[emoji15] [emoji15] kumbe!!!Hapo alipo anatumia ARV,akapande tena mlima? Mwili umeshindwa kusustain.
Mkuu taratibu zikoje ? Na gharama , kama vifaa na misosiWakuu, binafsi nilifuhia sana, Waziri Hamis alivyohamasisha wasanii wengi kupanda Mlima Kilimanjaro kwa Mara moja, kwa kauli mbiu Twende Zetu Kileleni...
Safari ilianza Jana Jumamosi Tarehe 28/09/2019, Ilikuwa ya siku sita.
Lakini Diamond, Steve Nyerere na Dogo Janja wamerudi leo Jumapili baada ya kuchoka sana... Walifika kituo cha kwanza Mandara wakarudia mbele kidogo ya Mandara.
Changamoto kubwa ni kupanda Mlima kwa mhemko, na pia nilishasema tena hapa kwenda gym kila siku hakukupi uwezo wa kupanda mlima Kilimanjaro. Na pia jamaa walionekana wakienda kwa kasi sana, Kosa kubwa... Kilimanjaro ni Polepole.
Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.
Na wote tutatoboa...
Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.
Wakuu, binafsi nilifuhia sana, Waziri Hamis alivyohamasisha wasanii wengi kupanda Mlima Kilimanjaro kwa Mara moja, kwa kauli mbiu Twende Zetu Kileleni...
Safari ilianza Jana Jumamosi Tarehe 28/09/2019, Ilikuwa ya siku sita.
Lakini Diamond, Steve Nyerere na Dogo Janja wamerudi leo Jumapili baada ya kuchoka sana... Walifika kituo cha kwanza Mandara wakarudia mbele kidogo ya Mandara.
Changamoto kubwa ni kupanda Mlima kwa mhemko, na pia nilishasema tena hapa kwenda gym kila siku hakukupi uwezo wa kupanda mlima Kilimanjaro. Na pia jamaa walionekana wakienda kwa kasi sana, Kosa kubwa... Kilimanjaro ni Polepole.
Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.
Na wote tutatoboa...
Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.
Sawa Mkuu.Ukikamilisha mchakato kuhusu kupanda mlima unitag kiongozi
Ni kujipanga tuu mkuu.Mkuu taratibu zikoje ? Na gharama , kama vifaa na misosi
TrueThere's always a second chance and people learn from their mistakes...
Only if one intend to complete the mission.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu hako kajamaa kama uliangalia interview yake kanasema kanafanya showz 3hrs non stop so katapanda mlima kwa siku moja eti kupanda mlima kitu gani bana
DangerInsta ingechafuka. Angepiga party kila wilaya
Hongera mkuu!!Kupanda Mlima Kilimanjaro sio mchezo alafu nashangaa wanashindwa kupanda Marangu Route , Ingekuwa Lemosho au Machame Ingekuwaje? Nimepanda Lemosho Route hadi kileleni [emoji123]
ohoooo!!!huwa hawachukuliwi vipimo Kabla ya kupanda?Hapo alipo anatumia ARV,akapande tena mlima? Mwili umeshindwa kusustain.
Physical inahitajika pia.
Mazoezi ni muhimu sana...
Uliniahidi kwenda tena...Asante.
Mimi nilitoboa ila ilikua shughuli mpaka kwenda na kurudi salama. Mtu akikwambia kafika kileleni inabidi umpongeze kwa kweli.
Hawa wasanii wengi kama nawaona watakavyokua wanabakia hawaendelei mbele na safari
Mkuu kama unauzoefu mazoezi sio muhimu sana.Mazoezi sio muhimu sana.
Hali ya afya, nia na courage is everything
Mimi nilifanikiwa kupanda huo mlima sababu ilikuwa ni sehemu ya koziMkuu mie nilishaenda kule tena kwa njia ngumu ya machame, lakini sikujikana, ila niwe mkweli tu kuna siku nililia, nikajuta na kujiuliza nini kimenipeleka kule
π π π πWanaume wa dar hawawezi kufika kileleni hadi kwenye mlima?
Hapana. Kitendo hicho ni kinyume za haki za binadamu.ohoooo!!!huwa hawachukuliwi vipimo Kabla ya kupanda?
Eti nina majukumu mengine kwani ulivyoenda hukujua kama uko na majukumu wabongo kwa visingizio nawapa kombe kama sio chibukuAsingeweza kupanda huo mlima mtu mwenyewe anaishi kwa kuunga unga