tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Alishawahi kufanya kazi au ndio kusema anataka apate pesa ya kula yeye,mama yke plus watoto wke,laki 2 ndio halali yke kabisa,wadada wa mjini hawataki kufanya kazi wao msingi kiuno....ashukuru hata hiyo gari aliyopewa mana angeendelea kupanda bajaji tu.kizazi cha wahongaji kimepungua sana watu wana nidhamu na pesa zaoTimu Dai embu fikirieni,
hii hela inaweza ku cover vitu basic vya mtoto tu,
haitoshi,kumpa na mama yake matunzo,
yes,na yeye alipwe,
Muda anaoshinda na mtoto,angeweza kwenda kazini au kwenye shughuli nyingine za kimaendeleo...........
hii sheria itazamwe upya.....
Ulipwe kwa kumlea mwanao????? Acha kujitia aibu mbele ya jamii....no wounder wanawake kujisifia ushujaa wa kubeba mimba 9months wakati vidume tunabeba kende zetu all.our lives and no complains.
Alishawahi kufanya kazi au ndio kusema anataka apate pesa ya kula yeye,mama yke plus watoto wke,laki 2 ndio halali yke kabisa,wadada wa mjini hawataki kufanya kazi wao msingi kiuno....ashukuru hata hiyo gari aliyopewa mana angeendelea kupanda bajaji tu.kizazi cha wahongaji kimepungua sana watu wana nidhamu na pesa zao
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Sheria ziko wazi ustawi wa jamii ni buku 70 kwa mwezi matunzo,kwahiyo akichukua na 70 ya majizoo inakua 140,000 kwa mwezi...akiona maisha magumu akabidhi mtotokwani akila yeye ina ubaya gani
Kaka acha matani kwa Hamisa! Huyu binti mi namfahamu tangu akiwa mdogo kwahiyo siwezi kuvumilia kuona unamfanyia masihara mdogo wangu!!!Mie huyu binti namuita muuza bucha....acha atoe huduma ya nyama. Naskia kasoma LLB UDSM.....kweli eliku yetunineshuka sanaa na ifike mahali tukubali tanzania imejaa vilaza
Sheria ziko wazi ustawi wa jamii ni buku 70 kwa mwezi matunzo,kwahiyo akichukua na 70 ya majizoo inakua 140,000 kwa mwezi...akiona maisha magumu akabidhi mtoto
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Hivi kwanini unadhani mwenye wajibu wa gharama za matunzo kwa mtoto ni baba peke yake na mama hatakiwi kugharamia matunzo ya mtoto?!NDIO mfano wako wa kende hauna tija,
miezi tisa ni sawa na kubeba hivyo vikende???wewe una utani..................
yes WAMAMA WOTE WALIOKO NYUMBANI WAKILEA IWEKWE SHERIA YA KUPATA PORTION YA MISHAHARA YA WAUME ZAO
Zinaitwa kikizKwa hiyo.....hayo tunayosimuliwa kuwa,mara anapewa 70,000/= kila siku,mara kapewa bonge la mjengo,yote ni blaah blaah tu!?
Sahihisha hilo neno Mkuu, "walipaswa kuanikwa sokoni wakatandikwa bakora zao 100" kwa makosa ya uzinzi na kama mmoja wapo ni mwanandoa alipaswa kuanikwa sokoni akachimbiwa shimo na kurujumiwa.Hivi kwanini unadhani mwenye wajibu wa gharama za matunzo kwa mtoto ni baba peke yake na mama hatakiwi kugharamia matunzo ya mtoto?!
Akitaka kudekezwa kama mwanamke, basi aende BAKWATA lakini ahakikishe ana cheti cha ndoa kwanza!!! Kwa mujibu wa Uislamu, huko ndiko mwanamke anatakiwa kunyoosha miguu tu na kila kitu analetewa na mwanaume!!
Na ndio maana nimesema kabla hajaenda huko BAKWATA ahakikishe ana cheti cha ndoa kwanza!!!!Sahihisha hilo neno Mkuu, "walipaswa kuanikwa sokoni wakatandikwa bakora zao 100" kwa makosa ya uzinzi na kama mmoja wapo ni mwanandoa alipaswa kuanikwa sokoni akachimbiwa shimo na kurujumiwa.
Hivi kwanini unadhani mwenye wajibu wa gharama za matunzo kwa mtoto ni baba peke yake na mama hatakiwi kugharamia matunzo ya mtoto?!
Akitaka kudekezwa kama mwanamke, basi aende BAKWATA lakini ahakikishe ana cheti cha ndoa kwanza!!! Kwa mujibu wa Uislamu, huko ndiko mwanamke anatakiwa kunyoosha miguu tu na kila kitu analetewa na mwanaume!!
Aende bungeni kulalamika,huyu dada anafanya kazi gani haswa au ndio kutegemea kudanga ndio aishi....narudia kizazi cha wahongaji kwasasa kimepungua ajipange tu kivingine papa siku hizi sio bidhaa ya kugombaniwa kma enzi za jksheria kandamizi,i hope ili litafungua mjadala wa ku review hio sheria ,waweke percentage Fulani ya anacho earn mzazi,kuweka 70,000 kwa kila mtu is unrealistic,kuna mwingine atastruggle kuipata hio 70,000 ,wakati wanaojiweza hio 70,000 ni hela ya kununua ice cream.
Crap...!NDIO mfano wako wa kende hauna tija,
miezi tisa ni sawa na kubeba hivyo vikende???wewe una utani..................
yes WAMAMA WOTE WALIOKO NYUMBANI WAKILEA IWEKWE SHERIA YA KUPATA PORTION YA MISHAHARA YA WAUME ZAO
Blah blah kivipi? Hamisa mwenyewe huyu hapa:Kwa hiyo.....hayo tunayosimuliwa kuwa,mara anapewa 70,000/= kila siku,mara kapewa bonge la mjengo,yote ni blaah blaah tu!?
Aende bungeni kulalamika,huyu dada anafanya kazi gani haswa au ndio kutegemea kudanga ndio aishi....narudia kizazi cha wahongaji kwasasa kimepungua ajipange tu kivingine papa siku hizi sio bidhaa ya kugombaniwa kma enzi za jk
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Crap...!
Dai alipewa akijua atajengewa nyumba au kufaidi kma zari,mbna wengi wametafuna hawakupewa mtoto....istoshe majizo atakua amekata huduma kabisa ndio mana bibie anawesekapapa bado inadai hio,
ana wawili kuna wengine wana watano,lol
kizazi cha wahongaji kingekua kimepungua,DAI asingepatikana kwenye hii aibu,
tutaskia mengi