Binam utakuja Mwanza nikuelewesheee,sijasomea ualimu na picha sijui kuweka
NasDaz njoo unisaidie kutoa maelezoN
Picha ya vipi Dina... manake nimefuatilia maongezi yenu na huyu binamu yako mwenye mahaba na ban lakini sijapata jibu unazungumzia picha ya aina gani.. I mean picha ya kawaida from your storage memory au screenshot?? Anyway, labda nizungumzie both cases:
Kama ni picha ya kawaida ambayo tayari unayo kwenye storage memory, fuata taratibu zifuatazo:
1. Hapo juu kuna row imeanza na
B I U. Kulia kabisa kuna ki-speaker.... . Anza kuhesabu ukianza na hicho kispika kuelekea kushoto. Icon ya sita, ipo dizaini kama mkanda wa filamu... ukitaka ku-attach video, una-click hiyo icon lakini kv sio video, tuachie hapo! Baada ya hiyo film icon, inayofuata kuelekea kushoto ndiyo kwa ajili ya image... Kwanza, weka cursor yako pale unapotaka picha ikae kisha click hiyo Icon (Insert Image)!
2. Ukisha-click, itafunguka dialogue box ambayo kwa juu itakuwa na maneno "
Insert Image"
3. Chini ya maneno
Insert Image utakuta options mbili--- (i) From Computer, (ii) From URL
4. Kama picha ipo kwenye Computer/simu, uta-click
From Computer... kisha nenda chini click "Choose File" na hapo itafunguka box ili kutafuta hiyo pic from PC... ukiiona hapo ulipoiweka, utai-click(single click) hadi uhakikishe jina la hiyo photo linatokea kwenye sehemu iliyoandikwa File Name kwenye hilo box ambalo limefunguka! Likishatokea hilo jina kwenye File Name, uta-click Open kisha utarudishwa kwenye ki-box cha awali ambach kimeandikwa From Computer/URL
5.Then click Upload File(s)... subiria sekunde chache na mzigo utakuwa ushatua!!!
Kama picha haipo kwenye computer ila kwenye net, njia nyepesi ni kuanza kui-save hiyo picha kwenye PC kisha unafuata above procedures.