Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Huyu Diamond ndio basi tena..

Kumbe na yeye ni empty headed.. zero brain.. hana UBONGO kabisa wa kutafakari mambo..

Amekubali kucheza ngoma ya Bashite..

Amesha loose kila kitu kwenye muziki wake.

Asubiri kutumika wakati wa kampeni za ccm..

Basi.
 
*Diamond ni kiumbe pekee duniani kinachosema kikae kimya huku kinaongea*..[emoji23][emoji38][emoji38]
 
Mduanzi long tym kwanza hana anachojua zaidi ya kumjaza kibibichake minba
 
Ni jambo la kushangaza wasanii wenzako wanatekwa halafu unasema ukae kimya!!!! Huyu ni mnafiki sana, kufoji vyeti, clouds kuvamiwa, Nay kukamatwa hauoni ni tatizo kwa hiyo umetumia fursa kutafuta pesa kwa kutunga wimbo unauza mia 300/- dahh!!!!! Kweli dai ni kiboko,
Jiunge na wenzako @ #AkinaRomaWakoWapi# paza sauti kukaa kimya kwa msanii mkubwa kama dai ni shida jamii haitokuelewa
Mkuu hebu kuwa mtu mwenye kuelewa FASIHI,kasema "acha akae KIMYA" wakati huo huo katoa wimbo unaoelezea matukio hayo anayosema akae kimya je, HAPO KAKAA KIMYA AU KAONGEA ????
 
Mkuu hebu kuwa mtu mwenye kuelewa FASIHI,kasema "acha akae KIMYA" wakati huo huo katoa wimbo unaoelezea matukio hayo anayosema akae kimya je, HAPO KAKAA KIMYA AU KAONGEA ????
Kasikilize tena utaelewa nn anamanisha
 
Mtu anaechukulia suala la vyeti kua ni upuuzi mimi huwa namuona mpuuzi zaidi.
Wanajua gharama ya cheti?
Basi Kenya wasingepata tabu ya kutafuta madaktari wenye vyeti, Vihiyo wamejaa tele wangebebwa tu.
Watu wakiongelea vyeti kwani inawazuia kusaka hela?
Mbona na yeye kaongelea sasa?
 
Wewe ndio unasema juu ya uoga.

Mjifunze kuheshimu maamuzi ya binadamu wengine, sio lazima kila mtu atafute pesa kupitia kiki ya Kiongozi kwa kufata mkumbo wa uongo unaotungwa.

Mnapenda kuamulia watu kama vile, nyie mnaishi kwa kuamuliwa.

Amewapa ukweli na maisha ni yake.

Makonda oyeeeeee

ivi we ni mke wa makonda? Mbona unamuingiza makonda hata kwa mada zisizo muhusu!
Msifie ukiwa nae tuondolee nuksi kwenye uz!
 
Sijapenda nyimbo yake iko kinafiki sana juz2 hapa ulikuwa na RC MAKONDA leo unajaribu kumsafisha pole sana hapo hakuna usimba ndugu ww kazi yk kuimba2 sio siasa sasa kama umepewa hela pole sana
 
Jina la huo wimbo tu Mama kaniambia nikae kimya unabeba ujumbe mzito sana ambayo inaonyesha hofu iliyotanda nchi nzima sasa kufuatia vitisho mbali mbali kwa Watanzania kutoka kwenye utawala huu.

Kumbuka hata kujadili uwepo wa njaa kulitolewa vitisho mtu anaweza kuishia lupango. Yule Butiku alitoa kauli kwamba Rais anayejiona yeye ni Tembo hatufai Watanzania na kinana naye juzi kazungumza katika mistari inayoshabihiana sana na kauli ya Butiku.

Kuna wingu zito nchini ambalo limeondoa furaha na amani ya Watanzania walio wengi nchini.




Ni kweli ujumbe wa jumla anaoutoa ni kwamba, mambo hayaendi sawa!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Simba awa nyau.

Sijapenda nyimbo yake iko kinafiki sana juz2 hapa ulikuwa na RC MAKONDA leo unajaribu kumsafisha pole sana hapo hakuna usimba ndugu ww kazi yk kuimba2 sio siasa sasa kama umepewa hela pole sana
 
Mtu anaechukulia suala la vyeti kua ni upuuzi mimi huwa namuona mpuuzi zaidi.
Wanajua gharama ya cheti?
Basi Kenya wasingepata tabu ya kutafuta madaktari wenye vyeti, Vihiyo wamejaa tele wangebebwa tu.
Watu wakiongelea vyeti kwani inawazuia kusaka hela?
Mbona na yeye kaongelea sasa?
Makamba alikuwa mkuu wa mkoa wa dar kwa takribana miaka kama sita iv na hana cheti chichote......ukuu wa mkoa haina utofauti ni ubunge haihitaji elimu ya form six ili uwe mkuu wa mkoa au wilaya izo ni nyasifa za kisiasa......ebu tifautisha kati ya daktari na mkuu wa mkoa tumia akili kutafakari mambo usiendee kama ling'ombe
 
Huyu Diamond ndio basi tena..

Kumbe na yeye ni empty headed.. zero brain.. hana UBONGO kabisa wa kutafakari mambo..

Amekubali kucheza ngoma ya Bashite..

Amesha loose kila kitu kwenye muziki wake.

Asubiri kutumika wakati wa kampeni za ccm..

Basi.

Hivi hakuna wasanii waliotumika kwenye kampeni za chadema kweli?? Huyu anayedaiwa kutekwa hakuifanyia kampeni chadema kweli??
 
Diamond ni mnafiki.,ask me why,nitajibu kwa kifupi

1.kama mama yake amemwambia akae kimya kwanini katunga wimbo??Huo ndio ukimya??

Nyerere ambaye ndiye aliwekwa kwa cover ya Huo wimbo alikuwa hakai kimya,alikuwa anaonya,kukemea na Tena akawaencourage vijana wawe na ujasiri WA kuhoji,,Leo hii diamond anasema tukae kimya.,,ubashite huu.

Pia,ameonesha kukerwa na swala la kudiscuss vyeti vya bashite!!,hivyo hakupenda wimbo WA naytruboy!!!,hivyo alitaka wasanii wote wakae kimya!!!!wasihoji,,huyu kijana anawaangusha watz,,sisi tunahoji alipo Roma,wasanii wenzake wamekusanyika kutia juhudi ili mwenzao apatikane,yeye itakuwa alikuwa anarecord(hakutokea pale)

Mh,ndio sababu nilitilia Shaka ile post ya meneja wake babutale,nahisi ule ulikuwa ni mpango uliosukwa tayari,na wimbo ulikuwa tayari prepared kwa hili tukio.Hebu tujiulize,,babutale ni wa kumvimbia makonda kiasi kile kweli ???si marafiki sana na bashite???na juzi bashite alikuwa studios zao jamani???hamuoni kuwa makonda alikuwa studios kukamilisha hii project.


Na kama tale anakataa uoga(post yake insta)angemkataza diamond asirelease wimbo unawataka watu wakae kimya!cha ajabu tayari link iko kne bio yake.!!!!ajabu hii!!!!!

Kwahiyo tiffa akipotelea pasipofahamika napo atakaa kimya?au ni kwa sababu hayajamkuta yeye,??

Diamond anaplay kama snitch!na atafaidika sana kifedha na role anayoplay!!!.serikali inawapenda watu kama diamond sana

Wewe hujui mwenzio hiyo kwake ni fursa anaitumia na kesho utasikia melody ya hiyo nyimbo inatumika kwenye tangazo na kumuingizia mamilioni...we endelea na ubwege wa kubwabwaja hovyo wakati wenzio wanabwabwaja kwa akili na ku make money..
 
IMG-20170408-WA0008.jpg

Salute...

Kwa huu wimbo kuna mawili au kupata kiki,au kupunguza idadi ya mashabiki,mim binafsi sikushabikii tena hata Kama sina impact kwako!...


Nimegundua umhimu wa Elimu kwenye kila jambo!,
nilipambana juzi na Erick shingongo kumsapoti Diamond lakini kwa Wimbo Huu Diamond umeyataka mwenyewe.We ni mnafiki sana bn mdogo!...

Sjui umekutwa na nini
Kwanza mwenzio yuko matatizoni kwako limekuwa sikitu,lakini unajua kabisa kuna bifu kati ya watanzania na kiongozi fulan juu ya vyeti,
eti unawaambia watu wakae kimya wakatafte senti!!

Dhana na dhima kubwa ya wimbo wako ni kimya chenye kelele zilizozidi uwezo wa maskio ya Watanzania,wimbo wako ni so oxymoronic,yaani ni sumu tamu kwa Watanzania ..
 
Back
Top Bottom