Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hivi kolabo na rick ross, chriss brown na rihanna imekuwaje?
Mana tuliambiwa management ya rihanna walipewa cv yake waipitie ..
Davido kama.mdau mmoja hapo juu anasema alikaa almost mwaka akitafakari hadi kuna wakati alikua na stress anazihamishia kwenye social networks, ila kawa mvumilivu naona sasa anasomeka na ngoma zake mbili hivi.
 
Game linampeleka puta sana.....aache kutoa ngoma kwa mazoea maana watu asa ivi wapo siriaz na kazi....ukiangalia madude anayoyafumua davido cyo ya mchezo mchezo

Kweli saivi asahau nominations zile za kupambana na kina davido na wizkid , kwa wimbo upi wa kupambana na kina wizkid? Tangu atoe ile ya Mary me na Neyo naona ndo alipoanza potea, maana ule wimbo haujamfanya apate nominating yoyote kama wimbo wake wa number one remix, mdogo mdogo, na ule wa ngololo.

Pia uhusiano wake na Bashite umemshusha thamani kama bongo movie . Halafu saivi anaonekana kama msanii wa clouds media vile ye kila kitu clouds kasahau kuna vituo vingine pia
 
Mlikuwa wote kipindi anatambika apo mwanzo......sometime muongee point siyo unakurupuka tu utafiki umekunywa maji ya chooni
Wewe humjui huyo sisi tunamjua toka alivyokuwa akiishi tandale hana mbele wala nyuma shenzi zako usifikiri tunakurupuka tunajielewa sanaa kafie mbele
 
Mm ni shabiki mkubwa sana wa huyu jamaa tokea kamwambie till this time.....lakini recently naona kama jamaa anaanza kupwaya iv maana yule diamond wa kutoa ngoma zinazosumbua media kuanzia bongo hadi nchi za nje simuoni tena....inasikitisha na kutia was was sana kama kuna nuru uko mbele inabidi yeye na manejiment yake wakae watulize vichwa ili kupata jawabu zuri ni wapi jamaa anakosea.......kwa ushauri mzuri ikiwezekana akae pembeni kwanza ili alisome game vizuri......mfano davido aliamuwa kuwa kimy kwa takribani mwaka mzima na sehem akilisoma game na come back yake imekuwa nzuri.
Sio kweli davido hajawai kukaa kimya kwa madhumuni ya kusoma game, bali mkataba wake na sony ndio uliokua unamyeyusha kwenye utoaji ngoma
 
Wahenga tunasema wakti ni ukuta, ukishindana nao utaumia mwenyewe..

Muda ni mwalimu mzuri
 
Dada big up sana
Jamaa anaboa sana siku izi yaani unajikuta huna hata appetite ya kuingia kwenye page yake maana ni ujinga tu anaopost....na limwanamke lake cjui nalo akili ndogo yaani hawashauliani kabisa nn wapost
Lizer naye ni tatzo kubwa sana beat zake no creativity ni zilezile tu pia style ya uimbaji ni ileile tu habadiliki kabisa yaani in short anaboa sana siku izi
Hater Hater Hater...!

Kumuita Mtu DOMO inaonekana Kabisa we Ni hater..! [HASHTAG]#Over[/HASHTAG]
 
Mm ni shabiki mkubwa sana wa huyu jamaa tokea kamwambie till this time.....lakini recently naona kama jamaa anaanza kupwaya iv maana yule diamond wa kutoa ngoma zinazosumbua media kuanzia bongo hadi nchi za nje simuoni tena....inasikitisha na kutia was was sana kama kuna nuru uko mbele inabidi yeye na manejiment yake wakae watulize vichwa ili kupata jawabu zuri ni wapi jamaa anakosea.......kwa ushauri mzuri ikiwezekana akae pembeni kwanza ili alisome game vizuri......mfano davido aliamuwa kuwa kimy kwa takribani mwaka mzima na sehem akilisoma game na come back yake imekuwa nzuri.
Tatizo dogo anacopy mno#chambua kalanga,eneka,kokoro,kidogo kiitikio kakopy kwa Richie lione,(all long night)sik iz anarudia nyimbo,eg hello ,pia anakurupuka,mim sikuiz nasikiliza nyimbo zake za zaman tu eg kesho,natakulewa ,ntampata wap
 
Mm ni shabiki mkubwa sana wa huyu jamaa tokea kamwambie till this time.....lakini recently naona kama jamaa anaanza kupwaya iv maana yule diamond wa kutoa ngoma zinazosumbua media kuanzia bongo hadi nchi za nje simuoni tena....inasikitisha na kutia was was sana kama kuna nuru uko mbele inabidi yeye na manejiment yake wakae watulize vichwa ili kupata jawabu zuri ni wapi jamaa anakosea.......kwa ushauri mzuri ikiwezekana akae pembeni kwanza ili alisome game vizuri......mfano davido aliamuwa kuwa kimy kwa takribani mwaka mzima na sehem akilisoma game na come back yake imekuwa nzuri.
Nani kakwambia anakosea? Au majungu yako? Nadhani mpaka hapa alipo si kwa ushauri wako!! Naomba ukae kimya wewe!
 
Majungu bhana, kuna mwingine alikuwa anauliza eti Gwajima mbona aonekani au ndio kashapotea? Sasa sijui kila siku alikuwa anaonana nae wapi aje kumuuliza humu!!!
 
Imba na wewe mkuu, kishafanya yake kadiri mungu alivyomjalia na ni kati ya wasanii waliotumia vizuri muda wao.
 
Domo bado ila kinachom cost kutaka kutoa ngoma kila wakati mwishowe anaonekana km vile unajitutumua kwa kazi aliyoifanya miaka 5,6 iliyopita angepumzika kwanza km mwaka bila ngoma,labda anaogopa kuambiwa ameisha lkn amesemwa mangapi ashindwe kupumzika kidogo kwa faida yake na mashabiki wake?

Bora waseme umepumzika kuliko waseme umeisha,huna lawama km Mshana Jr alivyosema pumzika kidogo baba Hamisa
 
Ngoma zake za Kamwambia, Mbagala, Moyo wangu zilikuwa ni hot sana, akaja akatoa number one baada ya hapo hamna nyimbo ya maana tena aliyotoa. Mara aimbe taarabu, mara sijui nyimbo inaitwa mdogomdogo n.k

HAKUNA TENA YA MAANA ALIYOTOA.

Kijana anapaswa kuachana na miziki ya kinigeria na za magharibi.
 
Back
Top Bottom