Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Acha kumnenea mtoto wa watu mabaya 😒Hapo hakuna msomaji, kaenda sana form six, halafu wasafi wataanza kumsafisha na kumfungulia njia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumnenea mtoto wa watu mabaya 😒Hapo hakuna msomaji, kaenda sana form six, halafu wasafi wataanza kumsafisha na kumfungulia njia
Mtoto anasema Uwoya anamhudumiaNakumbuka msiba wa Masogange kuna watu waliahidi kumsomesha mtoto wa marehemu,
Sijui ilikuaje huko mbele,
Diamond amefanya jambo jema na la kupongezwa,
Nje ya mada,hivi Baba wa huyo mtoto yupo? sikumuona akizungumza kwenye msiba wala kuzungumziwa.
Sijawahi kuona comment yako njema kwa diamond was! Sijui ndie aliekuachanisha na yule aliekufanya uitwe single mother!!?Kwani ya mtoto wa Masogange na Jux imeishia wapi?
Diamond hadi leo Shishi analalamika ahadi aliyompa ya Shishi Chili hadi leo hajaitimiza...
Mpe yako ili upate uthibitisho😂Chai jamba kw kupenda mbunye 😁 ni mzima japo jicho moja ni kengeza
Nb uthitisho wa kengeza tunasubiri list kutoka kwa diddy
Kaliwa mwenetu, chawa wake msitumie nguvu kutuzimaMpe yako ili upate uthibitisho😂
🤣🤣🤣Sijawahi kuona comment yako njema kwa diamond was! Sijui ndie aliekuachanisha na yule aliekufanya uitwe single mother!!?
Unapenda hayo mambo sana unaonekanaKaliwa mwenetu, chawa wake msitumie nguvu kutuzima
Wanapenda sana showoffKwani ya mtoto wa Masogange na Jux imeishia wapi?
Diamond hadi leo Shishi analalamika ahadi aliyompa ya Shishi Chili hadi leo hajaitimiza...
inamaa mama yake hakua amejipanga miaka yote,tujifunze jamaniWakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe, Maulid Kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa huko.
Amesema kuwa kuanzia siku hiyo Diamond atabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa Dida Shaibu mpaka anamaliza Elimu yake. Dida Shaibu amebahatika kuzaa mtoto mmoja kwenye maisha yake yote.
Unataka unigei chumba na sebureUnapenda hayo mambo sana unaonekana
Hivi kwenye huu uzi umeona kuna sehemu inazingumzia hayo mambo? Unawezaje kuzungumza kitu ambacho akihusiani na uzi au ni kwasababu una interest nachoUnataka unigei chumba na sebure
Sidhani kama anaweza kusomesha mtoto ambae sio wake international schools kule ada ni kuanzia 18 million kwenda juuMboyoyo nyingi sana huyu Chalii kuna wale Watoto walioshinda ile My Number one dancing mwaka 2014 sijui kama aliwasomesha ? Walikuwa watatu aliwaahidi kuwalipia ada International school ipo pale Mikocheni maeneo ya Clouds FM
Baba mtoto yuko wapi ? Anauza sura barabarani au ? Hadi amwachie Diamond asomeshe huyo mtotoJambo jema. Huo ndio uungwana.
Labda kama alikuwa hahudumii tangi mwanzoYani Mzee Juma Mchopanga asaidiwe kusomeshewa mtoto? Hii ni dharau ya hali ya juu.
Anaitwa juma issa chikoka ni mkuu wa wilaya nadhani ni rorya huyu ndio mume wake wa kwanza na nahisi ndio walipata mtoto huyuZamani sana dida alikuwa anajiita
Dida wa mchops...sasa huyo mchops sijui yupo bado
Ova
Noma sana!Anaitwa juma issa chikoka ni mkuu wa wilaya nadhani ni rorya huyu ndio mume wake wa kwanza na nahisi ndio walipata mtoto huyu
Anaitwa juma issa chikoka ni mkuu wa wilaya nadhani ni rorya huyu ndio mume wake wa kwanza na nahisi ndio walipata mtoto huyu