Wewe unaona sawa tu kutukanwa matusi ya rejareja kisa njaa? Njaa kali imekufanya ushindwe kugundua matusi unayotukanwa na watu qenye pesa. Unakuwa kama chawa kwa kuwa chawa hata atukanajwe yeye haoni soni wala soo.Kweli njaa inakutesa mpaka unaona kama unatukanwa.
Unakoelekea wewe hata ukiona mende wawili wamesimama utahisi wanakusema.
You only see what your eyes want to seeKatika hali isiyokuwa ya kawaida, msanii wa muziki na mmiliki wa biashara, ikiwemo WASAFIBET, ameamua kuwatukana vijana wa kitanzania kwa makusudi kwa kuchapisha tangazo lenye nia ovu ya kudhalilisha, kutweza na kubagaza utu wa vijana wa Tanzania. Ni dhahiri shahiri kuwa amewalenga vijana kwa kuwa wengi wao hawana ajira, hivyo wanategemea kubet ili wapate fedha za kujikimu.View attachment 3206254
MAONI YANGU
Diamond amefanya kitendo kinachopaswa kulaaniwa na kila mtanzania mwenye utu, mpenda amani na anayezingatia na kujali maisha ya wengine, bila kujali hali zao za kiuchumi. Haikuwa na haja kuchapisha tangazo hili la kidhalilishaji, kibaguzi, kichochezi na kibagazaji. Kuna namna nyingi za kutangaza lakini sio kwa udhalilishaji wa kiasi hiki. Naomba serikali iingilie kati kwa kumuonya huyu kijana aache dharau kwa vijana wenzake na pia aondoe hilo tangazo, kuwaomba radhi vijana wenzake na kuapa kutorudia kosa kama hili wakati mwingine.
Nawasilisha.
Njaanuary yako, only january kwa sababu watu wana tabia ya kusema january ngumu si kwa wenye ajira au wasiokuwa na ajira. Hakuna tusi hapo ni art ya kutengeneza matangazoAnd what do you see? Dont you see that abusive statement mkuu?
sijaona neno kwamba vijana wa kitanzania mna njaa sana ila nimeona neno njaanuary neno ambalo hutumika kila siku kuonesha ugumu wa january. Hapo matusi yanatoka wapi.Wewe unaona sawa tu kutukanwa matusi ya rejareja kisa njaa? Njaa kali imekufanya ushindwe kugundua matusi unayotukanwa na watu qenye pesa. Unakuwa kama chawa kwa kuwa chawa hata atukanajwe yeye haoni soni wala soo.
Kwa kuwa una njaa hayo matusi huwezi kuyaona. Subiri ushibe kwanza mkuu.sijaona neno kwamba vijana wa kitanzania mna njaa sana ila nimeona neno njaanuary neno ambalo hutumika kila siku kuonesha ugumu wa january. Hapo matusi yanatoka wapi.
sawa mkuundugu yangu ila jitahidi sana uwe unahuzuria hospital maana unakoelekea sioKwa kuwa una njaa hayo matusi huwezi kuyaona. Subiri ushibe kwanza mkuu.
Ni either tafuta ajira au tafuta hela kakaKatika hali isiyokuwa ya kawaida, msanii wa muziki na mmiliki wa biashara, ikiwemo WASAFIBET, ameamua kuwatukana vijana wa kitanzania kwa makusudi kwa kuchapisha tangazo lenye nia ovu ya kudhalilisha, kutweza na kubagaza utu wa vijana wa Tanzania. Ni dhahiri shahiri kuwa amewalenga vijana kwa kuwa wengi wao hawana ajira, hivyo wanategemea kubet ili wapate fedha za kujikimu.View attachment 3206254
MAONI YANGU
Diamond amefanya kitendo kinachopaswa kulaaniwa na kila mtanzania mwenye utu, mpenda amani na anayezingatia na kujali maisha ya wengine, bila kujali hali zao za kiuchumi. Haikuwa na haja kuchapisha tangazo hili la kidhalilishaji, kibaguzi, kichochezi na kibagazaji. Kuna namna nyingi za kutangaza lakini sio kwa udhalilishaji wa kiasi hiki. Naomba serikali iingilie kati kwa kumuonya huyu kijana aache dharau kwa vijana wenzake na pia aondoe hilo tangazo, kuwaomba radhi vijana wenzake na kuapa kutorudia kosa kama hili wakati mwingine.
Nawasilisha.