Amgeuze tope kabisaKupitia ukarasa wake wa instagram. Diamond kasema hakumuimba Konda na Gwajima kwa ubaya. Kajishusha haraka sana. Kamuomba asimgeuze maji Nami naungana na Diamond kumuomba mchuganji asimgeuze maji kijana wetu, huenda wimbo tulikua hatujaulewa.
Diamond kajiharibia kuingiza siasa
angempa za uso mpaka shobo imtoke
Wewe mama usipige mayowe kakaja kukusikia,, wewe sijui utageuka kuwa nini?Kanikwazaa!
Angemuacha tu huyo mbwa kichaa kesho abweke tu
Kelele zake za kuongeza idadi ya sadaka tumezizoea
Dr. Gwajima ili atutulize apige hata INTRO kesho, haiwezekani amsamehe mazima wakati mi nishasumbuka kupasi nguo za kipapaa za kesho.Jamani mtoto kaomba msamaha. Sema mpaka amtaje huyu dada aliosema anachochea kwenye mitandao. Na amuombe msamaha, Ndo asigeuzwe jiwe la kusugulia miguu
Hujaelewa ww siyo wote. Diamond yuko upande 'wao' siyo mwenzetu.Kupitia ukarasa wake wa instagram. Diamond kasema hakumuimba Konda na Gwajima kwa ubaya. Kajishusha haraka sana. Kamuomba asimgeuze maji Nami naungana na Diamond kumuomba mchuganji asimgeuze maji kijana wetu, huenda wimbo tulikua hatujaulewa.
Wewe mama usipige mayowe kakaja kukusikia,, wewe sijui utageuka kuwa nini?
na kweli apewe zawadi yake maana naona mwisho kaweka emoji ya kucheka. bishop fanya yako aiseeApigwe tu....
KADA
MaviiiiiBishop ni Engine ya YESU