Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mzee Abdul ni mganda,,Kwa hiyo tumekubaliana diamond sio wa kigoma tena ni mpare
Nyange ni Mpare
Wanawake wetu wa sasa wanazaa wakitaka kuzaa ,,Binafsi mimi pia najiuliuza, ina maana Mzee Abdul kakaa na huyo mama tangu Diamond mtoto mdogo mpaka amekuja kuachana naye Diamond yuko Form one hawakuwahi kuzaa kabisa ??
Mkiambiwa msioe singo maza mnashupaza shingoNimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..
Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..
Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....
Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..
Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..
Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....
Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..
Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
Nina uhakika ww ni kilaza.Kuzaa si kupata,kulea Ni wajibu....yule mzee anakelele sana hata mie ningemkana tu ili yaishe.
Mzee hazaliliki anae zalilika ni yule malaya mama ake diamondi yani anatiwa mimba hajui niyanani mika zaidi ya 30 ndio unakuja kujua mkojo ule ulikua wa nyangeYule mzee wanamzalilisha Sana
So what Mr Genius!Nina uhakika ww ni kilaza.
Mama nimemtoa thamani kabisa.Aibu imeondoka kwa Kasi sana duniani. Mama anadhihirisha kuwa mtoto wake ni mwana zinaa!
Hata Wasambaa kuna Nyange.Nyange ni Mpare
Madaxweyne aniga waxa aan jooga gerash Aw AdanAibu imeondoka kwa Kasi sana duniani. Mama anadhihirisha kuwa mtoto wake ni mwana zinaa!
mar mar waxan taaga gerashkii aw koombeMadaxweyne aniga waxa aan jooga gerash Aw Adan