B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,357
- 4,390
HahahahaWe kama huwezi kutoa muhtasari kausha tu.
Mambo ya kuniambia "ukipata utafatilia" ushanipangia bajeti hapo bila mimi kupenda.
Unanipangia bajeti bila kunipa hela, halafu unaniambia nisijali.
Unanikanyaga, nikikuambia umenikanyaga, unaniambia nisijali!
Nimekuuliza nataka kujua mimi sijui.Nisaidie ndugu yangu mimi ninaongea Kizaramo tu kwa ufasaha
Zilongwa mbali, zitendwa mbali. Sakala kandumbwa.Hahahaha
Kiranga toto la kizaramo.
This Maasai thing hakuna kitu kimeniboa na Kunishangaza kama huu Umasai wa Ghafla kama tumeshindwa kutangaza Utalii kama Taifa asitumike mtu kwenye Juhudi zake binafsi kuvalishwa Marubega yani mpaka nimemfananisha na Msanii mmoja alikuwa amebeba picha ya Hayati Dr. Magufuli alivaa kiasili sijui ni ngozi ile na Kaniki na kushika Ngao sijui na mshale kumuenzi daahHahahahah BET hatuitaji walinda magetiπ tunataka watu wenye akili timamu sasa unavaa kimasai umeambiwa kuna tuzo za utamaduni mle?π
Angevaa smart sasa ameonekana kituko hamna hata mtu mwenye habari naye yani aibu kichizi! Imagine unaenda sehemu kama ile hamna hata mtu anayekushobokea hata msanii tu mwenzio πππ yupo na babutale tu wanapuyanga na kushangaa shangaa!
Zari brought class to that fool ila ushamba wake na uswahili wa ile familia ndio uliwafanya wakatengana πππ! Ila kimsingi Zari alikuwa bonge la demu kwa Mondi regardless ya madhaifu yake!
Mkuu, kwanini kapigwa hiyo life ban?Meneja wake wa kimataifa ni Salaam SK ambaye amepigwa life Ban ya kuingia Marekani.
Meneja wake mwingine ndiyo huyo Babu Tale ambaye anaongea kwa ufasaha lugha ya Kiluguru na Kiswahili.
Hahaaaaa haaaaaa haaaaaaa haaaaaaaaa HAHAHAHAHAHGeuza haya Manene kwa kiingereza,..
Bunyero bunyero nataka msambwanda wa buku jero,.. Inama nipachike rungu..
Weny Lugha yao watamkataa asubui tu
Mkuu wasanii wabongo wanavipaji tena sana.tatizo masihara mengi na hawapendi kufikilisha bongo zao kutunga nyimbo za maana.Sasa kwa mfano mtu anaimba "ukuti ukuti mara yeesaayeesaa ye.."Siku zote ni ngumu sana msanii anayeimba nyimbo zake kwa kiswahili kumshinda msanii anayeimba nyimbo kwa lugha ya Malkia Elizabeth wa Buckingham palace. Mshawishini Mond awe anatunga na kuimba nyimbo zake kwa lugha ya malkia ndiyo ataweza shinda tuzo za maana,vinginevyo mtasubiri sana.
inasemekana ni issue za madawa ya kulevyaMkuu, kwanini kapigwa hiyo life ban?
Duh..pole yake. Nashukuru kwa kunihabarisha.inasemekana ni issue za madawa ya kulevya
NAKAZIA Pia kuna mahala nilisoma kwamba Media za Marekani kuna waafrica wachache walioajiriwa kutoka SA na Kidogo Nigeria sijui kwa Tanzania na Kenya kama kuna mtangazaji yeyote kwenye media za kimataifa kama BET na MTV anayeiwakilisha East Africa Uwepo wao ungesaidia sana kutoa kipaumbele hususani kwa nyimbo za wanamuziki wa EA sasa hivi hata kama zinapigwa hazipigwi inavyostahili ,ukilinganisha na mtu wa nyumbani ambavyo angetumia fursa kuzitangaza hii ingesaidia sana nyimbo zetu kujulikana kwenye Platform za Kimataifa.
Vijana wengi wenye vipaji nao wanaiendea siasa sababu kwa Tz inalipa sana, naskia kuna mmoja alishawahi kufuzu kutangaza
Channel O ila ndo hivyo tena sasa ni DC .
Representative ni hakuna alafu niliwahi msikia Vanessa Mdee msanii akisema kipindi chote akiwa marekani huwa maclub mengi na hata media za huko wanawashaga sana nyimbo za Burna boy hasa hasa ile ya Gbona, Oluwa burna ilisky sana kwenye air waves za media nyingi marekani,Unaona hatuna representatives hasa kwenye International Medias hivyo inamlazimu mtu mpaka amtafute mshikaji wa mshikaji ili nyimbo isikike huko nje....na hapo kama ni kuhonga siyo kitoto
Zote zinatumika.Nisaidie ndugu yangu mimi ninaongea Kizaramo tu kwa ufasaha
Hata kofia ya meko nayo ni tunzo ππHivi Diamond Platnumz ana tuzo ngapi kulinganisha na huyo Burna Boy? Nadhani Diamond is way too far from Burna Boy when it comes to number of awards winning...pia alikuwa na mameneja hao hao unaowaponda
Mapouder ndo chanzoSalaam kwanini amepigwa hiyo ban?
Iwe pinnedHahahahah BET hatuitaji walinda mageti[emoji23] tunataka watu wenye akili timamu sasa unavaa kimasai umeambiwa kuna tuzo za utamaduni mle?[emoji23]
Angevaa smart sasa ameonekana kituko hamna hata mtu mwenye habari naye yani aibu kichizi! Imagine unaenda sehemu kama ile hamna hata mtu anayekushobokea hata msanii tu mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23] yupo na babutale tu wanapuyanga na kushangaa shangaa!
Zari brought class to that fool ila ushamba wake na uswahili wa ile familia ndio uliwafanya wakatengana [emoji23][emoji23][emoji23]! Ila kimsingi Zari alikuwa bonge la demu kwa Mondi regardless ya madhaifu yake!
Marekani nani mwenye mda wa kuskiliza upuuzi wa diamond kinacho mbeba diamond ni beat tu, embu skiliza Kilometres ya Burna ni kisangaKwa madufu ya eyoo Laizaa ataendelea kutikisa tandale na Kenya na Uganda tu! Music yenye taste kama ya Burnaboy iko level zingine πππ
Kaka Jambazi pia hawa mameneja ni wapuuzi. Imagine meneja ambaye pia ni mbunge anatoka hadharani na kusema kuwa toka mkewe afariki hawezi hata kujifulia nguo za ndani.. tena bila tafsida anataja CHUPI.Marekani nani mwenye mda wa kuskiliza upuuzi wa diamond kinacho mbeba diamond ni beat tu, embu skiliza Kilometres ya Burna ni kisanga
Diamond anatakiwa ajipange sana,
Anasafishaga nyotaMeneja wa matunguli. Huyu hawezi msaidia domo ampige chini
Mkuu waache watu wapumue nimekusoma toka kule π π π π π kuna Jeje ukikaa kwa utulifu sana zile idea za dada yule anayejichezesha hakuna tofauti na on the low ya bwana Burna ambayo ilitoka Nov 2018.Hahahah sasa Producer hana hela ya kodi kubabae kuna kazi tena hapoπ?