Diamond ni mnafiki.,ask me why,nitajibu kwa kifupi
1.kama mama yake amemwambia akae kimya kwanini katunga wimbo??Huo ndio ukimya??
Nyerere ambaye ndiye aliwekwa kwa cover ya Huo wimbo alikuwa hakai kimya,alikuwa anaonya,kukemea na Tena akawaencourage vijana wawe na ujasiri WA kuhoji,,Leo hii diamond anasema tukae kimya.,,ubashite huu.
Pia,ameonesha kukerwa na swala la kudiscuss vyeti vya bashite!!,hivyo hakupenda wimbo WA naytruboy!!!,hivyo alitaka wasanii wote wakae kimya!!!!wasihoji,,huyu kijana anawaangusha watz,,sisi tunahoji alipo Roma,wasanii wenzake wamekusanyika kutia juhudi ili mwenzao apatikane,yeye itakuwa alikuwa anarecord(hakutokea pale)
Mh,ndio sababu nilitilia Shaka ile post ya meneja wake babutale,nahisi ule ulikuwa ni mpango uliosukwa tayari,na wimbo ulikuwa tayari prepared kwa hili tukio.Hebu tujiulize,,babutale ni wa kumvimbia makonda kiasi kile kweli ???si marafiki sana na bashite???na juzi bashite alikuwa studios zao jamani???hamuoni kuwa makonda alikuwa studios kukamilisha hii project.
Na kama tale anakataa uoga(post yake insta)angemkataza diamond asirelease wimbo unawataka watu wakae kimya!cha ajabu tayari link iko kne bio yake.!!!!ajabu hii!!!!!
Kwahiyo tiffa akipotelea pasipofahamika napo atakaa kimya?au ni kwa sababu hayajamkuta yeye,??
Diamond anaplay kama snitch!na atafaidika sana kifedha na role anayoplay!!!.serikali inawapenda watu kama diamond sana