Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Naona wengi wanatumia mioyo na hisia instead of brains kufikiri. Kausikilize tena ule wimbo. Diamond "amegoma kukaa kimya" na kaamua kutoka kwa style hii ya wimbo badala ya kwenda Insta kutoa povu lake.

Kaongelea vyeti vya Bashite, utekaji, Bunge kubakwa, Uvamizi Clouds na mwisho "kalia" wapi TZ inakwenda. Japo amepiga dongo kidogo kwa nini watu badala ya kutafuta maisha yao wao wapo busy kubishana kuhusu vyeti vya mtu.
 
Jana nimemsikia Bashite anaongea kuhusu sakata la Roma. Nilikuwa sijui kumbe yule jamaa ni kilaza vile. Yaani ni lofa wa kutupwa, eti anaongea sijui maadui zangu, blah blah blah nilipost picha ya paka Instagram blah blah blah. Sikujua kawaita watu kuwaambia Roma yuko wapi au kuwatingishia wowowo lake tu. Na yule Fid Q mi nilimwamini kumbe na yeye ni walewale tu.
 
Eti watu wanamshinikiza aseme chochote, seriously? yeye akisema ndo ataeleweka au mkulu atasema aya hili lifanyike kisa mondi kasema?
 
Wewe ndio unasema juu ya uoga.

Mjifunze kuheshimu maamuzi ya binadamu wengine, sio lazima kila mtu atafute pesa kupitia kiki ya Kiongozi kwa kufata mkumbo wa uongo unaotungwa.

Mnapenda kuamulia watu kama vile, nyie mnaishi kwa kuamuliwa.

Amewapa ukweli na maisha ni yake.

Makonda oyeeeeee
Hapa ndio pale mtanzania anapotaka kuonyesha kichwani yupo vizuri hvyo awe against wengine daa [emoji82] poor tz
 
Diamond ni mnafiki.,ask me why,nitajibu kwa kifupi

1.kama mama yake amemwambia akae kimya kwanini katunga wimbo??Huo ndio ukimya??

Nyerere ambaye ndiye aliwekwa kwa cover ya Huo wimbo alikuwa hakai kimya,alikuwa anaonya,kukemea na Tena akawaencourage vijana wawe na ujasiri WA kuhoji,,Leo hii diamond anasema tukae kimya.,,ubashite huu.

Pia,ameonesha kukerwa na swala la kudiscuss vyeti vya bashite!!,hivyo hakupenda wimbo WA naytruboy!!!,hivyo alitaka wasanii wote wakae kimya!!!!wasihoji,,huyu kijana anawaangusha watz,,sisi tunahoji alipo Roma,wasanii wenzake wamekusanyika kutia juhudi ili mwenzao apatikane,yeye itakuwa alikuwa anarecord(hakutokea pale)

Kwahiyo tiffa akipotelea pasipofahamika napo atakaa kimya?au ni kwa sababu hayajamkuta yeye,??
Ujauelewa nyimbo wewe
 
Huu wimbo unamuweka upande hasi kabisa asubiri criticism, he will be condemned. Siku akitekwa yeye mama yake ndiye atakayelia mwenyewe maana na wengine watakaa kimya, lakini ameimba vizuri upande wa sauti vina na muziki
Ulitaka akae upande gani?
 
Hapo penyew teyar katafuta kiki, au haujaelewa? Kaamua kuwa tofaut na wanaopingana na serikali, kwabkuongelea matukio yaleyale bt yeye anaamin vingine, angekuwa sio mtafuta kiki angeimba kitu kinginee kabisa kisichohusiana na hali ya sasa,
Hiyo ni namna tu ya kufikisha ujumbe bila kubughuziwa, lkn I'm sure haja ridhika na kinacho endelea
 
Kwa vijana wengi wa kitanzania walivyo na upeo mdogo watamuunga mkono hata aimbe nini mimi ni fan wake ila kwa hapa hajakaa kimya yuko upande wa bashite kabisa
 
Shule ni kitu muhimu sana yaani juzi kakaa na Shoga mwenzake bashite eti ana kuja kuwaadaa watu na takataka hii we Mpumbavu dai kaa kimya punda wa Kinje ww
 
Anamtafuta Mange Kimambi atalipata .....nimechunguza kuwa ni binti mmoja mtandaoni anachochea
 
Jitu lina familia yake alafu kulialia eti mama kaniambia,ndo majitu yanayoahribu ndoa hayo,badala ya kuskiza ushauri toka kwa mkewe linaskiza ushauri toka kwa mama;sasa si liachane na Zari libaki kwa mama?Mi toto ya kiswahili bhana!
 
Back
Top Bottom