hawajui ahadi ni dhima. wanaona raha kujiropokea.Kwani ya mtoto wa Masogange na Jux imeishia wapi?
Diamond hadi leo Shishi analalamika ahadi aliyompa ya Shishi Chilli hadi leo hajaitimiza...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawajui ahadi ni dhima. wanaona raha kujiropokea.Kwani ya mtoto wa Masogange na Jux imeishia wapi?
Diamond hadi leo Shishi analalamika ahadi aliyompa ya Shishi Chilli hadi leo hajaitimiza...
Nakumbuka msiba wa Masogange kuna watu waliahidi kumsomesha mtoto wa marehemu,Hope itafanyika kama alivyoahidi maana ahadi za msibani nazo siku hizi zimekuwa kama ahadi za harusini
Baada ya majonzi wengi hawatekelezi
watu wa mkoa unaotoka wana akili japo wana matabia ya hovyo. sasa hapo pa matabia ya hovyo unayaonyesha waziwazi
Cha ajabu Moderator wanamuangalia tu,sidhana kama hii inaruhusiwa kwa sheria za JF.watu wa mkoa unaotoka wana akili japo wana matabia ya hovyo. sasa hapo pa matabia ya hovyo unayaonyesha waziwazi
😂Ndo nini?Shishi Chilli
Mbona kafaulu kwenda form v?Washauri wa Diamond wameshuamtonya kua Dogo ni kilaza,na hapendi shule......cheap popularity
Ni jamaa fulani mjinga mjinga hivi.Who is this guy??
Mkuu,huyo sio jamaa,ni Mwanamke,Ni jamaa fulani mjinga mjinga hivi.
Akili ya kusoma ndo ipojeAna akili ya kusoma?,
Baba wa huyo mtoto yuko wapi mpaka asaidiwe majukumu?
😂 Kwenye msiba wa mzee wangu 2011, best friend yake wa karibu sana mzee aliniahid kunipa lifti kunirudsha shulen baada ya mazishi kuisha pale . Kilichotokea sasa hd leo hii sijui lifti iliyeyukia wapi maana nilirud peke Yang shule tena kwa daladala nikiwa very heart broken for the death of my father at a very young age of 15 nikiwa kidato cha kwanza aiseee.
Ila na yule jamaa alikuja kufariki miaka michache mbeleni .
😂 Kwenye msiba wa mzee wangu 2011, best friend yake wa karibu sana mzee aliniahid kunipa lifti kunirudsha shulen baada ya mazishi kuisha pale . Kilichotokea sasa hd leo hii sijui lifti iliyeyukia wapi maana nilirud peke Yang shule tena kwa daladala nikiwa very heart broken for the death of my father at a very young age of 15 nikiwa kidato cha kwanza aiseee.
Ila na yule jamaa alikuja kufariki miaka michache mbeleni .
Unajidhalilisha
Mboyoyo nyingi sana huyu Chalii kuna wale Watoto walioshinda ile My Number one dancing mwaka 2014 sijui kama aliwasomesha ? Walikuwa watatu aliwaahidi kuwalipia ada International school ipo pale Mikocheni maeneo ya Clouds FMMwisho wa siku yasijegeuka ya kanumba na lulu. Chai jaba haaminiki
Yupo form ivAna akili ya kusoma?,
Baba wa huyo mtoto yuko wapi mpaka asaidiwe majukumu?
Aisee hata mi sijaona mahali popote akizungumziwa SA sijui kama yupo au Binti ni yatimaNakumbuka msiba wa Masogange kuna watu waliahidi kumsomesha mtoto wa marehemu,
Sijui ilikuaje huko mbele,
Diamond amefanya jambo jema na la kupongezwa,
Nje ya mada,hivi Baba wa huyo mtoto yupo? sikumuona akizungumza kwenye msiba wala kuzungumziwa.
Kuna watoto mondi aliwah watoa kayumba akawapeleka english medium lakin baada ya mwaka mmoja akawatelekeza huko bila kuwalipia adaKwani ya mtoto wa Masogange na Jux imeishia wapi?
Diamond hadi leo Shishi analalamika ahadi aliyompa ya Shishi Chili hadi leo hajaitimiza...
Kuna watoto mondi aliwah watoa kayumba akawapeleka english medium lakin baada ya mwaka mmoja akawatelekeza huko bila kuwalipia adaKwani ya mtoto wa Masogange na Jux imeishia wapi?
Diamond hadi leo Shishi analalamika ahadi aliyompa ya Shishi Chili hadi leo hajaitimiza...
hahaaa nimecheka balaaaa. dah pole ndugu😂 Kwenye msiba wa mzee wangu 2011, best friend yake wa karibu sana mzee aliniahid kunipa lifti kunirudsha shulen baada ya mazishi kuisha pale . Kilichotokea sasa hd leo hii sijui lifti iliyeyukia wapi maana nilirud peke Yang shule tena kwa daladala nikiwa very heart broken for the death of my father at a very young age of 15 nikiwa kidato cha kwanza aiseee.
Ila na yule jamaa alikuja kufariki miaka michache mbeleni .