MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Amekaa kimya kwa kutoa nyimbo ....kwa maoni Yangu angekula buyu tu no nyimbo no commentNdo maana nikaomba ww uanalyse the situation bila kuwa bias au na ww huna utofauti naye...??
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] nimeanini kweli akili ni nywere kila mtu na zakeDOMO LENYEWE KUBWA HALAFU ATAKAAJE KIMYA
Mkuu hebu kuwa mtu mwenye kuelewa FASIHI,kasema "acha akae KIMYA" wakati huo huo katoa wimbo unaoelezea matukio hayo anayosema akae kimya je, HAPO KAKAA KIMYA AU KAONGEA ????Ni jambo la kushangaza wasanii wenzako wanatekwa halafu unasema ukae kimya!!!! Huyu ni mnafiki sana, kufoji vyeti, clouds kuvamiwa, Nay kukamatwa hauoni ni tatizo kwa hiyo umetumia fursa kutafuta pesa kwa kutunga wimbo unauza mia 300/- dahh!!!!! Kweli dai ni kiboko,
Jiunge na wenzako @ #AkinaRomaWakoWapi# paza sauti kukaa kimya kwa msanii mkubwa kama dai ni shida jamii haitokuelewa
Kasikilize tena utaelewa nn anamanishaMkuu hebu kuwa mtu mwenye kuelewa FASIHI,kasema "acha akae KIMYA" wakati huo huo katoa wimbo unaoelezea matukio hayo anayosema akae kimya je, HAPO KAKAA KIMYA AU KAONGEA ????
Nimeusikiliza vizuri sana,kama hujui FASIHI hutaelewa alichokimaanisha,maana anaimba wacha akae kimya wakati huo huo ANAYAONGELEA na jamii inasikia.Kasikilize tena utaelewa nn anamanisha
Wewe ndio unasema juu ya uoga.
Mjifunze kuheshimu maamuzi ya binadamu wengine, sio lazima kila mtu atafute pesa kupitia kiki ya Kiongozi kwa kufata mkumbo wa uongo unaotungwa.
Mnapenda kuamulia watu kama vile, nyie mnaishi kwa kuamuliwa.
Amewapa ukweli na maisha ni yake.
Makonda oyeeeeee
Kama hujaelewa basi tuishie hapa.Sielewi umeandika nini?
Jina la huo wimbo tu Mama kaniambia nikae kimya unabeba ujumbe mzito sana ambayo inaonyesha hofu iliyotanda nchi nzima sasa kufuatia vitisho mbali mbali kwa Watanzania kutoka kwenye utawala huu.
Kumbuka hata kujadili uwepo wa njaa kulitolewa vitisho mtu anaweza kuishia lupango. Yule Butiku alitoa kauli kwamba Rais anayejiona yeye ni Tembo hatufai Watanzania na kinana naye juzi kazungumza katika mistari inayoshabihiana sana na kauli ya Butiku.
Kuna wingu zito nchini ambalo limeondoa furaha na amani ya Watanzania walio wengi nchini.
Sijapenda nyimbo yake iko kinafiki sana juz2 hapa ulikuwa na RC MAKONDA leo unajaribu kumsafisha pole sana hapo hakuna usimba ndugu ww kazi yk kuimba2 sio siasa sasa kama umepewa hela pole sana
Makamba alikuwa mkuu wa mkoa wa dar kwa takribana miaka kama sita iv na hana cheti chichote......ukuu wa mkoa haina utofauti ni ubunge haihitaji elimu ya form six ili uwe mkuu wa mkoa au wilaya izo ni nyasifa za kisiasa......ebu tifautisha kati ya daktari na mkuu wa mkoa tumia akili kutafakari mambo usiendee kama ling'ombeMtu anaechukulia suala la vyeti kua ni upuuzi mimi huwa namuona mpuuzi zaidi.
Wanajua gharama ya cheti?
Basi Kenya wasingepata tabu ya kutafuta madaktari wenye vyeti, Vihiyo wamejaa tele wangebebwa tu.
Watu wakiongelea vyeti kwani inawazuia kusaka hela?
Mbona na yeye kaongelea sasa?
Huyu Diamond ndio basi tena..
Kumbe na yeye ni empty headed.. zero brain.. hana UBONGO kabisa wa kutafakari mambo..
Amekubali kucheza ngoma ya Bashite..
Amesha loose kila kitu kwenye muziki wake.
Asubiri kutumika wakati wa kampeni za ccm..
Basi.
Tena mdokozi ananzakuwa mgundani mgunjeSimba awa nyau.
Diamond ni mnafiki.,ask me why,nitajibu kwa kifupi
1.kama mama yake amemwambia akae kimya kwanini katunga wimbo??Huo ndio ukimya??
Nyerere ambaye ndiye aliwekwa kwa cover ya Huo wimbo alikuwa hakai kimya,alikuwa anaonya,kukemea na Tena akawaencourage vijana wawe na ujasiri WA kuhoji,,Leo hii diamond anasema tukae kimya.,,ubashite huu.
Pia,ameonesha kukerwa na swala la kudiscuss vyeti vya bashite!!,hivyo hakupenda wimbo WA naytruboy!!!,hivyo alitaka wasanii wote wakae kimya!!!!wasihoji,,huyu kijana anawaangusha watz,,sisi tunahoji alipo Roma,wasanii wenzake wamekusanyika kutia juhudi ili mwenzao apatikane,yeye itakuwa alikuwa anarecord(hakutokea pale)
Mh,ndio sababu nilitilia Shaka ile post ya meneja wake babutale,nahisi ule ulikuwa ni mpango uliosukwa tayari,na wimbo ulikuwa tayari prepared kwa hili tukio.Hebu tujiulize,,babutale ni wa kumvimbia makonda kiasi kile kweli ???si marafiki sana na bashite???na juzi bashite alikuwa studios zao jamani???hamuoni kuwa makonda alikuwa studios kukamilisha hii project.
Na kama tale anakataa uoga(post yake insta)angemkataza diamond asirelease wimbo unawataka watu wakae kimya!cha ajabu tayari link iko kne bio yake.!!!!ajabu hii!!!!!
Kwahiyo tiffa akipotelea pasipofahamika napo atakaa kimya?au ni kwa sababu hayajamkuta yeye,??
Diamond anaplay kama snitch!na atafaidika sana kifedha na role anayoplay!!!.serikali inawapenda watu kama diamond sana