Wanaji rahisisha Sana kwa huyo domo aisee siajabu Mimi Mars alivo tahira na yeye atamubebea mimbaAisee nimeshangaa juzi tu baada ya Diamond kusema anampendaga, mara leo naona wako swimming pool duh, it's like alikua anasubiria hiyo chance itokee tu, sijui ni kiki ama kweli[emoji848]
sijambo bebeMy Extrovert, hujambo!
Aisee nimeshangaa juzi tu baada ya Diamond kusema anampendaga, mara leo naona wako swimming pool duh, it's like alikua anasubiria hiyo chance itokee tu, sijui ni kiki ama kweli[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mapema kabisaHamna cha kujuana, Mkurugenzi hatongozagi anaitisha mtu. Au anaacha maagizo..ile ilikuwa geresha tu! Katika akili yako unategemea demu wa kibongo akatae kudate na mtu kama Diamond? Hata dada yako mwenyewe akiitwa Wasafi lazma atakimbiza fito zake chap.
Wanaji rahisisha Sana kwa huyo domo aisee siajabu Mimi Mars alivo tahira na yeye atamubebea mimba
🤣🤣🤣🤣 Nitawezaje kuwa disappointed kukufuatilia mtoto mzuri Kama wewe?Wala usijisumbue mkuu, utakua disappointed bure😀
NAWATAFUNA 🤣🤣🤣🤣Picha wajameni,mnatutenga sisi wazee wa mapichapicha.
huku kijiji cha namtumbo mimi marz atumjui.
kwenye mabucha ya Mondi tunamjua Zuchu,dada mkenya na ile incubator ya sauzi.
wanaume wa dar pigeni kazi acheni udakuDiamond hakikisha na huyu binti una mnunulia gari au nyumba sio zawadi ya mtoto tuu....
Comments 40 hamna picha ya Mimi Jupiter wala Yeye Pluto...
Ah kmmk hamjaweka picha post 100 na ushee?
Mnapoteza muda pic please
Picha yake bei gani?
Huu muingiliano wa hawa wasanii kuna haja sasa kama serikali watoe elimu kwa wasanii wajali afya zao mapenz ya wasanii hayadumu wakishaachana wanaendelea kakutana na watu wengin
Diamond a.k.a MediocreWasalaam wana Jamvi!
Baada ya mwana muziki bora kabisa Tanzania kumsifia mdogo wa mwanamuziki Vannesa Mdee hivi karibuni kwenye ukurasa wake wa instagram “ haka katoto nakapendaga basi tuu”.
Baada ya hayo maneno ya on line unaambiwa ni kama Diamond aliagiza vile bidhaa on line hivyo alicho subiri ni kufikishiwa mzigo huo nyumbani ili aulipie....
Baada ya siku mbili ilibidi Aristote ahakikishe Bidhaa hiyo inafika nyumbani salama kabisa!
Diamond hakikisha na huyu binti una mnunulia gari au nyumba sio zawadi ya mtoto tuu....
Hongera sana Mimi Mars!
[emoji119][emoji119][emoji119]Hamna cha kujuana, Mkurugenzi hatongozagi anaitisha mtu. Au anaacha maagizo..ile ilikuwa geresha tu! Katika akili yako unategemea demu wa kibongo akatae kudate na mtu kama Diamond? Hata dada yako mwenyewe akiitwa Wasafi lazma atakimbiza fito zake chap.
That is what we call postive thinkingMkuu mimi nimefanya tafakuri na nimefikia hitimisho kuwa hawa hawana mahusiano, ila huenda Mimi Mars ndiye msanii mpya atakayetangazwa chini ya label ya WCB atakayetangazwa. Nimetazama ile video walikuwa kwenye swmming pool nikaunga picha yuko studio nikawaza hivyo.
Sema Cariha hajapata tu fursa ya kuwa connected na DomoWewe ungemkataa mkurugenzi Domo kua mkweli?
Miguu kanyimwa , maskini
Vdem visirisiri kama Mimi mars Mara nying unakuta vinaliwa ña vibosile waume za watu,hvyo mondi atakuwa amemnyang'anya kidogo fulan somewhereIna maana pamoja na urembo/uzuri/ulimbwende wa Mimi mars wote huo hakuwaga na njemba yeyote kabla ya hio promo ya mondi??
Alikua anatumia dildo ama vepe