Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 655
- 1,069
Ukandamizaji upi?Dogo hata mm namkubali ila nimesign petition ili asirudie makosa ya kusupport ukandamizaji
Watanzania mnasahau haraka sana.
Mavvi sana we jamaa tena mabichi ya mtu mzima...Kila mtu anapambana..
Kutumia u star wako kuinfluence mambo negative kwenye jamii sio jambo zuri..its about time wasanii na celebs wote wajue hili.
Yote hii ni wivu tu kwa mwanaume mwenzio kisa nini?Mkubali wewe na maamako
Mbona una hasira sana? Alikuacha nini?Mgongoni kwakoeee
WachaaUkisikia uchawi ndio huu. Sijawahi kuwa fan wa huyu dogo ila this isn't fair aisee. Dogo anapambana sana sana, na anahitaji support sio huu uchawi walah!!
Nielekeze jinsi ya kusignKila mtu anapambana..
Kutumia u star wako kuinfluence mambo negative kwenye jamii sio jambo zuri..its about time wasanii na celebs wote wajue hili.
Tuko pamoja diamond ni bestkwangu mimi IT'S OFFICIAL, DIAMOND NI MORE THAN AN ICON kwa TANZANIA.....
Nazidi kumkubali sasa...
Usilazimishe kila mtu awe shabiki wa chademaKupitia hili wasanii wengi watapata cha kujifunza ,maana kwa ujumla wao tukianza na mondi,kiba, konde walijichanganya sana kukomaa kwenye siasa sijui ndio kujikomba ili wasifuatuliwe na serikali.
Hapa ndipo nilipoamin kuwa hawa wasanii wana biashara nyingine nje ya mziki ,maana sio kwa kujikomba vile kwa magufuri ,mtu ukishakuwa na mashabik wa kutosha epuka siasa kabisa maana lazima utawagawa tu mashabik zako.
Mm nilikuwaga namwelewa sana Alikiba ila tokea mwaka Jana 2020 nilimu unfollow had insta .
Wasanii kaeni mbali na siasa maana siasa imebeba maumivu kwa baadhi ya watu walio wengi wachache wakineemeka na siasa ,haiwezekan msanii unayejielewa et unaandika mstari kama huu , asiyeipenda ccm abane choo
Visit change.orgNielekeze jinsi ya kusign
Usifosi watu wawe upande wako, mond hashuki.Likiisha hili nadhan wasanii wengi watakua na akili
Huwez sided na udhalim half ukabaki salama
Nigeria wasanii wakubwa waliamua kuungana na wananchi na kupinga udhalim wa polis lkn tz wasanii wanaungana na wadhalim dhid ya wananchi
Kinachoendelea sasa nadhan wasnii wasipojifunza watakuwa na akili ngumu sn
Hasa akiwa masikiniMtu mweusi.hasa mswahili.mwogope sana..
Nashkuru Mungu nililitambua mapema hili..mim sinaga urafik na mswahili ma.mae..
Aliwadharauje?Wasanii wenzie
Hii ni kampeni ya kisiasa ya kulazimisha wasanii wawe wanafanyia kampeni chadema, haitofanya kazi....Usilazimishe kila mtu awe shabiki wa chadema
π·πππ ππππππππ ππππ πππππππππππ π ππ π ππππππππ ππ π πππ£ππ π ππππππππ ππππ?Kila mtu anapambana..
Kutumia u star wako kuinfluence mambo negative kwenye jamii sio jambo zuri..its about time wasanii na celebs wote wajue hili.
NakaziaLikiisha hili nadhan wasanii wengi watakua na akili
Huwez sided na udhalim half ukabaki salama
Nigeria wasanii wakubwa waliamua kuungana na wananchi na kupinga udhalim wa polis lkn tz wasanii wanaungana na wadhalim dhid ya wananchi
Kinachoendelea sasa nadhan wasnii wasipojifunza watakuwa na akili ngumu sn
Hajasema watazania wote.Ila kupigiwa Kura ni kazi ya watanzania wote?
Yaani maTz yamewekewa petition uenyewe ndio yakaenda kusign, manina sana mgozi nyeusi...Mtu mweusi.hasa mswahili.mwogope sana..
Nashkuru Mungu nililitambua mapema hili..mim sinaga urafik na mswahili ma.mae..