Diamond atangaza ujio wa Wasafi FM na Wasafi TV

Diamond atangaza ujio wa Wasafi FM na Wasafi TV

Sis wenye Paramount Network tv. Tuangalie chanel number gani?
 
Mbona imekata tens au king' amuzi changu kibovu
 
Wasafi Tv wameanza vizuri upande waTv , nimewafatilia tangu asubuhi Leo hakika burudani waliyokuwa wanaipiga siyoooo haba.
Ila sijaona mtangazaji yeyote tangu nimeanza kuitazama mpaka sasa.

Upande wa Pili tupasubiri wataanzaje upande wa Wasafi FM .

Wasafi TV- Tumeliwasha.
 
Na kama kuna wengi kwa nyuma wasioonekana huyu aliye mbele anayetajwa peke yake sio sahihi. Wasimuone Mond pekee wawaone na wa nyuma wasiojitangaza
Ktk hao share holders Diomond ndio bland ( mtaji MKUBWA) KWA hiyo BIASHARA kwani itapata soko kubwa Kwa sababu ya mtaji MKUBWA wa soko . So hao wenye pesa hawazi wekeza sehemu ambayo hailipi, Na Pia pamoja Na pesa waliyonayo wanaweza kuanzisha hiyo BIASHARA ILA watatumia pesa sana kuitangaza Na inaweza kufanikiwa au la. Kupitia huitaji Na umuhimu wa kila MTU umiliki sasa wa hiyo investment una kuwa KWA percentage hivyo diamond ni mmiliki pia Na lazima abebe yeye pekeyake Na bland yake ya WASAFI sababu ndio mtaji MKUBWA KWA hiyo BIASHARA WATEJA tayari tupo . Ushauri tumpongeze Diamond kwa atua aliyofikia tusimbeze Na tupambane kama alivyo pambana yaani Diamond awe ni mfano kwetu.
 
Kwan Clouds unadhan Joseph anamilik peke yake?? Kuna kina KUSAGA 5 wako pale wote na share

Anae onekana mbele siku zote FOUNDER, ambae anakua ni sura ya kampun

Mfano Jack Ma wa Alibaba, sina kumbukumbu vizuri ila umilik wake ndani ya kampuni ni chini ya 30%, mshindan wake huko kwao Tancent ( Pony Ma=mmilik) nae hvyo hvyo

UBER unaijua, kaangalie mwanzilishi n nani na aliekaa pale juu saiv n nani,

Wenzetu hua mambo yao yanapiga hatua kwakua na STRONG INSTITUTIONS , unakuja na wazo, likimake sense kwa watu (wawekezaji/Investors) wanatia pesa wanamilik hisa ndani ya kampun, wewe mwanzilish unabak kama Face of the company, na utatambulika kama founder, ila humo ndan kuna mtu anaweza kua na share nying kuliko wewe hata voting power vile vile

Nenda kasome samsun ilivyo


Steve Jobs anasifika kama mwanzilishi wa Apple, je wajua kuna wakati alifukuzwa kabisa kwenye board?? ikambidi akaanzishe kitu kingine ambacho baadae kilikuja mrudisha kwenye board of directors ??

Wenzetu wanafanya hvyo, leo mkurugenzi/mwanzilish/mmilik akafa, company hua zinabak zinaendeleza operations


Sasa hili sie kinamadange tunapata nafasi ya kulijua, badala tupate cha kujifunza tunaona NONGWA, sijui wivu, tukabatizwe kwa maji mangi walai
Haindoi UMILIKI WA KUSAGA KWA WASAFI HATA DIMONDI AKIWEKWA FRONT.
 
Wasafi Tv wameanza vizuri upande waTv , nimewafatilia tangu asubuhi Leo hakika burudani waliyokuwa wanaipiga siyoooo haba.
Ila sijaona mtangazaji yeyote tangu nimeanza kuitazama mpaka sasa.

Upande wa Pili tupasubiri wataanzaje upande wa Wasafi FM .

Wasafi TV- Tumeliwasha.
Ndivyo ilivyo wapo ktk majaribio kuona picha na sauti
 
Hii tabia ya kuweka picha za miguu yenu mnatuharibia mood za kucomment kwa busara. Mwingine kassimneema.
Mkuu imebidi nimtafute huyo mtu daah nimeona picha yake hatari sana halafu cha ajabu hivi viumbe havina huruma kabisa hawajui tumetoka kwenye Kwaresma takatifu!!
 
Naona hii habari nafika home tanesco wamekata umeme sasa sijui kimara tu huku bonyokwa ama DSM yote, ila navizia ukirudi tu Nazama kuwasha TV.
 
Una huyu nae, kuna sehemu nimesema huko Kusaga sio share holder??? Umeacha akili zako bafuni wakati unaoga?
UMEONGELEA UFRONT TU WA DIMONDI LAKINI UBACK WA KUSAGA HAUJAUGUSA KABISA NDIO MAANA NIKAKUKUMBUSHA HILO....HAUJAMTAJA KABISA KUSAGA.
 
Wale akina da mange kasema hapo utawasikia Redio ya Kusaga,basi tupe ushahidi kama kweli Redio ya Kusaga (Reference yake Da mange ).Huyu da mange kawageuza watu misukule.
 
UMEONGELEA UFRONT TU WA DIMONDI LAKINI UBACK WA KUSAGA HAUJAUGUSA KABISA NDIO MAANA NIKAKUKUMBUSHA HILO....HAUJAMTAJA KABISA KUSAGA.
Mzee umevamia mada alafu hujui mada ilikua inahusu nn? sio kila sehemu unatia pua, rudi tuliko anzia sio unakuja kurukia jambo katikat bila uelewa n nn kinajadiliwa
 
Naona hii habari nafika home tanesco wamekata umeme sasa sijui kimara tu huku bonyokwa ama DSM yote, ila navizia ukirudi tu Nazama kuwasha TV.
Labda kwenu tuu huko. Huku tabta upo. Polen
 
Back
Top Bottom