Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Mwisho wa siku yasijegeuka ya kanumba na lulu
Ficha ujinga wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ficha ujinga wako.
Kwahiyo ,aliamua brother aende kulalia ebishweko na ka wife kake dah 😀😀
Mpe pole Sana bro wetu ,mwambie mwezi wa kumi mwishoni niko Uzunguni ,akuje walau tupate kufurahia badala yako kakaIlikuwa hivyo sema jamaa alikiwa na godoro lake so haikumu-affect Sana.
Japo ilitafsirika vibaya Kama ushirikina .
Japo Mimi baada ya kukua niligundua ni umasikini tu ndo ulikuwa unasumbua hapo.
Hapo hakuna msomaji, kaenda sana form six, halafu wasafi wataanza kumsafisha na kumfungulia njiaWakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe, Maulid Kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa huko.
Amesema kuwa kuanzia siku hiyo Diamond atabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa Dida Shaibu mpaka anamaliza Elimu yake. Dida Shaibu amebahatika kuzaa mtoto mmoja kwenye maisha yake yote.
Utaratibu wa kienyeji huo, alipe Kampuni ya Bima leo ili imsomeshe na kumpa mahitaji kipindi chote. Nasibu akifa leo?Hapo itapigwa hesabu hadi anamaliza chuo kiasi gani kinahitajika
Then itafunguliwa akaunti rasmi na atawekewa hiyo pesa yote.
Baada ya hapo atakuwa anampa mahitaji madogo madogo.
Nadhani hata mtoto wa masigange aliwekewa utaratibu Kama huo.
So kwa hili abarkiwe Sana Diamond na Mungu amuinue zaidi
Dah, umenikumbusha mbali sana, siku ya harusi nilihaidiwa zawadi ambazo zilinifanya nijione nimetoboa! Picha linaanza usiku wa kumaliza sherehe, full mizinga!siku hizi zimekuwa kama ahadi za harusini
Utaratibu wa kienyeji huo, alipe Kampuni ya Bima leo ili imsomeshe na kumpa mahitaji kipindi chote. Nasibu akifa leo?
Asante kwa kunikumbusha,nilikuwa nimeshasahau madogo walipatikana kwa challenge ipiHaaminiki huyu Mondi ana misifa wale wadogo walishinda ile ngololo ngololo ya wimbo wake My Nimber one. Shule aliyoitangaza kuwapeleka ni East Africa International School ipo pale Mikocheni
Yule kijana akifika 40's atakua mwanasiasa.Kwani ya mtoto wa Masogange na Jux imeishia wapi?
Diamond hadi leo Shishi analalamika ahadi aliyompa ya Shishi Chili hadi leo hajaitimiza...
Zamani sana dida alikuwa anajiitaAna akili ya kusoma?,
Baba wa huyo mtoto yuko wapi mpaka asaidiwe majukumu?
Blah blah tu msibani jana watu wengi walienda kuuza sura tuMboyoyo nyingi sana huyu Chalii kuna wale Watoto walioshinda ile My Number one dancing mwaka 2014 sijui kama aliwasomesha ? Walikuwa watatu aliwaahidi kuwalipia ada International school ipo pale Mikocheni maeneo ya Clouds FM