Mondi ni businessman kama wao wengeweka mkwanja angewawakilisha vyema. Sidhani mondi hata ana give the fuckk about ccm au chadema..anachojali ni profit gross ya kile alichohudumu. Sasa Sijui Kwanini achukiwe kama vile yeye ni kada wa ccm.
Chadema wenyewe wako after money hakuna anayejali Sijui kuleta usawa wala nini.
Wivu tu..
View attachment 1810451
Unaona kuwa Lissu hakufaa hata kuwa katibu kata! Hii ni kulazimisha kila mtu awaunge mkono kwa lazima! It is very disgusting indeedCHADEMA washenzi. Leave sadala alone mbona mna wivu mbaya hivyo kisa kanunua gari kali mmeumia sana daah kisingizio masuala ya kisiasa
Unaumwa wewe...kwahiyo wanaomchukia wote wapinzan?Angalia wanaomchukia Diamond ni watu gani
Angoee na yule mtu wake wa IT anagenerate fake millions Viewers Youtube Kwenye Nyimbo zake za....Baba lao... ,amzalishie votes ashinde sasa😁CHADEMA washenzi. Leave sadala alone mbona mna wivu mbaya hivyo kisa kanunua gari kali mmeumia sana daah kisingizio masuala ya kisiasa
Kama kuna zaidi ya watu elfu kumi hawakubali udhalimu ni wazo gani la biashara la kuwauzia hawa watu?
Unaona kuwa Lissu hakufaa hata kuwa katibu kata! Hii ni kulazimisha kila mtu awaunge mkono kwa lazima! It is very disgusting indeed
tutakulaumu hata wewe kama ukiwafata hao vichaaMbona mnailaumu san chadema? Khaa
Tunapenda tuwe wengi kwenye dimbwi hili la umasikini ili tupeane moyo....Ni sababu sisi ni masikini sana mkuu
Ukute wewe ndo kichaatutakulaumu hata wewe kama ukiwafata hao vichaa
Kampeni imekolezwa na lissu na kigogo mitandaoniMbona mnailaumu san chadema? Khaa
Yaani da acha tu na kama ana stock .ndo hivyo tena imekula kwakebwana champ na sabuni zake saizi ni kulia tu na kutoa laana kwa kigogo
Yaani inashangaza mno aisee...Tunapenda tuwe wengi kwenye dimbwi hili la umasikini ili tupeane moyo....
Wanaosaini petition ni watanzania, ajabu sana
kumbe kinachowasumbua ni wivu tu walitaka awapigie Show bure
Mbona basi Roma hawampigii Promo akaitwe huko BET na yeye? 😀😀
Au hata kudai katiba mpya na tume huru maana hizi wansemaga ndio zinasababisha wasishinde,Makamanda hio nguvu mnayoitumia mngeigeuzia kwa akina mdee kutoka bungeni ingependeza
Wewe ni mnafiki kabisa. . Ungekaa kimya tu.. Nyinyi mko tayari na mmesha uwa wengi...kisa ufisi.Maskini wale, stupid kabisa.
Wamesababisha hater niungane na team sadala.
Hawana pointi ni wivu tu
Lissu naye amekosea sana kwa hili...!kweli kbs alinikwaza...atakosa sasa wafuasi...khaa!Kampeni imekolezwa na lissu na kigogo mitandaoni
Vichaa si ndo mlivyo kama wewe kutwa kujiuza halafu unatuoshea hapa...Ukute wewe ndo kichaa
Ukitaka wazo la biashara lipia !Mawazo yapo mengi tu NtakupaKama kuna zaidi ya watu elfu kumi hawakubali udhalimu ni wazo gani la biashara la kuwauzia hawa watu?
Idea jamani?