Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Woman Needs= Money over everything

Hence; Money = Diamond platinum

To get to money = Kuwa na diamond

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Beib umeshindwa kabla hata haujaweka karata ya kwanza.....
Huyo demu anatuona sisi poyoyo hiv Kuna demu gani anaweza kumkataa mo dewji? Demu Kama huyo ndio anakuaga mrahisi Sana SEMA hapa anatuetia.Hawa mademu tunawajua vizuri na tuna experience nao.
 
Ila haupo sawa bi dada..... Aidha unapitia magumu au ulipotoka hakuna amani ndio unatoa sumu muda huu akilini.
Yani hisia zako kichwani zinakutuma napitia magumu ka wewe pole Sana, tangu utoto Hadi sasa sijapitia gumu lolote ka kila ninachokitaka nakipata bila shida Mungu anipe nini, pole wewe unayepitia magumu na shida mbalimbali za maisha
 
Wanawake hawajawahi kutulizwa na hela tu wewe.

Mnunulie gari, kesho akikwama kijamaa fulani kikasaidia kumsukuma au hata kupasha battery moto kinamchukua.

Kila mwanamke ana taste yake.

Hata huyo Mo hawezi kupendwa na kila mtu, hata awe Bezos hakuna kitu kama hicho duniani.

Hii ni fikra zetu masikini na kutojiamini ndio kunatufanya kuwa na fear of the unknown.

No wonder wanawake wengi wenye vyeo, akili, pesa na wasoni wako single Kwasababu ya akili kama hizi.

Sasa kama huyo Diamond anapendwa mnoooo kwanini anahonga mnooooooo!!
Umemaliza kila kitu
 
U sound like Deeva the bouse wa clouds yule.....naona stress level unayorun inasoma frequency sawa na yake.
Keep guessing as the only of giving ur heart peace, Mimi na diva mbingu na ardhi yeye ni mtu wamedia wakati Mimi sijawahi fikiria hyo kazi
 
Wanawake hawajawahi kutulizwa na hela tu wewe.

Mnunulie gari, kesho akikwama kijamaa fulani kikasaidia kumsukuma au hata kupasha battery moto kinamchukua.

Kila mwanamke ana taste yake.

Hata huyo Mo hawezi kupendwa na kila mtu, hata awe Bezos hakuna kitu kama hicho duniani.

Hii ni fikra zetu masikini na kutojiamini ndio kunatufanya kuwa na fear of the unknown.

No wonder wanawake wengi wenye vyeo, akili, pesa na wasoni wako single Kwasababu ya akili kama hizi.

Sasa kama huyo Diamond anapendwa mnoooo kwanini anahonga mnooooooo!!
Watu kama Mo huwa hawakataliwi sababu wanaheshimu wanawake diamond madem anaotokana nao wengi wapo kwenye circle yake ya kufanya umalaya hivyo ni nirahisi kuwapata sikubaliana na watu wanaosema hakuna mwanamke wakumkataa diamond
 
Huyo demu anatuona sisi poyoyo hiv Kuna demu gani anaweza kumkataa mo dewji? Demu Kama huyo ndio anakuaga mrahisi Sana SEMA hapa anatuetia.Hawa mademu tunawajua vizuri na tuna experience nao.
Naona umekuwa msemaji wangu na life langu muumilize mobeto baby mama wa wa boss wako unayemlamba makalio, alijipeleka kwa mo akaliwa mtandao pendwa na hakuambulia kitu, mabilionea wa kweli hawaongi pole
 
hao walikua washamalizana muda mrefu ni vile tu walitafuta njia ya kuujulisha umma, we unaona baada ya post ile mimi mars amekua akishusha mistari ya maandiko as if ni mtu wa dini sana, inshort wametumia mbinu za kijanja sana kuujulisha umma mahusiano yao
Kabisa mkuu. Mtu kama Diamond ningemshangaa kukiacha kipite kifaa kama kile.
 
Kwanza kabisa namshukuru kwa matusi uliyotoa hapa tunachoongea mapenzi ni pesa huo ndio ukweli wenyewe hata huyo Lulu anadate na Nani utapata jibu sio lazima kila demu ampende as personally ila anweza kumpenda kwasababu ana hell kwa hapa bongo Ni ngumu kwa mtu mwenye hela akataliwe labda tu huyo demu awe anajiweza hiv nikuulize Demu yupi anaweza akamtolea nje mo dewji?

Of course kimazingira Tanzania inakuwa ngumu kukuta Mwanamke anamkataa mtu mwenye pesa na umaarufu kwa pamoja

Lakini kimaandishi umeandika hakuna si kweli, wanawake ambao wanaweza kumkataa mwenye pesa na umaarufu wapo lakini ni wachache kwa case Ya Tanzania
 
Naona umekuwa msemaji wangu na life langu muumilize mobeto baby mama wa wa boss wako unayemlamba makalio, alijipeleka kwa mo akaliwa mtandao pendwa na hakuambulia kitu, mabilionea wa kweli hawaongi pole
Kumbe umekiri mo alimpiga miti Hamisa mobetto mbona umeshajileta kwenye hoja yetu teyali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom