Diamond na kujimilikisha mali ambazo sio zake

Diamond na kujimilikisha mali ambazo sio zake

Nyumba ya S.A bado mnabisha kuwa siyo ya kwake mpaka leo? Aisee

Kama ni show off ebu tuchukulie hizi japo mimi siamini kama ni showoff

Kumiliki Wasafi Radio na TV ukawalipa mishahara wafanyakazi zaidi ya 50 wanaofanya kazi pale.

Kusafiri na msululu wa watu kila mara.

Kumiliki wasanii ambao nao wana show off kama Rayvanny, Zuchu na Mbosso. Hiyo ela ya showoff wanazofanya wanazitoa wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii comment nimecheka sana, kumbe wee ni mweupe hivi? Mungu wangu tobaaaaaaaah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii comment nimecheka sana, kumbe wee ni mweupe hivi? Mungu wangu tobaaaaaaaah.
Cheka uongeze siku siyo vibaya
 
Wasafi Radio na TV yeye ndiye mmiliki kumbe?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. Nilifikiri ni Kusaga & Family..

South ana ghorofa alafu Bongo kapanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Safari binafsi anasafiri na Msululu kumbe.. Hongera zake..

Hao wasanii wanakula jasho lao, hawali pesa ya Daimond. After all hao wasanii wake wote nao wanakaa nyumba za kupanga kama boss wao. Itakuwa nao wana malengo ya kujenga dream house kama boss wao au sio [emoji23][emoji23][emoji23]

To make a story short, Wasafi wanapenda show offs ila wana malengo ya muda mrefu ya kujenga dream houses
Muambie ukweli huyo chawa wa domokaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo umejua kunifurahisha wallah.
 
Cheka uongeze siku siyo vibaya
Ficha aibu yako bhana, kujifanya mjuaji na umekalishwa mchana kweupe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh.
 
Starting from the bottom now he is here.
Kwa hilo namuheshimu. Siyo mwanasiasa, siyo profesa, lakini ana roll na watu top notch nchi hii.
Kupitia yeye vijana wengi wamejua kuwa everything ia possible haijalishi umetokea kwenye background gani.
Kwa ku inspire madogo kaweza.
 
A boy from Tandale!! Watu wanatoka mbali. Hadi kujadiliwa hivi nayo ni hatua kubwa.

20210503_190716.jpg
 
Kwa hyo ndo amekwambia uje useme haikuwa na faida au hayo NI MANENO yako?
Wew jamaa itakua hujua biashara kwani alivyoanzisha chibu perfume alikwambia hiyo biashara ataifanya kwa miaka 10 inawezekana alifanya akaona haina faida kwake akaiacha na hata wew ukianzisha biashara ukaona hailipi si unaacha tuu au unataka awaaminishe watanzania kwamba bado anafanya biashara wakati anapata hasara
 
tunafight kukutoa kwenye uhsoag,kwenye upunga,kwenye ubwabwa,kwenye mchele,kwenye ubwabwizoooo
 
Back
Top Bottom