Diamond na kujimilikisha mali ambazo sio zake

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii comment nimecheka sana, kumbe wee ni mweupe hivi? Mungu wangu tobaaaaaaaah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii comment nimecheka sana, kumbe wee ni mweupe hivi? Mungu wangu tobaaaaaaaah.
Cheka uongeze siku siyo vibaya
 
Muambie ukweli huyo chawa wa domokaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo umejua kunifurahisha wallah.
 
Cheka uongeze siku siyo vibaya
Ficha aibu yako bhana, kujifanya mjuaji na umekalishwa mchana kweupe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh.
 
Ficha aibu yako bhana, kujifanya mjuaji na umekalishwa mchana kweupe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh.
Eti eh basi nishaificha mkuu
 
Starting from the bottom now he is here.
Kwa hilo namuheshimu. Siyo mwanasiasa, siyo profesa, lakini ana roll na watu top notch nchi hii.
Kupitia yeye vijana wengi wamejua kuwa everything ia possible haijalishi umetokea kwenye background gani.
Kwa ku inspire madogo kaweza.
 
Kwa hyo ndo amekwambia uje useme haikuwa na faida au hayo NI MANENO yako?
 
tunafight kukutoa kwenye uhsoag,kwenye upunga,kwenye ubwabwa,kwenye mchele,kwenye ubwabwizoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…