Diamond ashindwa kupanda Mlima Kilimanjaro, Steve Nyerere azitapika Tsh. Milioni 2

Mkuu taratibu zikoje ? Na gharama , kama vifaa na misosi
 
Ukikamilisha mchakato kuhusu kupanda mlima unitag kiongozi
 
Halafu hako kajamaa kama uliangalia interview yake kanasema kanafanya showz 3hrs non stop so katapanda mlima kwa siku moja eti kupanda mlima kitu gani bana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kupanda Mlima Kilimanjaro sio mchezo alafu nashangaa wanashindwa kupanda Marangu Route , Ingekuwa Lemosho au Machame Ingekuwaje? Nimepanda Lemosho Route hadi kileleni [emoji123]
Hongera mkuu!!
Whisky route...
 
Asante.
Mimi nilitoboa ila ilikua shughuli mpaka kwenda na kurudi salama. Mtu akikwambia kafika kileleni inabidi umpongeze kwa kweli.

Hawa wasanii wengi kama nawaona watakavyokua wanabakia hawaendelei mbele na safari
Uliniahidi kwenda tena...
This time njoo tupandie Machame.
Haitakuwa ngumu
 
Mkuu mie nilishaenda kule tena kwa njia ngumu ya machame, lakini sikujikana, ila niwe mkweli tu kuna siku nililia, nikajuta na kujiuliza nini kimenipeleka kule
Mimi nilifanikiwa kupanda huo mlima sababu ilikuwa ni sehemu ya kozi
 
Huo mlima unahitaji mazoezi na uwe na afya njema na sio hela.
 
Unahamasisha watu kupanda mlima halafu wahamasishaji wenyewe wanashindwa kupanda hata kwa dau huku wakijitetea waziwazi kwamba hawawezi kuweka maisha yao rehani.

Hapo unakuwa umehamasisha au umekatisha watu tamaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…