Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Likiisha hili nadhan wasanii wengi watakua na akili

Huwez sided na udhalim half ukabaki salama

Nigeria wasanii wakubwa waliamua kuungana na wananchi na kupinga udhalim wa polis lkn tz wasanii wanaungana na wadhalim dhid ya wananchi

Kinachoendelea sasa nadhan wasnii wasipojifunza watakuwa na akili ngumu sn
 
Kila mtu anapambana..

Kutumia u star wako kuinfluence mambo negative kwenye jamii sio jambo zuri..its about time wasanii na celebs wote wajue hili.
Mavvi sana we jamaa tena mabichi ya mtu mzima...
 
Usilazimishe kila mtu awe shabiki wa chadema
 
Usifosi watu wawe upande wako, mond hashuki.
Yaani HATERS ndio motive yake ya kupiga kazi zaidi...
Anahitaji fans ili afanikiwe ila HATERS ili afanikiwe zaidi.
 
Kila mtu anapambana..

Kutumia u star wako kuinfluence mambo negative kwenye jamii sio jambo zuri..its about time wasanii na celebs wote wajue hili.
π™·πš’πšŸπš’ πšžπš—πšŠπš’πš”πš’πš›πš’ πš”πš’πš•πšŠ πšžπš—πšŠπšŒπš‘πš˜πš”πš’πš˜πš—πšŠ 𝚠𝚎𝚠𝚎 πš—πšŽπšπšŠπšπš’πšŸπšŽ πš—πšŠ πš πšŽπš—πš£πš’πš˜ πš πšŠπš—πšŠπš”πš’πš˜πš—πšŠ πš‘πš’πšŸπš˜?
 
Nakazia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…