Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana diamond anafanikiwa sababu ya kusaidia.
Kwani nini mkuu kwani hatatoa msaada au.acha kuamini drama uchwara mkuu, mbona unadanganyika kirahisi hivo?
Kwa kipato cha Lukuga aka Mwambino aka Dainamo ilikuwa hakuna haja ya kutangaza swala dogo kama hilo ,By Default ilikuwa lazima atimize jukumu hilo....kuingiza zaidi ya 4B kwa mwaka (Personal income) then kutoa 3m ni Peanut.Wakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe, Maulid Kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa huko.
Amesema kuwa kuanzia siku hiyo Diamond atabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa Dida Shaibu mpaka anamaliza Elimu yake. Dida Shaibu amebahatika kuzaa mtoto mmoja kwenye maisha yake yote.
Naona hili alijakaa poa unawezaje kutangaza unamsaidia mtoto wakati baba yake yupo labda kama aliambiwa na Dida mwenyewe Baba yake hamsaidii mtotoKwa kipato cha Lukuga aka Mwambino aka Dainamo ilikuwa hakuna haja ya kutangaza swala dogo kama hilo ,By Default ilikuwa lazima atimize jukumu hilo....kuingiza zaidi ya 4B kwa mwaka (Personal income) then kutoa 3m ni Peanut.
Yap ,Baba yake Mzee Mchops yupo na ana nguvu za kutosha tu.Naona hili alijakaa poa unawezaje kutangaza unamsaidia mtoto wakati baba yake yupo labda kama aliambiwa na Dida mwenyewe Baba yake hamsaidii mtoto
Kwani nini mkuu kwani hatatoa msaada au.
Safi sana mkuu Platinumz MondiWakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe, Maulid Kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa huko.
Amesema kuwa kuanzia siku hiyo Diamond atabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa Dida Shaibu mpaka anamaliza Elimu yake. Dida Shaibu amebahatika kuzaa mtoto mmoja kwenye maisha yake yote.
Kuna rafiki yangu mmoja baba yake alipofariki miaka mingi iliyopita rafiki mmoja wa baba yake aliamua kubeba jukumu la kusomesha watoto wa marehemu rafiki yake lakini huko mbele ya safari kuna binti mmoja ndiye aliye endelea kusoma hadi elimu ya juu na ni kweli yule mzee aliendelea kumsomesha lakini hatima yake yule mzee alimuoa yule binti(huyo mtoto wa rafiki yake),ni hadithi ya kweli kabisa yametokea.
Nb; Sina maana Nassib naye anaweza akafanya hivyo.
Haina shida hapo as long as hawana undugu wa aina yoyote, au?
Hawana udugu wowote lakini uhusiano uliyokuwepo huko nyuma huyo rafiki wa marehemu akienda nyumbani kwa marehemu rafiki yake yule binti alikuwa akimwita baba na mke wa marehemu alikuwa ni shemeji lakini baadaye mambo yanabadilika anakuwa mama mkwe! Inahitaji ukauzu fulani.Haina shida hapo as long as hawana undugu wa aina yoyote, au?