekuwa ni mbaya zaidi Halafu unakuja hapa kujigamba kumbe huna lolote.
 
Weka mazingira mazuri ya biashara auhitaji kutumia nguvu kuwaita wafanyabiashara
 
Mkuu 'Nkuba25', nimekuelewa vizuri sana, na nadhani tutaendelea kukutana kwenye majadiliano ya aina hii kila yatakapokuwa yanajitokeza.
Mimi sielewi kabisa Samia Suluhu katokea wapi hata asiwe na msingi wa kujuwa baadhi ya haya mambo. Huyu ni kiongozi ambaye amekuwemo kwenye serikali kwa muda mrefu ya kutosha, itakuwaje hata asiwe amesikia sikia habari zozote kuhusu haya mambo?

Anakwenda huko na anarudi hapa kwa furaha anajitangaza kwenda "Kufungua Nchi" - anamfungulia nani, na kwa misingi ipi?
 
Makao makuu Ya Maersk kwa East Africa yapo Kenya, hivyo wanatumia hiyo nafasi kutuadhibu.

Maersk ina routes nyingi na meli nyingi hivyo ni shipping line muhimu sana.

Kutupiga pini maersk ni kuleta kilio hapa Nchini.
Hiyo ni sehemu moja ya kutukaba.
Wewe subiri, tutakabwa sana; kwa maana ni kama tumejipeleka wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…