Hechinodemata
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,488
- 3,338
Umenifurahisha sana na haka kausemi, huu usemi wanaelewa wachache sana[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
Umenifurahisha sana na haka kausemi, huu usemi wanaelewa wachache sana[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
Jojn hajauza hiyo nyumba na kama atauza watanunua wapigaji wenzake...chibu kapanga ila dalali wke ndio anadai wamenunuakanunua kwajohn hugo
Hio ofisi kubwa hivyo alikiba anafanya nini nayo?Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
ameificha mfukoni au chumban kwakeNi hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
Huyo scober ni muongo muongo na mpenda sifa angekua amemuuzia nyumba 29 basi nae scober angekua na maendeleo sio kumiliki duet gari ya 5m kma bajaji..aache kumsifu chibu kwa sifa za uongo.Millard ayo kaipa #1 kwenye story 10 za Amplifier ya Cloudsfm. Sikiliza sasa hv 20:49, Thursday, 11.Jan. 2018.
Ile nyumba SIO YA KUPANGA. Dalali Mwanamke (Scober) ameongea na Millard ayo amesema ameinunua kwa Billion 1 Cash.
aa wapi bongo wakuda kibao tungeionaKiba Mbona ana ofisi kali zaidi ya hiyo Kitambo sana....... Sema tu hana makuu
Huyo scober ni muongo muongo na mpenda sifa angekua amemuuzia nyumba 29 basi nae scober angekua na maendeleo sio kumiliki duet gari ya 5m kma bajaji..aache kumsifu chibu kwa sifa za uongo.Millard ayo kaipa #1 kwenye story 10 za Amplifier ya Cloudsfm. Sikiliza sasa hv 20:49, Thursday, 11.Jan. 2018.
Ile nyumba SIO YA KUPANGA. Dalali Mwanamke (Scober) ameongea na Millard ayo amesema ameinunua kwa Billion 1 Cash.
Ela ipo acha afanye makubwa, kijana ni mfano hata kwa waliomtanguliaHapo ndio yatakuwa makao makuu ya Wasafi Radio and TV......
Mimi sikubaliani kabisa na Diamond kuwekeza hela kwenye hii biashara ya Tv na Radio bado nina doubt.
Lakini namtakia kila lenye kheri
Hawana jipya awa jamaaTeam kiba mnanifuhashaga sana yaan mpo kwa ajili ya kuonyesha kwamba kiba yuko juu.
Hapo hatuzungumziii nani ana nn ila tu wao km Wcb ndo wameshare nasi yeye kama hakutaka ni maamuzi yake
Ila duh bilioni 1 ?!Duuuh chibu hana hiyo jeuri mkuu tuwe wakweli...unamjua john hugo?
Bil 1 sio helaa kwa diamond tokana na show anazofanya kwamba ashindwe kununua ile nyumbaa..!! Biashara anazofanya... matangazo ya makampuni mbalimbali... Acheni chuki za kijingaa yani unakuta mtu huna hata Baiskeli umesimamiaa kuchaa kabisaa kumponda diamond... Wabongo wapuuzi sana yani wivuu wakijinga jingaa... Alipofikaa Diamond sijui msanii gani Bongo atakuja kufika hata nusu yakee...Huo mjengo sio mchezo hawana hela ya kununua ila hata kupanga nayo ni maendeleo pia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utafika tu..Mimi na PhD yangu sijui nitafikia lini huko..nahisi kukata tamaa
Ni kijana mmoja wa kichaga mpigaji kma kina ndama,alipewa kesi ya ML mwaka jana ila haina uzito sanaIla duh bilioni 1 ?!
Hapana mkuu simfahamu...ni nani huyo?
Yule kila kitu anajua duuuhMange keshatoa siri ya huo mjengo