BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Hivi kolabo na rick ross, chriss brown na rihanna imekuwaje?
Mana tuliambiwa management ya rihanna walipewa cv yake waipitie ..
Davido kama.mdau mmoja hapo juu anasema alikaa almost mwaka akitafakari hadi kuna wakati alikua na stress anazihamishia kwenye social networks, ila kawa mvumilivu naona sasa anasomeka na ngoma zake mbili hivi.
Mana tuliambiwa management ya rihanna walipewa cv yake waipitie ..
Davido kama.mdau mmoja hapo juu anasema alikaa almost mwaka akitafakari hadi kuna wakati alikua na stress anazihamishia kwenye social networks, ila kawa mvumilivu naona sasa anasomeka na ngoma zake mbili hivi.