Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wewe si mzee wa psychology, fanya namna ya kumsaidia mrembo wangu carihaIla haupo sawa bi dada..... Aidha unapitia magumu au ulipotoka hakuna amani ndio unatoa sumu muda huu akilini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si mzee wa psychology, fanya namna ya kumsaidia mrembo wangu carihaIla haupo sawa bi dada..... Aidha unapitia magumu au ulipotoka hakuna amani ndio unatoa sumu muda huu akilini.
Huyo demu anatuona sisi poyoyo hiv Kuna demu gani anaweza kumkataa mo dewji? Demu Kama huyo ndio anakuaga mrahisi Sana SEMA hapa anatuetia.Hawa mademu tunawajua vizuri na tuna experience nao.Woman Needs= Money over everything
Hence; Money = Diamond platinum
To get to money = Kuwa na diamond
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Beib umeshindwa kabla hata haujaweka karata ya kwanza.....
Stress ni mbaya inaweza kukufanya uongee ambacho haujamaanisha kuongeaEbu kuwa serious diamond Hana hela?Mtu anamiliki magari ya kifahari Kama MBW x 6 ana company kubwa ya WCB label, Ana hotel bado pia kawekeza kwenye media unasema ana hela du! hii kali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe si mzee wa psychology, fanya namna ya kumsaidia mrembo wangu cariha
Maneno haya haya aliyasemaga Diva wa clouds fmSiwezi date a tandale boy my dear he is not my type
Yani hisia zako kichwani zinakutuma napitia magumu ka wewe pole Sana, tangu utoto Hadi sasa sijapitia gumu lolote ka kila ninachokitaka nakipata bila shida Mungu anipe nini, pole wewe unayepitia magumu na shida mbalimbali za maishaIla haupo sawa bi dada..... Aidha unapitia magumu au ulipotoka hakuna amani ndio unatoa sumu muda huu akilini.
Umemaliza kila kituWanawake hawajawahi kutulizwa na hela tu wewe.
Mnunulie gari, kesho akikwama kijamaa fulani kikasaidia kumsukuma au hata kupasha battery moto kinamchukua.
Kila mwanamke ana taste yake.
Hata huyo Mo hawezi kupendwa na kila mtu, hata awe Bezos hakuna kitu kama hicho duniani.
Hii ni fikra zetu masikini na kutojiamini ndio kunatufanya kuwa na fear of the unknown.
No wonder wanawake wengi wenye vyeo, akili, pesa na wasoni wako single Kwasababu ya akili kama hizi.
Sasa kama huyo Diamond anapendwa mnoooo kwanini anahonga mnooooooo!!
Keep guessing as the only of giving ur heart peace, Mimi na diva mbingu na ardhi yeye ni mtu wamedia wakati Mimi sijawahi fikiria hyo kaziU sound like Deeva the bouse wa clouds yule.....naona stress level unayorun inasoma frequency sawa na yake.
Watu kama Mo huwa hawakataliwi sababu wanaheshimu wanawake diamond madem anaotokana nao wengi wapo kwenye circle yake ya kufanya umalaya hivyo ni nirahisi kuwapata sikubaliana na watu wanaosema hakuna mwanamke wakumkataa diamondWanawake hawajawahi kutulizwa na hela tu wewe.
Mnunulie gari, kesho akikwama kijamaa fulani kikasaidia kumsukuma au hata kupasha battery moto kinamchukua.
Kila mwanamke ana taste yake.
Hata huyo Mo hawezi kupendwa na kila mtu, hata awe Bezos hakuna kitu kama hicho duniani.
Hii ni fikra zetu masikini na kutojiamini ndio kunatufanya kuwa na fear of the unknown.
No wonder wanawake wengi wenye vyeo, akili, pesa na wasoni wako single Kwasababu ya akili kama hizi.
Sasa kama huyo Diamond anapendwa mnoooo kwanini anahonga mnooooooo!!
Huyo alikuwa diva wa clouds naheshimu maoni yake na Mimi wa JF ni mtu wa tofauti kabisa ni mbingu na ardhiManeno haya haya aliyasemaga Diva wa clouds fm
Kimsingi mnafanana nae sana mawazo
Bby usiwe mkali, tuta arrange mimi na wewe tukamuone mtaalamu wa saikolojiaMimi na akili timamu naweza kuomba msaada kwa maiti
Yani wewe stress zako unafikiria wote tunazo I'm happy soul na nitazidi Sana kuandika humu mpaka mtanizoea tuStress ni mbaya inaweza kukufanya uongee ambacho haujamaanisha kuongea
Naona umekuwa msemaji wangu na life langu muumilize mobeto baby mama wa wa boss wako unayemlamba makalio, alijipeleka kwa mo akaliwa mtandao pendwa na hakuambulia kitu, mabilionea wa kweli hawaongi poleHuyo demu anatuona sisi poyoyo hiv Kuna demu gani anaweza kumkataa mo dewji? Demu Kama huyo ndio anakuaga mrahisi Sana SEMA hapa anatuetia.Hawa mademu tunawajua vizuri na tuna experience nao.
Mimi mzima mwenye afya na mzima hahitaji daktari Mimi naona wewe ndio utafte msaada na huyo@SamczerBby usiwe mkali, tuta arrange mimi na wewe tukamuone mtaalamu wa saikolojia
Kabisa mkuu. Mtu kama Diamond ningemshangaa kukiacha kipite kifaa kama kile.hao walikua washamalizana muda mrefu ni vile tu walitafuta njia ya kuujulisha umma, we unaona baada ya post ile mimi mars amekua akishusha mistari ya maandiko as if ni mtu wa dini sana, inshort wametumia mbinu za kijanja sana kuujulisha umma mahusiano yao
Kwa nini mkuu? Ulitaka wewe? Ila kama mimi mwenyewe imeniuma hivi,ila bado sijajua vizuri. Labda tu ksbb nilikuwa nakicheck kwenye zooomRoho imeniuma sana
Mmmmmmhmn msyuuuuuuuuu.....Hvo vitu sijui hotel ni minor issues kwangu mimi coz I don't mind material thing's kwa kweli mahalo Sana kusimamia msimamo wangu mwenyewe, ninaoishi kwenye ulimwengu wangu
Kwanza kabisa namshukuru kwa matusi uliyotoa hapa tunachoongea mapenzi ni pesa huo ndio ukweli wenyewe hata huyo Lulu anadate na Nani utapata jibu sio lazima kila demu ampende as personally ila anweza kumpenda kwasababu ana hell kwa hapa bongo Ni ngumu kwa mtu mwenye hela akataliwe labda tu huyo demu awe anajiweza hiv nikuulize Demu yupi anaweza akamtolea nje mo dewji?
Kumbe umekiri mo alimpiga miti Hamisa mobetto mbona umeshajileta kwenye hoja yetu teyaliNaona umekuwa msemaji wangu na life langu muumilize mobeto baby mama wa wa boss wako unayemlamba makalio, alijipeleka kwa mo akaliwa mtandao pendwa na hakuambulia kitu, mabilionea wa kweli hawaongi pole