Diamond amejitolea kumsomesha mtoto wa Dida mpaka anamaliza Elimu

Diamond amejitolea kumsomesha mtoto wa Dida mpaka anamaliza Elimu

Hapo itapigwa hesabu hadi anamaliza chuo kiasi gani kinahitajika

Then itafunguliwa akaunti rasmi na atawekewa hiyo pesa yote.

Baada ya hapo atakuwa anampa mahitaji madogo madogo.

Nadhani hata mtoto wa masigange aliwekewa utaratibu Kama huo.

So kwa hili abarkiwe Sana Diamond na Mungu amuinue zaidi
Irene uwoya ndo mlezi wa mtoto yule
 
Kwenye ubarikio wangu,kitambo hicho,nilipatiwa cheni ya dhahabu gram za kutosha. Nilijisikia faraja sana. Baada ya sherehe kuisha, mwenyewe akaja kuchukua cheni yake


Nakumbuka mwaka 2010 katika harusi (Ndoa ) ya Mjomba wangu.

Alipewa godoro Kama zawadi na mama mdogo Ila Baada ya harusi mama mdogo alichukua godoro lake.

Hili godoro alipewa mchango (zawadi) kutoka kwa wanachama wenzake hili aje amtunze ndugu yake katika harusi.

So kilichotokea ndo hicho , mama mdogo alichukua godoro lake alilotunza.

Japo wakati analitoa ilileta hamasa ,amsha amsha n.k tena kijijini.

By that my uncle alikuwa yupo chuo so alichukulia Kama zawadi nzuri.

Nilichojifunza kutoa kitu unachokipenda sio Kazi nyepesi watu wachache ndo wamebarikiwa huo uwezo.
 
😂 Kwenye msiba wa mzee wangu 2011, best friend yake wa karibu sana mzee aliniahid kunipa lifti kunirudsha shulen baada ya mazishi kuisha pale . Kilichotokea sasa hd leo hii sijui lifti iliyeyukia wapi maana nilirud peke Yang shule tena kwa daladala nikiwa very heart broken for the death of my father at a very young age of 15 nikiwa kidato cha kwanza aiseee.

Ila na yule jamaa alikuja kufariki miaka michache mbeleni .
Aisee
 
Wakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe, Maulid Kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa huko.

Amesema kuwa kuanzia siku hiyo Diamond atabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa Dida Shaibu mpaka anamaliza Elimu yake. Dida Shaibu amebahatika kuzaa mtoto mmoja kwenye maisha yake yote.
Dua zetu kwa kijana Nasibu kwa kujitolea
 
Wakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe, Maulid Kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa huko.

Amesema kuwa kuanzia siku hiyo Diamond atabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa Dida Shaibu mpaka anamaliza Elimu yake. Dida Shaibu amebahatika kuzaa mtoto mmoja kwenye maisha yake yote.
Ni jambo jema na la kiungwana 💪 ikiwezekana na amkatie pia bima ya afya katika kipindi hicho. cha kumpatia elimu yake
 
Kuna watoto mondi aliwah watoa kayumba akawapeleka english medium lakin baada ya mwaka mmoja akawatelekeza huko bila kuwalipia ada
Haaminiki huyu Mondi ana misifa wale wadogo walishinda ile ngololo ngololo ya wimbo wake My Nimber one. Shule aliyoitangaza kuwapeleka ni East Africa International School ipo pale Mikocheni
 
Wakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe, Maulid Kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa huko.

Amesema kuwa kuanzia siku hiyo Diamond atabeba jukumu la kumsomesha mtoto wa Dida Shaibu mpaka anamaliza Elimu yake. Dida Shaibu amebahatika kuzaa mtoto mmoja kwenye maisha yake yote.
Mbona alirudia kusisitiza kuwa sio diamond bali kampuni ya wasafi media na hili alirudia kulisisitiza. aliyesema ni mkurugenzi wa wasafi media ila alisema kampuni ndio itamsomesha.
Haya mambo ya ahadi za kusomesha wengi ambao huzitoi huwa zinawashinda katikati. Jiepushe kutoa ahadi ukiwa na furaha sana au huzuni sana.
 
Haaminiki huyu Mondi ana misifa wale wadogo walishinda ile ngololo ngololo ya wimbo wake My Nimber one. Shule aliyoitangaza kuwapeleka ni East Africa International School ipo pale Mikocheni


Kinachotokea hapo ni wazazi wa hao watoto.

Mfano umeingiziwa mil 30 za mtoto kusoma hadi standard seven na hela inakaa katika account ya mtoto.

Wewe unaamua kumuamisha shule na kuchukua ile hela kufanyia mambo yako unayohisi yatapunguza ukali wa maisha.
 
Nakumbuka mwaka 2010 katika harusi (Ndoa ) ya Mjomba wangu.

Alipewa godoro Kama zawadi na mama mdogo Ila Baada ya harusi mama mdogo alichukua godoro lake.

Hili godoro alipewa mchango (zawadi) kutoka kwa wanachama wenzake hili aje amtunze ndugu yake katika harusi.

So kilichotokea ndo hicho , mama mdogo alichukua godoro lake alilotunza.

Japo wakati analitoa ilileta hamasa ,amsha amsha n.k tena kijijini.

By that my uncle alikuwa yupo chuo so alichukulia Kama zawadi nzuri.

Nilichojifunza kutoa kitu unachokipenda sio Kazi nyepesi watu wachache ndo wamebarikiwa huo uwezo.
Kwahiyo ,aliamua brother aende kulalia ebishweko na ka wife kake dah 😀😀
 
Back
Top Bottom