Diamond awaomba mashabiki kumpokea Airport

Status
Not open for further replies.
Last edited by a moderator:

Ha ha ha binamu, makavu live
 
anayoongelea binamu ni hii ya kupokelewa chibu anavyorejea akitoka kwenye hizo tunzo

hiyo ya Canada wala hajaigusia... sa we unasemaje ni mzushi????

Honey, leo ni tarehe 29/july, anatakiwa afanye perfomance Canada kuanzia tarehe 2/august.Hapo juu umeonyesha kwamba kesho watu wanatakiwa wampokee airport. Ni uzushi tu hou.
 
Honey, leo ni tarehe 29/july, anatakiwa afanye perfomance Canada kuanzia tarehe 2/august.Hapo juu umeonyesha kwamba kesho watu wanatakiwa wampokee airport. Ni uzushi tu hou.

nimeanza kukusoma sasa ujue.......
sa Mama ubaya kwanini alituambia hizo habari
 
Huyu jamaa bana kuomba mashaniki wakupokee ni ujinga acha waje wenyewe, mwishowe utuombe tuje kwenye msiba wako siku ukifa ili tu umzidi Kanumba

Mkuu nimecheka sana aisee du!
 
nimekuwekea picha ya mama ubaya umemuona..... ni hapatoshi posters kila mahali kwa ajili ya mapokezi

Nimeshaiona, ma haters tunasubir tu tuone atakavyovunja rekodi ya kupokelewa na watu wengi kuliko hata OBAMA.
 

Think big
 
Yaan saa 8 usiku khaaa!!!!! Wataenda team Wema
 

Sasa ndo ujiulze je akija kufikia umri wa jide ki muzk bdo atakua ktk chat aliyonayo?
 
Habari za uzushi hizi, Warumi anapenda uongo uongo huyu. Diamond anafanya show Canada.

Warumi anapenda uongo uongo huyu, sasa kama unajua napenda uwongo kwa nini uendelee kusoma thread zangu kama sio unafki?

Diamond anakuja kesho saa nne usiku na kawaomba mashabiki wampokee, kama huamini kashike jembe ukalime
 
Kuna watuy wajiombwa mauako na biamond wapi tayari kutoa kabisa tena watabua buklta hata kabla ya neno vua halijaisha,
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…