Diamond kaangushwa na mameneja wake sio Wanaharakati

Diamond kaangushwa na mameneja wake sio Wanaharakati

DIAMOND KAANGUSHWA NA VIONGOZI WAKE, NA SIO KIGOGO WALA WANAHARAKATI.

Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi chama kiendelee. Kabla baadhi yenu hamjaanza kunisumbua kutaka nitoe maoni yangu kuhusu kushindwa kwa komredi Simba kwenye tuzo za BET, nimeona niyatoe mapema. Kama kawaida maoni yangu ndo yatakuwa msimamo wa JF. Soma kwa makini.

Kwanini kashinda Burna Boy na sio kada wa CCM Komredi Diamond Platinumz? Ieleweke Meneja wa Burna Boy ni mama yake mzazi. Unaweza ukakurupuka na kudhani labda Mama Dangote naye awe meneja wa mtoto wake ili kurahisisha kazi. Tuzingatie kuwa Mama Burna sio mgeni kwenye kazi yake ya umeneja. Huyu mama ni binti wa Benson Idonije ambaye alikuwa meneja wa mwanamuziki mkubwa kuwahi kutokea Afrika, komredi Fela Kuti. Mama Burna ana Masters degree toka Chuo Kikuu cha Port Harcourt. Huyu mama huzungumza kwa ufasaha lugha ya kiingereza, kifaransa, kijerumani, kiitaliano na kiyoruba. Amefundisha kifaransa kwa miaka 10 kwenye Chuo Kikuu cha Port Harcourt na kustaafu 2018. Kimsingi Mama Burna ana CV ya kutisha pia kakulia kwenye familia ya meneja. Hiyo kazi ipo damuni.

Pamoja na Burna Boy kupata Meneja mwenye viwango vya kimataifa bado tunaambiwa nguli P Didy (Sean Puffy Combs) ni meneja wake kwa upande wa Amerika. CV ya Diddy kwenye muziki ndani ya USA inaeleweka yaani hakuna haja ya maelezo. Tukiachilia mbali mameneja wa Burna, tukumbuke hata Burna ni msomi wa Chuo Kikuu.

Komredi Simba huenda ana kipaji kikubwa kuliko washindani wake lakini tunaona menejimenti yake ni dhaifu kuweza sawa na ushindani wa mameneja wengine. Mimi naona inabidi tukubaliane kwamba kijana aajiri meneja atakayeweza kwenda sawa kimataifa. Mameneja waliopo ndo uwezo wao ulipofikia hatuna cha kuwalaumu zaidi ya kuwapongeza. Ila nao waukubali huu ukweli mchungu. Meneja mwenye elimu ya darasa la saba ni ngumu sana kumvusha msanii wetu. Meneja anatakiwa awe mbali kimaono kuliko msanii. Lakini WCB inaonekana msanii ana akili kuliko mameneja.

Nimalizie kwa kusema kwamba hawa kina Kigogo wa Twitter na wanaharakati uchwara kama Maria Sarungi & company hawakuwa na uwezo wowote wa kuzuia Simba kupata tuzo. BET haipo kisiasa. Na kama kungekuwa na jambo baya kwa vyovyote wangeuliza ubalozi wa USA nchini kama kweli madai ya kina Kigogo ni kweli. BET haina kipengele cha siasa kwenye shuguli zake. Kina Kigogo walichofanya ni kumuongezea umaarufu Diamond.
Mameneja waliopo ndo uwezo wao ulipofikia hatuna cha kuwalaumu zaidi ya kuwapongeza. Ila nao waukubali huu ukweli mchungu. Meneja mwenye elimu ya darasa la saba ni ngumu sana kumvusha msanii wetu. Meneja anatakiwa awe mbali kimaono kuliko msanii.
 
Wale sio mameneja ni maagent wake wanaomuwakilisha kwenye madogoli...
[emoji3][emoji3][emoji3]
Screenshot_20210628-184459.jpg
 
Hahahah sasa Producer hana hela ya kodi kubabae kuna kazi tena hapo😂?
Msela naye chenga Sana unashindwaje kumtumia Swizz beats producer mkongwe na mwenye koneksheni kibao then unakomaa na Laizaa Kama sio ufala ni nini ile Twice as tall wamo Hadi wakina Timbaland and then p diddy Kama executive producer.
 
Meneja wake wa kimataifa ni Salaam SK ambaye amepigwa life Ban ya kuingia Marekani.
Meneja wake mwingine ndiyo huyo Babu Tale ambaye anaongea kwa ufasaha lugha ya Kiluguru na Kiswahili.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]nimecheka Sana mkuu, Ila huu ndo ukweli. Hivi Salaam SK alipigwa life ban kuingia US kwa sababu gani vilee??

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kutuambia kwanini Wizkid alishindwa pia?

Au mpambano ilikua ni Mond na Burna pekee?

Kwanini tusiamini kanuni za ulimwengu, mshindi lazima apatikane, no matter wanaoshindana wana ubora unaoendana!
Yani ww nikichwa wengne wapumbav tu mawazo mazur
 
DIAMOND KAANGUSHWA NA VIONGOZI WAKE, NA SIO KIGOGO WALA WANAHARAKATI.

Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi chama kiendelee. Kabla baadhi yenu hamjaanza kunisumbua kutaka nitoe maoni yangu kuhusu kushindwa kwa komredi Simba kwenye tuzo za BET, nimeona niyatoe mapema. Kama kawaida maoni yangu ndo yatakuwa msimamo wa JF. Soma kwa makini.

Kwanini kashinda Burna Boy na sio kada wa CCM Komredi Diamond Platinumz? Ieleweke Meneja wa Burna Boy ni mama yake mzazi. Unaweza ukakurupuka na kudhani labda Mama Dangote naye awe meneja wa mtoto wake ili kurahisisha kazi. Tuzingatie kuwa Mama Burna sio mgeni kwenye kazi yake ya umeneja. Huyu mama ni binti wa Benson Idonije ambaye alikuwa meneja wa mwanamuziki mkubwa kuwahi kutokea Afrika, komredi Fela Kuti. Mama Burna ana Masters degree toka Chuo Kikuu cha Port Harcourt. Huyu mama huzungumza kwa ufasaha lugha ya kiingereza, kifaransa, kijerumani, kiitaliano na kiyoruba. Amefundisha kifaransa kwa miaka 10 kwenye Chuo Kikuu cha Port Harcourt na kustaafu 2018. Kimsingi Mama Burna ana CV ya kutisha pia kakulia kwenye familia ya meneja. Hiyo kazi ipo damuni.

Pamoja na Burna Boy kupata Meneja mwenye viwango vya kimataifa bado tunaambiwa nguli P Didy (Sean Puffy Combs) ni meneja wake kwa upande wa Amerika. CV ya Diddy kwenye muziki ndani ya USA inaeleweka yaani hakuna haja ya maelezo. Tukiachilia mbali mameneja wa Burna, tukumbuke hata Burna ni msomi wa Chuo Kikuu.

Komredi Simba huenda ana kipaji kikubwa kuliko washindani wake lakini tunaona menejimenti yake ni dhaifu kuweza sawa na ushindani wa mameneja wengine. Mimi naona inabidi tukubaliane kwamba kijana aajiri meneja atakayeweza kwenda sawa kimataifa. Mameneja waliopo ndo uwezo wao ulipofikia hatuna cha kuwalaumu zaidi ya kuwapongeza. Ila nao waukubali huu ukweli mchungu. Meneja mwenye elimu ya darasa la saba ni ngumu sana kumvusha msanii wetu. Meneja anatakiwa awe mbali kimaono kuliko msanii. Lakini WCB inaonekana msanii ana akili kuliko mameneja.

Nimalizie kwa kusema kwamba hawa kina Kigogo wa Twitter na wanaharakati uchwara kama Maria Sarungi & company hawakuwa na uwezo wowote wa kuzuia Simba kupata tuzo. BET haipo kisiasa. Na kama kungekuwa na jambo baya kwa vyovyote wangeuliza ubalozi wa USA nchini kama kweli madai ya kina Kigogo ni kweli. BET haina kipengele cha siasa kwenye shuguli zake. Kina Kigogo walichofanya ni kumuongezea umaarufu Diamond.
Hapo mwisho ndio nilichokiona mimi kipindi kile
 
Hahahahah BET hatuitaji walinda mageti[emoji23] tunataka watu wenye akili timamu sasa unavaa kimasai umeambiwa kuna tuzo za utamaduni mle?[emoji23]

Angevaa smart sasa ameonekana kituko hamna hata mtu mwenye habari naye yani aibu kichizi! Imagine unaenda sehemu kama ile hamna hata mtu anayekushobokea hata msanii tu mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23] yupo na babutale tu wanapuyanga na kushangaa shangaa!

Zari brought class to that fool ila ushamba wake na uswahili wa ile familia ndio uliwafanya wakatengana [emoji23][emoji23][emoji23]! Ila kimsingi Zari alikuwa bonge la demu kwa Mondi regardless ya madhaifu yake!
Basi yale maneno ya mmakonde yametimia umaarufu wetu ni hapa hapa east afrika kule magharibi hakuna anaetujua
 
NAKAZIA Pia kuna mahala nilisoma kwamba Media za Marekani kuna waafrica wachache walioajiriwa kutoka SA na Kidogo Nigeria sijui kwa Tanzania na Kenya kama kuna mtangazaji yeyote kwenye media za kimataifa kama BET na MTV anayeiwakilisha East Africa Uwepo wao ungesaidia sana kutoa kipaumbele hususani kwa nyimbo za wanamuziki wa EA sasa hivi hata kama zinapigwa hazipigwi inavyostahili ,ukilinganisha na mtu wa nyumbani ambavyo angetumia fursa kuzitangaza hii ingesaidia sana nyimbo zetu kujulikana kwenye Platform za Kimataifa.

Vijana wengi wenye vipaji nao wanaiendea siasa sababu kwa Tz inalipa sana, naskia kuna mmoja alishawahi kufuzu kutangaza
Channel O ila ndo hivyo tena sasa ni DC .
Ivi channel o bado ipo maana tuliipata sana kipindi kile cha antena
 
Hujui polite kuhusu burna boy...kaa kimya mtoa mada.
Album ya Twice as tall tuu imembeba Burna.
Kutoa nyimbo zenye akili Siyo mabum b shake yua bam bam mjegeje kwa rambo..
Hajihusishi na Siasa uchwara..
Amefanya international collabs kama zote ..
Na Sia, bieber,Sam smith.. niendelee ama niache..
Kikubwa zaidi Grammy alafu anae adabu ..
Ukiona alichokifanya yeye na Wasanii wenzake Kipindi cha maanadamano ya kupinga Sars?

Lastly but not leastly Babu yake alimmanage fella kuti since 1970s to lini sijui huko .
Mondi alikuwa msindikizaji tuu kwa hiyo Tuzo
 
Hivi Diamond Platnumz ana tuzo ngapi kulinganisha na huyo Burna Boy? Nadhani Diamond is way too far from Burna Boy when it comes to number of awards winning...pia alikuwa na mameneja hao hao unaowaponda
Tatizo siyo namba tatizo ubora.
Grammy ya burna inaweight kuliko Tuzo zote za mondi au unasemaje
 
Hivi Diamond Platnumz ana tuzo ngapi kulinganisha na huyo Burna Boy? Nadhani Diamond is way too far from Burna Boy when it comes to number of awards winning...pia alikuwa na mameneja hao hao unaowaponda
Sasa hapo kiongoz unaongelea haya matuzo ya Afrima ambayo hadi nedy music anayo Grammy moja ni sawasawa na afrima 100

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom