Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Very disappointed diamond umejua kuniudhi leo najua hakuna mkamilifu na hakuna wa kukupangia lakini mimi nampenda diamond yule wa sanaa sio wa siasa! tulia mdogo wangu ulee wanao tifa na nillan siasa ni mchezo mchafu wa mabandidu usifikiri unauchungu peke yako jaribu kuto take side pia nibora ujiwekee hazina ya watu wengi sababu biashara yako inaitaji watu wengi kuliko huyo bashite wako mmoja wale mahasimu wako wanakucheka wanajua one mistake one goal! mdogo wangu please stop usijichimbie shimo kwa mkono wako [emoji144][emoji144]
 
Ni afadhali aside na mtu mmoja mkamilifu kuliko kuside na wauza ngada na matapeli wengi wa kuharibu nchi. Hila zenu zimekwama nyumbu nyie.
 
Kausikilize upya punguza hasira kwa bashite ndo utauelewa wimbo
 
Kwamba tukae kimya hata tukiona uovu tusikemee kisa ayajatufika?
 
Watanzania tumehamaki, tumekosa imani na hatuaminiani tena kwa sasa kutokana na matukio mengi yaliyo na yanayo tokea. Ktk hali hii busara na uangalifu wa maneno tunayotumia ktk kudai au kushutumu ni muhimu sana kuliko wakati mwingine wowote! Mm ninaimani changamoto zote tunazopitia zinatuimarisha. Tukifanikwa kuzivuka salama tutaunganika zaidi kuliko wakati mwingine uliopita. Mungu ibariki Tanzania.
 
Mh ndugu kwa hio kila mtu uliemkubali akijaribu kufanya jambo dogo tu litalohusiana na usiyemkubali basi na yeye ataingia katika orodha ya usiowakubali? Kama ni ndio basi kazi ipo.


Sielewi umeandika nini?
 
Nakushauri tu wanasiasa kama bashite na CCM yao wanaweza kukutoa kwenye remani ya mziki wako ukashangaa wapenzi wa mziki wako wameachana na wewe kabisa na ndiyo itakuwa mwisho wako kaka.

Mwisho kabisa kama utakuwa mbishi kwa kufuata maisha ya bashite atakavyo basi achana na mziki mwambie akupe ofisi uwe hata mshauri wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…