Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Nipendege na mimi basiHaha
Kumbe tupo wengi!!
Me roho iliniuma G nako alivyooa.... Nampendaga sana yule mchizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipendege na mimi basiHaha
Kumbe tupo wengi!!
Me roho iliniuma G nako alivyooa.... Nampendaga sana yule mchizi
Halafu hao wapare si ndio wadau wanadaigi maharage ya mbeyaNi mpare sio mchaga yule..
Wengi wanaovuta bangi kistaarabu wana akili sanaLinavuta na bangi hilo lidemu hata sioni uzuri wake na ile sauti zege[emoji57]
Sizitaki mbichi hiziBinafsi huyo Domo hata wanaume waishe wote humu duniani tubaki wawili mi na yeye simtaki
Na simtaki kwa pesa yake na simtaki pia kwa mwonekano wake
Labda over my dead body
Wanaume wanadhani kila mwanamke humu duniani akiona mwanaume ana hela ana shoboka which is totally wrong, wanawake wengine sio washamba wa hela jamani[emoji848]
HahahahaWewe ungekuwa mzuri humu tusinge pumua na ulivyo bado unasema Mondi sio type yako?? Wewe unamzidi nini Zari au Mobetto SMH...
humu wasiokujua ndio wanakuona pini kumbe umechakaaa.
inategemea na mtuHalafu hao wapare si ndio wadau wanadaigi maharage ya mbeya
Nipendege na mimi basi
Yupo kwenye kampeni za ChademaNashangaa warumi imempitaje hii? Halaf yuko kimya tu hata comment yake sioni,
Today I am going to shop itTalk is cheap
Jamaa ana masikhara sana mkuuhela siyo hera
kabisa mkuu lugha yake kiswahili lakini hajui kuitumia kwa ufasahaJamaa ana masikhara sana mkuu
Hahahaha hivi huwa ni kweli hii ?Halafu hao wapare si ndio wadau wanadaigi maharage ya mbeya
Hahahaha, lkn wanasemaga wanawake wazuri ndio huolewa ....Haha
Kumbe tupo wengi!!
Me roho iliniuma G nako alivyooa.... Nampendaga sana yule mchizi
unawatukana hata mama zako waliokuzaa? ..huna lako duniani ...RIPBongo kila mwanamke ni malaya
hana PESA , ana VIPESA ...mfano mdogo tu ..kitanda anacholalia Drake, ndio utajiri wa nasibuUsitusemelee mkuu sio wote
Narudia tena kwa msisitizo sio wanawake wote tuko hivyo
Mimi ninaongea haya nikiwa na experience + vivid examples, tena kwa wanaume wenye pesa huyo Domo anasubiri mara 1000
Na Bei inategemea na mtu anataka nini kwa mda huoDada yangu Kila mtu ana bei yake, hakuna asiyenunulika