Diamond hawa ndio wabongo, chukua ushauri wangu

Diamond hawa ndio wabongo, chukua ushauri wangu

Mimi nafikiri mswahili wa kwanza ni Dimond. Mwanzo Nilikuwa namuona kijana ana busara lkn nimegundua kuwa busara inaweza kiwa corrupted na ulevi wa misifa ya kijinga.

The moment alipo tamka utumbo Kuwa atamsaidia Ali kiba na kuwa Mbeya hakuna hoteli ya hadhi Yake hapo ndipo nilipo jilaumu kwa kumuona dimond mwenye busara hapo awali

Unacho shindwa kuelewa ni kwamba watanzania pamoja na uswahili wao na umasikini wao lakin wanaamini kwenye kuheshimiana,hasa kwenye swala la mwenye nacho kumuheshimu na kutambua uwepo na umuhimu wa asiye nacho

Kitendo cha watanzania kumzomea Dimond kina onyesha dhahiri kuwa wao si waswahili(kulingana na definition yako ya uswahili),hawaja pendezwa na utoto na ufinyu wa fikira wa Dimond Kwa kumdharau Ali kiba

Pia kwa nyiongeza Naomba nikukumbushe kuwa Dimond bila Ali kiba asinge fanikiwa,Kiba ndiye aliye ruhusu Dimond arekodi nyimbo yake ya kwanza iliyo mtoa pale Sharobaro records.Dimond alipaswa kumuheshimu Ali kiba,kwanza alitakiwa awe ameomba msamaha kwa Ali kiba siku nyingi baada ya kuwa anaanzisha bifu za kitoto

Mwisho naomba nikutume Mwambie Dimond akasome historia ya Mr. Nice maana naona ndio anafuata nyayo zake sasa.Naye Alikuwa na dharau hizihizi kama za domo
 
Ana wekeza kwenye vitobo.....

asiyeto.mbwa au kuto.mba ni nani weweeee??? mkifanya ninyi sawa, akifanya yeye mwamshikia bango, kama hujui sex ni basic needs ya binadamu yoyote aliekamilika kama ilivyo chakula mavazi na malazi, and for your infor the more u do it, the more health you become. kwa hilo mwacheni kabisaaaaa.
mlianza ni freemason, mtadhani mnawajua,
mkaja anabeba unga, anapaa nao kwa ungo au?? mmeona yote hayo yamebuma
sasa mnakuja na kijana anadharau.siku zote hasidi hakosagi sababu, roho mbaya tuuuuu kama wakaanga sumu, ptuuuuuuuuu!! na mtashindwaaaa nawaambieni looooh waangalie na mi
acho yenu ilivyokuwa mekunduuuuu, sura zimewashupaaa kwa chuki, mpaka mkitabasamu mnaonekana kama mnalia, pyeeeeeeeeeeeeeee!!!!
 
Nimeshapata jibu but next time watch your fingers while typing... unajifanya una maneno machafu sana... kila mmoja anafahamu hayo!

Unayajua maneno machafu??? Au unataka tukuhusudu kwa utachoongea??? Niandike unavyotaka wewe ni king swati unachagua??? Nimeomba uje ujibu nlichoandika????? Umekuja mwenyewe hujaitwa umepata zako unalalama kama mtoto mdogo ambaye analilia kubadilishwa nepi... Kwanini usipite tu... Lakini ukasimama na kuanza kushabikia umejibiwa unalalama... Afu kumbuka wa tatu awezi vaa sita wewe..............!! Ko Mimi nishindwe kutype kisa?? Cjakuita ujibizane na Mimi ndugu
 
asiyeto.mbwa au kuto.mba ni nani weweeee??? mkifanya ninyi sawa, akifanya yeye mwamshikia bango, kama hujui sex ni basic needs ya binadamu yoyote aliekamilika kama ilivyo chakula mavazi na malazi, and for your infor the more u do it, the more health you become. kwa hilo mwacheni kabisaaaaa.
mlianza ni freemason, mtadhani mnawajua,
mkaja anabeba unga, anapaa nao kwa ungo au?? mmeona yote hayo yamebuma
sasa mnakuja na kijana anadharau.siku zote hasidi hakosagi sababu, roho mbaya tuuuuu kama wakaanga sumu, ptuuuuuuuuu!! na mtashindwaaaa nawaambieni looooh waangalie na mi
acho yenu ilivyokuwa mekunduuuuu, sura zimewashupaaa kwa chuki, mpaka mkitabasamu mnaonekana kama mnalia, pyeeeeeeeeeeeeeee!!!!

Naona leo mwendo wa mikeka kwenda mbele,kuelewa hatuelewi.Shida tupu.
 
NasDaz hapa kikubwa ni wivu tu na roho mbaya za kiswazi, mimi kuna mtu nilishawai kumuuliza kwani Diamond ana tatizo gani ananiambia eti anajifanya yupo juu...ananunulia magari hadi mademu zake sasa mtu unashindwa kuelewa hii chuki kubwa kiasi hiki inayotoka kwa mtu mzima kisa tu kamnunulia gari kipenzi chake?? Hapa ndio unapata picha ni namna gani maendeleo hayatakuja kutokea kwa ngozi nyeusi sababu watu wanatumia nguvu nyingi kurudishana nyuma badala ya kusapotiana.

Na ile X6 imewaumiza wengi sana, ila rizki haigawiwi na mtu baki ndio maana mtoto wa kitaa anakimbiza.
 
Last edited by a moderator:
Kiba aliposema alimsaidia Diamond kurekodi pale kwa Bob junior haikua shida, ila Diamond kusema atamsaidia Kiba wafanye kolabo imekua nongwa! WABONGO WASAHAULIFU SANA!

sio wasahaulifu ni WAJINGAAAAAA, ukimsaidia mtu unaenda kutangaza kwenye media ili iweje?? oooh mimi ndio niliomtoa SOO WHATTTTTT? akamtoa alafu ye akaenda wapi, au alimuweka mtaji kama kibajaji amletee hesabu ya wiki yeye akiwa amelalia manyonyo ya wale suga mumiz wake.alitaka heshima gani labda ya kuimbwa kwenye nyimbo zake kama fm academia wanavyomuimba papaaa???? ili akawatuze pesa??? embu piteni hiviii
 
NasDaz hapa kikubwa ni wivu tu na roho mbaya za kiswazi, mimi kuna mtu nilishawai kumuuliza kwani Diamond ana tatizo gani ananiambia eti anajifanya yupo juu...ananunulia magari hadi mademu zake sasa mtu unashindwa kuelewa hii chuki kubwa kiasi hiki inayotoka kwa mtu mzima kisa tu kamnunulia gari kipenzi chake?? Hapa ndio unapata picha ni namna gani maendeleo hayatakuja kutokea kwa ngozi nyeusi sababu watu wanatumia nguvu nyingi kurudishana nyuma badala ya kusapotiana.

Na ile X6 imewaumiza wengi sana, ila rizki haigawiwi na mtu baki ndio maana mtoto wa kitaa anakimbiza.

Kwahyo watu walimzomea kwasababu ana x6.???
Jide na range lake amewah kuzomewa.??
 
Last edited by a moderator:
Unayajua maneno machafu??? Au unataka tukuhusudu kwa utachoongea??? Niandike unavyotaka wewe ni king swati unachagua??? Nimeomba uje ujibu nlichoandika????? Umekuja mwenyewe hujaitwa umepata zako unalalama kama mtoto mdogo ambaye analilia kubadilishwa nepi... Kwanini usipite tu... Lakini ukasimama na kuanza kushabikia umejibiwa unalalama... Afu kumbuka wa tatu awezi vaa sita wewe..............!! Ko Mimi nishindwe kutype kisa?? Cjakuita ujibizane na Mimi ndugu
We wa wapi!!! Hili ni jukwaa huru... na kama unataka unachoandika usijibiwe basi usiandike humu... ukiandika JF lazima watu watakujibu! Narudia tena na sitakukumbusha kwa mara nyingine... kila mmoja anafahamu maneno machafu... watch your fingers... watu hatuogopi ban humu!
 
Paula kilaki
Heheheiyyyyyyyaaaaaa.....maneno unayatupa shostiii....
 
Last edited by a moderator:
Kwahyo watu walimzomea kwasababu ana x6.???
Jide na range lake amewah kuzomewa.??

Sishangai ila nawasangaa hawa watu ambao ni vibaraka wa diamond... Hapo wanahofia take home itapungua mana boss atalalama kuwa walikwepo wapi wakati anazomewa???? Duh Nouma sana nawaonea huruma jamani..... Na bado mana watu wanataka wafanye kamchezo wakimwona man dangote no Buuuuuuuuuu buuuuuuuu... Ata uku kwetu mbeya tunamtamani....
 
Mimi nafikiri mswahili wa kwanza ni Dimond. Mwanzo Nilikuwa namuona kijana ana busara lkn nimegundua kuwa busara inaweza kiwa corrupted na ulevi wa misifa ya kijinga.

The moment alipo tamka utumbo Kuwa atamsaidia Ali kiba na kuwa Mbeya hakuna hoteli ya hadhi Yake hapo ndipo nilipo jilaumu kwa kumuona dimond mwenye busara hapo awali

Unacho shindwa kuelewa ni kwamba watanzania pamoja na uswahili wao na umasikini wao lakin wanaamini kwenye kuheshimiana,hasa kwenye swala la mwenye nacho kumuheshimu na kutambua uwepo na umuhimu wa asiye nacho

Kitendo cha watanzania kumzomea Dimond kina onyesha dhahiri kuwa wao si waswahili(kulingana na definition yako ya uswahili),hawaja pendezwa na utoto na ufinyu wa fikira wa Dimond Kwa kumdharau Ali kiba

Pia kwa nyiongeza Naomba nikukumbushe kuwa Dimond bila Ali kiba asinge fanikiwa,Kiba ndiye aliye ruhusu Dimond arekodi nyimbo yake ya kwanza iliyo mtoa pale Sharobaro records.Dimond alipaswa kumuheshimu Ali kiba,kwanza alitakiwa awe ameomba msamaha kwa Ali kiba siku nyingi baada ya kuwa anaanzisha bifu za kitoto

Mwisho naomba nikutume Mwambie Dimond akasome historia ya Mr. Nice maana naona ndio anafuata nyayo zake sasa.Naye Alikuwa na dharau hizihizi kama za domo

Ona sasa hapa kuna cha maana ulichoandika zaidi ya chuki na wivu? tukiwauliza ayo maneno aliyasemea wapi kimyaa....Ali Kiba ana wema gani uyo kutafuta kick kwenye migongo ya wanaume wenzie, si alikuwa anatangazaga mnyama TID anataka kumuua iliishia wapi?

Kubalini matokeo dogo anawachezesha nusu uwanja mmebaki kupandisha visukari tu.
 
Kwahyo watu walimzomea kwasababu ana x6.???
Jide na range lake amewah kuzomewa.??

Exactly kupush vitu vya hatari ni sababu tosha ya mswahili kukuwekea ata sumu ufe.

Jide ameshafanyiwa mengi sana wamemshindwa pengine ulikuwa bado vidudu.
 
We wa wapi!!! Hili ni jukwaa huru... na kama unataka unachoandika usijibiwe basi usiandike humu... ukiandika JF lazima watu watakujibu! Narudia tena na sitakukumbusha kwa mara nyingine... kila mmoja anafahamu maneno machafu... watch your fingers... watu hatuogopi ban humu!

Afu unaonekana unatafta ugomv..... Duh???? Yani wewe ME unajibizana na Mimi mpaka saizi kisa simshabikii boss wako dangote... Anyway my fingers can't watch what is typing coz they have no eyes.... Ko ucjfanye unamfunza mtu mzima wakati ata wewe hujafunzika...... Mind your own issues najua nnachookiandika kinakukera sana... Ila ni kihelehele cha moyo wako kuumia wakati Mimi najisemea simpendi diamond... Wewe unanuna unashindwa kunipita unanifata kunitegea skip..
 
Paula kilaki unawapa ukweli mtupu na roho zao mbaya.

Wametafuta kila sababu dogo anakandamiza mashuti tu kama Aguero sasa wamejaribu mbinu ya kupaki bus kama morinyo ila bado haisaidii anazidi kufanya yake.

kwanza hapa tunapozungumza unakuta Kiba yupo kwao Ilala anasherekea kuonewa huruma, wakati mwenzie unakuta yupo Europe anatafuta dili za pesa.
 
Last edited by a moderator:
Paula kilaki unawapa ukweli mtupu na roho zao mbaya.

Wametafuta kila sababu dogo anakandamiza mashuti tu kama Aguero sasa wamejaribu mbinu ya kupaki bus kama morinyo ila bado haisaidii anazidi kufanya yake.

kwanza hapa tunapozungumza unakuta Kiba yupo kwao Ilala anasherekea kuonewa huruma, wakati mwenzie unakuta yupo Europe anatafuta dili za pesa.

Mkuu matumbo ,mafanikio sio kujitangaza..
Hii ni nyumba ya alikiba anaimalizia..
Hii ndo maana halisi ya mafanikio..
Na sio kusema tu una nyumba 10 wakt hatuzion..
 

Attachments

  • 1413840209135.jpg
    1413840209135.jpg
    52.9 KB · Views: 59
  • 1413840285889.jpg
    1413840285889.jpg
    35.4 KB · Views: 56
  • 1413840316351.jpg
    1413840316351.jpg
    32.1 KB · Views: 55
Last edited by a moderator:
Mbona unazunguka zunguka tu... mara vocha, mara maji ya chupa, mara Masanja... vipi jombaa!!!?? Taja basi sababu zako za msingi zinazokufanya umchukie!

Mbona wewe umeweka kambi hapa kabisa? Sidhani hata kama ulipata muda wa kula, maana ungekuwa unalipepeta domo wote huo sauti ingeshakauka lakini kwakuwa ni keyboard basi hivyo vidole jitahidi uvae cotton gloves.
 
Mimi na wewe nani anatafuta ugomvi? Fuatilia thread zangu kama nimeshaongea maneno ya hovyo kwako? By the way, hivi unaamini you worth anything kwangu hadi useme najibishana na wewe wakati nina post zaidi ya 5000.... zote hizo zinakuhusu wewe! NInachosema, ukiandika JF lazima watu watakujibu kwa hiyo ni upumbavu na ujinga kudai eti najibishana na wewe wakati you worth a drop of infectious cockroach blood!

Ebu wakupatie bilauri la maji upumuwe maana issue ya Domo umeonesha rangi zako zote plus double face. Nakuletea na juice ya ndimu unywe.
 
Back
Top Bottom