BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
sorry too,kwa kuwa na akili ndogo kama pilltonAkili yako ndogo size ya diclopa am feel sorry for you
Game linampeleka puta sana.....aache kutoa ngoma kwa mazoea maana watu asa ivi wapo siriaz na kazi....ukiangalia madude anayoyafumua davido cyo ya mchezo mchezo
Wewe humjui huyo sisi tunamjua toka alivyokuwa akiishi tandale hana mbele wala nyuma shenzi zako usifikiri tunakurupuka tunajielewa sanaa kafie mbeleMlikuwa wote kipindi anatambika apo mwanzo......sometime muongee point siyo unakurupuka tu utafiki umekunywa maji ya chooni
Huna akiliWewe humjui huyo sisi tunamjua toka alivyokuwa akiishi tandale hana mbele wala nyuma shenzi zako usifikiri tunakurupuka tunajielewa sanaa kafie mbele
Sio kweli davido hajawai kukaa kimya kwa madhumuni ya kusoma game, bali mkataba wake na sony ndio uliokua unamyeyusha kwenye utoaji ngomaMm ni shabiki mkubwa sana wa huyu jamaa tokea kamwambie till this time.....lakini recently naona kama jamaa anaanza kupwaya iv maana yule diamond wa kutoa ngoma zinazosumbua media kuanzia bongo hadi nchi za nje simuoni tena....inasikitisha na kutia was was sana kama kuna nuru uko mbele inabidi yeye na manejiment yake wakae watulize vichwa ili kupata jawabu zuri ni wapi jamaa anakosea.......kwa ushauri mzuri ikiwezekana akae pembeni kwanza ili alisome game vizuri......mfano davido aliamuwa kuwa kimy kwa takribani mwaka mzima na sehem akilisoma game na come back yake imekuwa nzuri.
Hater Hater Hater...!Dada big up sana
Jamaa anaboa sana siku izi yaani unajikuta huna hata appetite ya kuingia kwenye page yake maana ni ujinga tu anaopost....na limwanamke lake cjui nalo akili ndogo yaani hawashauliani kabisa nn wapost
Lizer naye ni tatzo kubwa sana beat zake no creativity ni zilezile tu pia style ya uimbaji ni ileile tu habadiliki kabisa yaani in short anaboa sana siku izi
Tatizo dogo anacopy mno#chambua kalanga,eneka,kokoro,kidogo kiitikio kakopy kwa Richie lione,(all long night)sik iz anarudia nyimbo,eg hello ,pia anakurupuka,mim sikuiz nasikiliza nyimbo zake za zaman tu eg kesho,natakulewa ,ntampata wapMm ni shabiki mkubwa sana wa huyu jamaa tokea kamwambie till this time.....lakini recently naona kama jamaa anaanza kupwaya iv maana yule diamond wa kutoa ngoma zinazosumbua media kuanzia bongo hadi nchi za nje simuoni tena....inasikitisha na kutia was was sana kama kuna nuru uko mbele inabidi yeye na manejiment yake wakae watulize vichwa ili kupata jawabu zuri ni wapi jamaa anakosea.......kwa ushauri mzuri ikiwezekana akae pembeni kwanza ili alisome game vizuri......mfano davido aliamuwa kuwa kimy kwa takribani mwaka mzima na sehem akilisoma game na come back yake imekuwa nzuri.
Kama cancer vileSlowly decaying
Nani kakwambia anakosea? Au majungu yako? Nadhani mpaka hapa alipo si kwa ushauri wako!! Naomba ukae kimya wewe!Mm ni shabiki mkubwa sana wa huyu jamaa tokea kamwambie till this time.....lakini recently naona kama jamaa anaanza kupwaya iv maana yule diamond wa kutoa ngoma zinazosumbua media kuanzia bongo hadi nchi za nje simuoni tena....inasikitisha na kutia was was sana kama kuna nuru uko mbele inabidi yeye na manejiment yake wakae watulize vichwa ili kupata jawabu zuri ni wapi jamaa anakosea.......kwa ushauri mzuri ikiwezekana akae pembeni kwanza ili alisome game vizuri......mfano davido aliamuwa kuwa kimy kwa takribani mwaka mzima na sehem akilisoma game na come back yake imekuwa nzuri.
Akili zako ziko nyuma weweHuna akili
SawaAkili zako ziko nyuma wewe