Diamond amejitolea kumsomesha mtoto wa Dida mpaka anamaliza Elimu

Diamond amejitolea kumsomesha mtoto wa Dida mpaka anamaliza Elimu

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Wakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe, Maulid Kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa huko.

Amesema kuwa kuanzia siku hiyo Diamond atabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa Dida Shaibu mpaka anamaliza Elimu yake. Dida Shaibu amebahatika kuzaa mtoto mmoja kwenye maisha yake yote.
 
Wakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe Maulidi kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa uko amesema kuwa kuanzia siku hiyo Diamond atabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa Dida Shaibu mpaka anamaliza Elimu yake.Dida Shaibu umebahatika kuzaa mtoto mmoja kwenye maisha yake yote.
Uungwana vitendo.
 
Hope itafanyika kama alivyoahidi maana ahadi za msibani nazo siku hizi zimekuwa kama ahadi za harusini
Baada ya majonzi wengi hawatekelezi

Hapo itapigwa hesabu hadi anamaliza chuo kiasi gani kinahitajika

Then itafunguliwa akaunti rasmi na atawekewa hiyo pesa yote.

Baada ya hapo atakuwa anampa mahitaji madogo madogo.

Nadhani hata mtoto wa masigange aliwekewa utaratibu Kama huo.

So kwa hili abarkiwe Sana Diamond na Mungu amuinue zaidi
 
Hope itafanyika kama alivyoahidi maana ahadi za msibani nazo siku hizi zimekuwa kama ahadi za harusini
Baada ya majonzi wengi hawatekelezi
😂 Kwenye msiba wa mzee wangu 2011, best friend yake wa karibu sana mzee aliniahid kunipa lifti kunirudsha shulen baada ya mazishi kuisha pale . Kilichotokea sasa hd leo hii sijui lifti iliyeyukia wapi maana nilirud peke Yang shule tena kwa daladala nikiwa very heart broken for the death of my father at a very young age of 15 nikiwa kidato cha kwanza aiseee.

Ila na yule jamaa alikuja kufariki miaka michache mbeleni .
 
Hapo itapigwa hesabu hadi anamaliza chuo kiasi gani kinahitajika

Then itafunguliwa akaunti rasmi na atawekewa hiyo pesa yote.

Baada ya hapo atakuwa anampa mahitaji madogo madogo.

Nadhani hata mtoto wa masigange aliwekewa utaratibu Kama huo .

So kwa hili abarkiwe Sana Diamond na Mungu amuinue zaidi
Inabidi huyo mtoto asome kweli maana wakishaingia chuo hubadilika tabia bata kwa sana maana kama pia ataomba kupata mkopo na akapata kibunda kitakuwa kikupwa ukichanganya na atakachosaidiwa
 
😂 Kwenye msiba wa mzee wangu 2011, best friend yake wa karibu sana mzee aliniahid kunipa lifti kunirudsha shulen baada ya mazishi kuisha pale . Kilichotokea sasa hd leo hii sijui lifti iliyeyukia wapi maana nilirud peke Yang shule tena kwa daladala nikiwa very heart broken for the death of my father at a very young age of 15 nikiwa kidato cha kwanza aiseee.

Ila na yule jamaa alikuja kufariki miaka michache mbeleni .
Hata lift TU ilikuwa ngumu imagine angesema kusomesha
Kujibrand kumekuwa kwingi sana
Kuna jamaa aliahidi kumpa bwana harusi shamba kubwa chalinze wakati yeye kapanga
 
😂 Kwenye msiba wa mzee wangu 2011, best friend yake wa karibu sana mzee aliniahid kunipa lifti kunirudsha shulen baada ya mazishi kuisha pale . Kilichotokea sasa hd leo hii sijui lifti iliyeyukia wapi maana nilirud peke Yang shule tena kwa daladala nikiwa very heart broken for the death of my father at a very young age of 15 nikiwa kidato cha kwanza aiseee.

Ila na yule jamaa alikuja kufariki miaka michache mbeleni .
Nimetafuta lakini nimekikosa kitufe cha kucheka na kusikitika kwa wakati mmoja imebidi niweke vyote viwili kupitia reply

🤣😲
 
Wakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe Maulidi kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa uko amesema kuwa kuanzia siku hiyo Diamond atabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa Dida Shaibu mpaka anamaliza Elimu yake.Dida Shaibu amebahatika kuzaa mtoto mmoja kwenye maisha yake yote.
Washauri wa Diamond wameshuamtonya kua Dogo ni kilaza,na hapendi shule......cheap popularity
 
Back
Top Bottom