Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Picha wajameni,mnatutenga sisi wazee wa mapichapicha.
huku kijiji cha namtumbo mimi marz atumjui.
kwenye mabucha ya Mondi tunamjua Zuchu,dada mkenya na ile incubator ya sauzi.
Ahaaaha mbona incubator [emoji849][emoji16]
 
Nenda kapige compaign
 
Binafsi huyo Domo hata wanaume waishe wote humu duniani tubaki wawili mi na yeye simtaki

Na simtaki kwa pesa yake na simtaki pia kwa mwonekano wake

Labda over my dead body

Wanaume wanadhani kila mwanamke humu duniani akiona mwanaume ana hela ana shoboka which is totally wrong, wanawake wengine sio washamba wa hela jamani[emoji848]
 
Usitusemelee mkuu sio wote

Narudia tena kwa msisitizo sio wanawake wote tuko hivyo

Mimi ninaongea haya nikiwa na experience + vivid examples, tena kwa wanaume wenye pesa huyo Domo anasubiri mara 1000
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…