Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mapema kabisa
 
Huu muingiliano wa hawa wasanii kuna haja sasa kama serikali watoe elimu kwa wasanii wajali afya zao mapenz ya wasanii hayadumu wakishaachana wanaendelea kakutana na watu wengin

Mkuu afya yako halafu ikulindie serikali? Yani hiyo elimu waipeleke huko vijijini lakini wasanii kuna kipi cha kuwafundisha wasichokielewa? Wapo exposed enough.

Mkuu tafuta pesa tu ndio jambo la msingi afya bila pesa ni matumizi mabaya ya afya yenyewe
 
Diamond a.k.a Mediocre
 
[emoji119][emoji119][emoji119]
 
That is what we call postive thinking
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…