Diamond apokelewa kama Rais Msumbiji, apewa heshima zote za kirais

Diamond apokelewa kama Rais Msumbiji, apewa heshima zote za kirais

ACHA ROHO MBAYA UTAKUFA
WIVU UMEKUJAA WW MDADA KWANN LKN
NDIO IVO MWENZAKO ANACHANA MBUGA NENDA NAWW KAWAAMBIE AO MA DJ CJUI WAKAKUANDALIE NA WAWTU AIRPORT WAKUPOKEE NAWW
mwandiko wako unatosheleza kuonyesha kuwa hujitambui.
 
Taarifa ya kishabiki,Fanya tafiti usikurupuke.Nipo huku waandaji wa show walipewa sharti la kwanza ni kukusnnya watu airport.Na salaam na quiz ndio walikuwa organizer wa hiyo kitu.
Msiwe mnaingia mkenge kijinga,Ukiona jambo ongeza na zako.
Hata la lissu tusingeongeza zetu ungekuta tunasubiri ripot ya polisi au bunge november.Ila tumestuka na sasa habari ya taifa ni Tundu lissu
Roho imekuuma unabwabwaja tu teh nn shida kwani,hebu kunywa maji kwanza
 
September 14, 2017
Pemba, Cabo Delgado Province Mozambique

Diamond Platnumz Mozambique arrives in Pemba, Mozambique


Source: Ngeleja TV
c.c chotera luvanga ketete Doto Dotto
 
September 14, 2017
Goma, Democratic Republic of Congo

DIAMOND PLATNUMZ LA STAR DE L AFRIQUE DE L EST AU MICRO DE GLTV!
POUR TOUT VOS EVENEMENTS, UNE SEULE ADRESSE:"WWW.GLTV1.COM" LA QUALITE, L EXCELLENCE,LA PERFECTION SE TROUVENT CHEZ NOUS!!

Source: GLTV
 
Mimi niko msumbiji hapa nilikuwepo wakati anapokelewa.Kiufupi watu walijiyokwza kwa wingi sana sana but walio wengi ni raia ta tz wanaojishughulisha huku kwa biashara ndogo ndogo na uchimbji madini.Lakini kiukweli dai anaheshika sana huku hasa ni baada ya kushirikiana na wasanii baadhi wa zambia na mawawi i think so nyimbo zake zinapendwa pia huju
hivi wale watz waliokurupushwa huko kwa maelfu wakaletwa huku mtwara na malori ya jeshi wamerudi tena huko?
 
Huyo nae liende huko
Ngoja anyooshwe na Mganda ndio ajue.
 
Mondi hatari sana huyu jamaaa,hata akitokea mtaani kwako lazima utoe macho na upo naye hapa hapa DSM,sembuse watu wanaomuona kwenye TV tu????






Wengine wivu unasumbua
 
Huyo nae liende huko
Ngoja anyooshwe na Mganda ndio ajue.
Ahahhaaaa,SIMBA BIN LADEN ANA NYOTA ISIYOCHUJA KABISAAAA,WATU WAKIAMUA KUMSHUSHA WASISAHAU NA KUJA KUNG'OA MEMORY ZILIZO NSTALL MOND VICHWANI,MAAANA KUMSHUSHA iSHASINDIKANA


NA DADA YETU MANGE KAONA AENDELEE TU NA SIASA ZAKE MAANA KIBAKULI ANA DHARAU HUYU MTU DAAAHHHHH,HATA KUHOJIWA TU ANARINGA






GO GO GO SIMBAAAAAAAA
 
Taarifa ya kishabiki,Fanya tafiti usikurupuke.Nipo huku waandaji wa show walipewa sharti la kwanza ni kukusnnya watu airport.Na salaam na quiz ndio walikuwa organizer wa hiyo kitu.
Msiwe mnaingia mkenge kijinga,Ukiona jambo ongeza na zako.
Hata la lissu tusingeongeza zetu ungekuta tunasubiri ripot ya polisi au bunge november.Ila tumestuka na sasa habari ya taifa ni Tundu lissu
unakusanyaje mashabiki kama huna ishu?
 
Wanabodi.
Hayo mapokezi ya Diamond ni makubwa sana amepewa heshima kubwa mno hakuna msanii tanzania aliewahi kupokelewa vile ngoja tusubiri na rekodi atayovunja ya kufanya show indigo london ambapo hakuna msanii wa bongo aliewahi kufanya show ya peke yake indigo.

amekagua gwaride?
 
Taarifa ya kishabiki,Fanya tafiti usikurupuke.Nipo huku waandaji wa show walipewa sharti la kwanza ni kukusnnya watu airport.Na salaam na quiz ndio walikuwa organizer wa hiyo kitu.
Msiwe mnaingia mkenge kijinga,Ukiona jambo ongeza na zako.
Hata la lissu tusingeongeza zetu ungekuta tunasubiri ripot ya polisi au bunge november.Ila tumestuka na sasa habari ya taifa ni Tundu lissu
Mwambie babaako akusaidie kukusanya watu 15 tu wa kukupokea Ubungo Stand akiwemo na demu wako kama mtaweza
 
Heshima Zote za Rais,, kipindi hicho Rais mwenyewe hakuwepo nchini?
Au walikubaliana Aje kwa Zari afu yeye Akapige Show!!??

Chukua 2017 toa mwaka uliozaliwa!! Uone ulivyo bichwa Puto==

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi.
Hayo mapokezi ya Diamond ni makubwa sana amepewa heshima kubwa mno hakuna msanii tanzania aliewahi kupokelewa vile ngoja tusubiri na rekodi atayovunja ya kufanya show indigo london ambapo hakuna msanii wa bongo aliewahi kufanya show ya peke yake indigo.
Walimuandalia na Gwaride eenh...
 
Taarifa ya kishabiki,Fanya tafiti usikurupuke.Nipo huku waandaji wa show walipewa sharti la kwanza ni kukusnnya watu airport.Na salaam na quiz ndio walikuwa organizer wa hiyo kitu.
Msiwe mnaingia mkenge kijinga,Ukiona jambo ongeza na zako.
Hata la lissu tusingeongeza zetu ungekuta tunasubiri ripot ya polisi au bunge november.Ila tumestuka na sasa habari ya taifa ni Tundu lissu
Ingia Inst millardayo kapost video, diamond katisha sana aise
 
Back
Top Bottom