Diamond na kujimilikisha mali ambazo sio zake

Diamond na kujimilikisha mali ambazo sio zake

Weka hapa Memorandum inayoonyesha ana share 45%
Hii nayo nahisi utaikataa utasema kaedit.
images (44).jpeg
 
Typing error tu.. Diamond ni huyo anamiliki 2pc
Typing error? How........?au kama unayo yako ambayo ina verify 2% weka,halafu hiiyo ni ya TCRA si janjajanja.

Ila si shangai wewe umechagua kubisha unabishana mpaka na chombo cha serikali kilicho wapa leseni Wasafi,endelea kubisha na chuki zako ila hazimpunguzii hisa zake za 45%.So endelea kutuuzia chai JF.
 
Anavyopenda sifa na kujimilikisha nyumba za kupanga South unafikiri angekuwa na pesa ya kujenga dream house sasahivi hapa Bongo asingejenga??

Hizo show off za pesa ni zipi? Kupanda ndege kwenda South kupumzika wiki moja au kwenda Dubai vacation?? Ebu niambie hizo show za pesa nyingi unazozisema mkuu
Fisadi kuu acha tufurahi bwana,una uliza maswali kama wakili.
 
VX ya Diamond sio latest version iuzwe bei hiyo.. Gari la hadhi yake ni Rolls Royce, vipi hapo?
Kwa hiyo sababu anatembelea VX hana hela?.

Mimi si angalii hadhi mimi natizama hela zile gari hata ukisoma sio latest,ila nina uhakika total ya magari yote mawili inavuka mil 300.

Kwangu mimi 300mil ni parefu sana mpaka mtu anazeweka barabarani lazma umpe heshima yake.Ila si kulazimishi kumpa heshima kwani ww umechagua kubisha na ndio maana unabishana mpaka na document ya TCRA.
 
Mie toka adanganye amenunua rolls Royce toka Mwaka 2018 had leo halijaingia Tz ndo nkajua Kweli mondi NTU WA DILI[emoji16]. Mara anasema ana hotel Sijui wapi , mpaka wa leo hatujawah kuisikia tena , na ile mall ya wasafi Sijui imeishia nchi gani au ndo imekufa na corona, mara Sijui ana perfume zake hadi leo hazipo, mara Diamond karanga.

Mond nyumba ambazo anamiliki zipo kama nane hiv ambazo anapangisha ila anashindwa kuzipost kwa kuwa hazina hadhi yake anavyoona yeye, ila kwa kujitahidi tu yuko vzur hawezi kulala na njaa hata akiacha kuimba Tatizo tu cheusi dawa anapenda kujiweka kwenye level ambazo hajafika, yani anapenda kuonekana yeye ni millionare wa kutisha wakati hajafika huko bado, kuna Vijana wenzie hapa bongo wana pesa kumzidi, wana utajiri wa kutisha sema tu hawana umaarufu kama domo , domo aache kujifanya ana pesa sana wakat anachezewa tu na wafanyabiashara Wenye pesa zao, wanamtumia jina lake hili aonekane anamiliki bidhaa au mali flan kumbe ni zuga tu


View attachment 1770440
alikiba vipi anazo?
 
VX ya Diamond sio latest version iuzwe bei hiyo.. Gari la hadhi yake ni Rolls Royce, vipi hapo?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] zile V8 ni za kampuni WASAFI MEDIA, yeye kama yeye ana gari moja tu. Pia zile gari sio mpya kama udhaniavyo ni matoleo ya 2014 wakapeleka pale kwa TTTRAUTO wakazipimp na kuziupgrade to version ya 2016
 
tatizo huyo bwana muongo muongo.
1 rolls Royce IPO wapi?.
2.kampuni ya betting IPO wapi?
3.chibu dangote ya kwake ?kama ya kwake ina maana kafirisika?au biashara mbaya?
4.diamond KARANGA zimefirisika?.
anaweza akawa na hela ILA AWE MKWELI.
aaidanganye watu kuwa vitu Fulani NI vyake kumbe NI BALOZI TU.
hyo wasafi yenyewe ukichunguza vizuri KUNA MIKONO WA WATU WENGI TU NAO WANAVUTA MPUNGA
Binamu punguza wivu, mtaa mzima kakomba vile vinyumba kabomoa kajenga mansions, Sandra anakomba kodi on monthly basis...Domo ana pesa ka mchanga[emoji134]
 
Kwa hiyo sababu anatembelea VX hana hela?.

Mimi si angalii hadhi mimi natizama hela zile gari hata ukisoma sio latest,ila nina uhakika total ya magari yote mawili inavuka mil 300.

Kwangu mimi 300mil ni parefu sana mpaka mtu anazeweka barabarani lazma umpe heshima yake.Ila si kulazimishi kumpa heshima kwani ww umechagua kubisha na ndio maana unabishana mpaka na document ya TCRA.
Mkuu diamond anamiliki 2% ya Wasafi.. VX za Diamond zile zote mbili Million 130 tu. Na sio zake ni mali ya Wasafi Media
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] zile V8 ni za kampuni WASAFI MEDIA, yeye kama yeye ana gari moja tu. Pia zile gari sio mpya kama udhaniavyo ni matoleo ya 2014 wakapeleka pale kwa TTTRAUTO wakazipimp na kuziupgrade to version ya 2016
Wabongo wanachachawa na Upholstery ya hizo gari za 2013.. Eti moja inauzwa million 200. Nimecheka sanaaa
 
Mkuu diamond anamiliki 2% ya Wasafi.. VX za Diamond zile zote mbili Million 130 tu. Na sio zake ni mali ya Wasafi Media
We nakuambia mbishi hata wakiweka document za hizo magari utasema "typing error........pale ilitakiwa kuwa Nasra na si Nasibu..........."

Haya tufanye basi zote mbili mil 130 ,ina maana 130 ni ndogo? Ila hii JF watu wanavyo jitanua utazani wana hela kumbe wanalala kwenye vyumba virefu wa mwisho kulala wa kwanza kuamka.

Ndio maana nika kwambia umechagua kubisha,unabishana mapaka na document za TCRA,so hata Diamond akiweka Document yoyote ya kuonyesha anachomiliki utasema "typing error........yule ni Nasra na si Nasibu........."

Ila endelea kujiliwaza kwani havimpunguzii chochote Diamond,zaidi ya kujifurahisha na kuipalilia chukia yako ,unabishana mpaka na gazeti na TCRA wenyewe 😀.
 
We nakuambia mbishi hata wakiweka document za hizo magari utasema "typing error........pale ilitakiwa kuwa Nasra na si Nasibu..........."

Haya tufanye basi zote mbili mil 130 ,ina maana 130 ni ndogo? Ila hii JF watu wanavyo jitanua utazani wana hela kumbe wanalala kwenye vyumba virefu wa mwisho kulala wa kwanza kuamka.

Ndio maana nika kwambia umechagua kubisha,unabishana mapaka na document za TCRA,so hata Diamond akiweka Document yoyote ya kuonyesha anachomiliki utasema "typing error........yule ni Nasra na si Nasibu........."

Ila endelea kujiliwaza kwani havimpunguzii chochote Diamond,zaidi ya kujifurahisha na kuipalilia chukia yako ,unabishana mpaka na gazeti na TCRA wenyewe 😀.
Jaribu kuelewa, Diamond ana asilimia 2 tu kama vile Lemutuz alivyopewa asilimia 0.2 na Davis Mosha..

Million 130 si pesa nyingi kama unavyodhani. Vijana wengi tu wa kibongo hizo pesa wanazo ingawa mimi sina na sitakaa niwe nazo mkuu wangu..
 
We nakuambia mbishi hata wakiweka document za hizo magari utasema "typing error........pale ilitakiwa kuwa Nasra na si Nasibu..........."

Haya tufanye basi zote mbili mil 130 ,ina maana 130 ni ndogo? Ila hii JF watu wanavyo jitanua utazani wana hela kumbe wanalala kwenye vyumba virefu wa mwisho kulala wa kwanza kuamka.

Ndio maana nika kwambia umechagua kubisha,unabishana mapaka na document za TCRA,so hata Diamond akiweka Document yoyote ya kuonyesha anachomiliki utasema "typing error........yule ni Nasra na si Nasibu........."

Ila endelea kujiliwaza kwani havimpunguzii chochote Diamond,zaidi ya kujifurahisha na kuipalilia chukia yako ,unabishana mpaka na gazeti na TCRA wenyewe [emoji3].

Huyo jamaa nimegundua anabisha upumbavu tuu na chuki binafsi zinamsumbua
 
tatizo huyo bwana muongo muongo.
1 rolls Royce IPO wapi?.
2.kampuni ya betting IPO wapi?
3.chibu dangote ya kwake ?kama ya kwake ina maana kafirisika?au biashara mbaya?
4.diamond KARANGA zimefirisika?.
anaweza akawa na hela ILA AWE MKWELI.
aaidanganye watu kuwa vitu Fulani NI vyake kumbe NI BALOZI TU.
hyo wasafi yenyewe ukichunguza vizuri KUNA MIKONO WA WATU WENGI TU NAO WANAVUTA MPUNGA

Wew jamaa itakua hujua biashara kwani alivyoanzisha chibu perfume alikwambia hiyo biashara ataifanya kwa miaka 10 inawezekana alifanya akaona haina faida kwake akaiacha na hata wew ukianzisha biashara ukaona hailipi si unaacha tuu au unataka awaaminishe watanzania kwamba bado anafanya biashara wakati anapata hasara
 
Jaribu kuelewa, Diamond ana asilimia 2 tu kama vile Lemutuz alivyopewa asilimia 0.2 na Davis Mosha..

Million 130 si pesa nyingi kama unavyodhani. Vijana wengi tu wa kibongo hizo pesa wanazo ingawa mimi sina na sitakaa niwe nazo mkuu wangu..
Sawa ndio maana nika kwambia unakipaji cha ubishi,unabishana mpaka na gazeti na TCRA wenyewe ila hara ukibisha vipi haito punguza 45% anayo miliki Diamond.

Hilo la Lemutuz silijui sababu sina kitu cha kuprove.
 
Sawa ndio maana nika kwambia unakipaji cha ubishi,unabishana mpaka na gazeti na TCRA wenyewe ila hara ukibisha vipi haito punguza 45% anayo miliki Diamond.

Hilo la Lemutuz silijui sababu sina kitu cha kuprove.
Sawa mkuu ila zile VX zake usiziogope sana.. Ni gari za kawaida mno..

Ameziokota kwa bei rahisi akazipeleka pale Azam Upholstery.. Rolls Royce nasikia imekwama pale Suez Canal kwenye ile meli iliyogonga kuta za ule mfereji
 
Daah unakuta mtu kama huyu et naye ana dem au ni kichwa cha familia🤔
Matusi ya nini ndugu? Mbona huyo niliyemqoute hakuna aliponitukana alafu wewe ambaye huusiki chochote na hiyo conversation unakuja kutukana??
 
Back
Top Bottom